Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

Safi sana, natamani wakati wa maswali ya dodoso waulizwe Swali kwamba ni sahihi kukaa na mtuhumiwa zaidi ya masaa 24?, Na je ni sahihi kumnyima mtuhumiwa haki ya kuonana na ndugu zake/wakili wake?

Haki inaenda sambamba na wajibu.



Treatment ya mtuhumiwa itaendana na aina ya tuhuma alizonazo (real life).
 
yaani mnafanya ujinga uhaini vurugu halafu mnataka mfikishwe mahakamani haraka yaani mnahofu na nini kama mliweza kufanya uhaini mpaka mmkakamatwa si msubiri mnaharaka ya nini kwenda mahakamani? au mkifika mahakamani ndiyo mtaachiliwa?
Kuifungukia Kesi Serikali mahakamani kiuraratibu kabisa na yenyewe ikaja na ikajibu hoja ni uhaini! Unajua maana ya uhaini au na wewe fuvu liko tupu!
Unaweza kuimbia JF uhaini ulifanyika wapi na Kwa mchakato upi? Na nani sasa anashikilia madaraka ya nchi baada ya uhaini huo kufanyika? Mkiambiwa ninyi ndio mnaitangaza nchi vibaya huko duniani mnaanza kushika bunduki? Ujinga mtaacha lini
 
yaani mnafanya ujinga uhaini vurugu halafu mnataka mfikishwe mahakamani haraka yaani mnahofu na nini kama mliweza kufanya uhaini mpaka mmkakamatwa si msubiri mnaharaka ya nini kwenda mahakamani? au mkifika mahakamani ndiyo mtaachiliwa?
acha ufala uhaini unatafsiriwa mahakamani siyo kituo cha polisi, kwahiyo mnataka kuwatesa kwanza
 
Haki inaenda sambamba na wajibu.



Treatment ya mtuhumiwa itaendana na aina ya tuhuma alizonazo (real life).
- hata kama umetenda tuhuma za aina gani, haki zako kisheria zipo pale pale,
-hatuangalii real life tunaangalia sheria na KATIBA inasemaje, KATIBA inapiga marufuku kumtendea mtuhumiwa wa kosa la jinai kama ana hatia, hadi akutwe na hatia
 
nasikia ana pressure na kisukari na umri umeenda, wawe makini wasije wakamsababishia matatizo ya kiafya. jambo hili ni la kwenda nalo polepole. na kama mtu amekosea, tusameheane tuendelee kujadiliana kwa hoja, ukipeleka mtu mahakamani jueni kuna kundi kubwa la watu nyuma wanamsapoti na ni kama kujipalia makaa kwasababu watu ndivyo wanavyozidi kuichukia serikali ya samia.

Inasikitisha hii statement imetoka kwa mwanamume tena mtu mzima anaetegemewa kuongoza family na wategemezi nyuma yake.



Kuongoza nchi sio Sawa na kusimamia kikao cha sendoff!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Jopo la Wanasheria limekwishatinga kwenye viunga vya Mahakama, kwa ajili ya kufungua kesi ya kulazimisha Serikali ya Tanzania kuwafikisha Mahakamani, Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa ili wakajibu Uhaini wao.

Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba Mtuhumiwa anapaswa kufikishwa Mahakamani si zaidi ya Masaa 24 baada ya kukamatwa.

Bado hatujajua kama Watuhumiwa hao wanateswa, wameumizwa ama wameuawa, hii ni kwa sababu haturuhusiwi kuwaona.

Usiondoke JF.
PGO inaenda kuwaumbua jamaa

Hii nakala sio ya siri kwa hiyo umma una haki ya kuelewa wajibu wa dola kwa raia
 

Attachments

Safi sana, natamani wakati wa maswali ya dodoso waulizwe Swali kwamba ni sahihi kukaa na mtuhumiwa zaidi ya masaa 24?, Na je ni sahihi kumnyima mtuhumiwa haki ya kuonana na ndugu zake/wakili wake?
Kwa mahakama hizi zinazosimamia mifumo ya kihalifu, usitegemee lolote la maana toka kwao. Mahakama hizi hutumika kulinda uovu wa wazi huku ushahidi wa uongo toka serikalini ukilindwa waziwazi.
 
Inasikitisha hii statement imetoka kwa mwanamume tena mtu mzima anaetegemewa kuongoza family na wategemezi nyuma yake.



Kuongoza nchi sio Sawa na kusimamia kikao cha sendoff!
shida yenu mmejaa upumbavu na kiburi, na mwisho wenu siku zote huwa sio mzuri, wanadamu tukishindwa huwa tunashitaki kwa Mungu mbabe wenu. tumieni akili msitumie makalio.
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Jopo la Wanasheria limekwishatinga kwenye viunga vya Mahakama, kwa ajili ya kufungua kesi ya kulazimisha Serikali ya Tanzania kuwafikisha Mahakamani, Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa ili wakajibu Uhaini wao.

Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba Mtuhumiwa anapaswa kufikishwa Mahakamani si zaidi ya Masaa 24 baada ya kukamatwa.

Bado hatujajua kama Watuhumiwa hao wanateswa, wameumizwa ama wameuawa, hii ni kwa sababu haturuhusiwi kuwaona.

Usiondoke JF.
Nimejiunga na kifurushi kabisa. Saa ya ukombozi ni sasa
 
Kinachotengenezwa na CCM,kwa sasa ni kuvipa furusa vyombo vya ulinzi ipo siku vitatumia hiyo faida kurudisha fadhira kwa wananchi hasa jeshi litakapokuja kubadil mawazo sijui nn kitatokea, ngoja safar hii haita kuwa ya karne nyng kwa nchi hii
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Jopo la Wanasheria limekwishatinga kwenye viunga vya Mahakama, kwa ajili ya kufungua kesi ya kulazimisha Serikali ya Tanzania kuwafikisha Mahakamani, Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa ili wakajibu Uhaini wao.

Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba Mtuhumiwa anapaswa kufikishwa Mahakamani si zaidi ya Masaa 24 baada ya kukamatwa.

Bado hatujajua kama Watuhumiwa hao wanateswa, wameumizwa ama wameuawa, hii ni kwa sababu haturuhusiwi kuwaona.

Usiondoke JF.
kujipa moyo tu, na ni vizuri pia. Nachokiona kikubwa ni kutaka kuskika, kujulikana na kutafuta ucjali kwenye siasa na uanaharakati and nothing else.
hutaskia conclusion ya Jambo hili itakua kimya na ndio imeisha ivo
 
-ww ndiye mbumbumbu number 1.
- Sheria imesema Police haruhusiwi kukaa na mtuhumiwa zaidi ya masaa 24, ikizidi hapo aidha ampeleke mahakamani au ampe dhamana kama kosa Lina dhamana
Makosa mengine yanahitaji kufinyana kidogo ili kuweza kuufikia mzizi wa tatizo. Haya mambo ya nchi nyie madogo hamuwezi kuyaelewa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Katika mizigo iliyoshindijana kwa jamii polisi ni mizigo iliyokubuhu
 
Back
Top Bottom