Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

wangepindua nchi ungefurahi?
hizi akili mtu mweusi unazitoa wapi mbona kama kichwani kumejaa kamasi mtu anapinduaje nchi tena mtu mmoja hana hata support ya kijeshi.Au unafikir kupindua nchi ni sawa na kugeuza upande wa kitanda chako ..? piga chafya nyingi utoe kamasi huenda ukapata akili kidogo …
 
wangepindua nchi ungefurahi?
Wanaopindua nchi huwa wanasema hadharani? Nyie semeni tu kuwa mmeamua kuwakomoa watu walioamua kuwastua watanzania kuhusu kuuzwa kwa mali zao. Hivyo sasa hivi mnaleta tafsiri Potofu ili kunyamazisha watu kuhoji huo wizi.
 
Mahakamani watapelekwa tu wala hamna shida mjiandae tu kuangalia familia zao.
 
Safi sana, natamani wakati wa maswali ya dodoso waulizwe Swali kwamba ni sahihi kukaa na mtuhumiwa zaidi ya masaa 24?, Na je ni sahihi kumnyima mtuhumiwa haki ya kuonana na ndugu zake/wakili wake?
Muhimu sana hii
 
Mahakamani watapelekwa tu wala hamna shida mjiandae tu kuangalia familia zao.
Mtashindwa mapema sana mchana , mmemwingiza mama chaka ili 2025 muweke watu wenu , maana atakuwa kishalikoga tope
 
hao wapumbavu hawana kazi ya maana,
 
subiri mahakama ifanye kazi yake we kenge
 
rudi shule we zuzu, we kwanza huwezi hata kusoma ule mkataba unafuata tu mkumbo km nyumbu. mburula tu wewe
 
we mbona kichwani kumejaa mavi, au hata husikii harufu?
 
Sesan haujakamilika usiwafundishe p-olisi kazi yaoy
  • usichanganye kati ya uchunguzi na kupelekwa mahakamani,
  • sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai ndio maana Imesema Police haruhusiwi kukaa na mtuhumiwa zaidi ya masaa 24 ikizidi hapo aidha ampeleke mahakamani au ampe dhamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…