Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

mmeshaambiwa wanafikishwa mahakamani leo na nyie mnaenda kufungua kesi ya kuwafikisha mahakamani hamuonio kuwa mnachekesha? na mnakimbilia mahakamani mnafikiri kule kuna wajinga wenzenu watawatetea uhaini wenu? tulieni dawa iwaingieeeee
Yaani wewe comments zako unanifanya nicheke peke yangu.Humumunyi maneno.Safi sana.
 
nasikia ana pressure na kisukari na umri umeenda, wawe makini wasije wakamsababishia matatizo ya kiafya. jambo hili ni la kwenda nalo polepole. na kama mtu amekosea, tusameheane tuendelee kujadiliana kwa hoja, ukipeleka mtu mahakamani jueni kuna kundi kubwa la watu nyuma wanamsapoti na ni kama kujipalia makaa kwasababu watu ndivyo wanavyozidi kuichukia serikali ya samia.
Hakuna anayechukia serekali.Bali wananchi tunafurahi,kutuondolea wachafuzi wa amani.
 
-nani kasema kuwa wanafikishwa mahakamani Leo? Je wasipowapeleka Leo?
-tunachekesha nini? Wakati tunataka haki za watuhumiwa zifuatwe kwa usahihi
-tumia akili, kinachoenda kufanyika ni kuomba mtuhumiwa aletwe mahakamani na IGP,DPP Waseme kwa Nini wamemshikilia kituoni kwa zaidi ya masaa 24?na sio kingine,
Kawachukuwe wewe uwapeleke mahakamani.
 
hakuna mtu anaichukia sema ni wewe tu nahao jamaa zako hawana ushawishi wowote na jamii hivyo sasa hivi wako pekeyao labda na erythrocite ndiyo ana waunga mkono angaloia hata chadema hawazunguzmii kitu chochote kuhusu hao wahaini ndiyo ujue kila mchuma janga ////???
.....hula na wakwao
 
wakati wanafanya makosa walikuwa wanategemea huruma ya nani? watu wanakaa mwezi wewe umeona siku mbili tu ni nyingiiiiiiiiiiiiii wacha wasote kwanza ili hata wakija kutoka watulie wajue nchi ina sherai na ina mamlaka wacha kwanza wabashiweee humo ndani kama mwambukusi watam,,,,,,,, na mzee wa watu hajawahi hata kul mdude kazoea
Sio mchezo,una comment za uhakika.
 
Yaaani tulilalamika na ujinga huu kipindi cha yule mhuni mama na vishungi kaanza tena
 
Sawa sawa, na bila kutoka kwenye reli, hoja zijibiwe...


Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Zipeleke Polisi Makao makuu.
 
Tayari wameshakuwa wahaini hata kabla hawajafika mahakama I? Siku hizi hukumu zinatolewa polisi? Ndugu zangu hebu punguzeni chuki basi!
Wapo walioitwa magaidi kabla mahakama kuthibitisha,na mlifurahi na kuunga mkono.Leo shilingi imegeuka upande wenu,mnalia lia.
 
Kuifungukia Kesi Serikali mahakamani kiuraratibu kabisa na yenyewe ikaja na ikajibu hoja ni uhaini! Unajua maana ya uhaini au na wewe fuvu liko tupu!
Unaweza kuimbia JF uhaini ulifanyika wapi na Kwa mchakato upi? Na nani sasa anashikilia madaraka ya nchi baada ya uhaini huo kufanyika? Mkiambiwa ninyi ndio mnaitangaza nchi vibaya huko duniani mnaanza kushika bunduki? Ujinga mtaacha lini
Nenda kawatetee Polisi.
 
- hata kama umetenda tuhuma za aina gani, haki zako kisheria zipo pale pale,
-hatuangalii real life tunaangalia sheria na KATIBA inasemaje, KATIBA inapiga marufuku kumtendea mtuhumiwa wa kosa la jinai kama ana hatia, hadi akutwe na hatia
Nenda Polisi kawatetee.
 
Ninaposema machafuko au mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya mifumo tena, huwa sikosea. Kwa hapa tulipofikia ambapo viongozi wanaweza kuingia madarakani kwa kupora chaguzi, usitegemee sheria kufuatwa kabisa. Nyingi ya sheria zitakuwa zinatekelezwa kulinda maslahi ya hivyo vikundi vinavyoingia madarakani kwa kupora chaguzi.
Jitokeze.Uione kilichompata Kanga ,akawa hana manyoa
 
mmeshaambiwa wanafikishwa mahakamani leo na nyie mnaenda kufungua kesi ya kuwafikisha mahakamani hamuonio kuwa mnachekesha? na mnakimbilia mahakamani mnafikiri kule kuna wajinga wenzenu watawatetea uhaini wenu? tulieni dawa iwaingieeeee
Tuliambiwa lini na nani ? Presha ya Mawakili imewafanya wawapeleke mahakamani bila hata kujiandaa , ndio maana mnashindwa kesi mabwege nyie !
 
Hao wanasheria mambumbumbu wataangukia pua kama wenzao. Hawajui makosa ya uhaini yanavoendeshwa?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mkataba huu wa Kimangungo unasema, Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai, Tena kwa Mali zake? Ujinga huu wa CCM ifie mbali.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
mmeshaambiwa wanafikishwa mahakamani leo na nyie mnaenda kufungua kesi ya kuwafikisha mahakamani hamuonio kuwa mnachekesha? na mnakimbilia mahakamani mnafikiri kule kuna wajinga wenzenu watawatetea uhaini wenu? tulieni dawa iwaingieeeee
huyu nae kichwani kumejaa makamasi
 
Back
Top Bottom