Wanasheria nisaidieni, Baba Mzazi anazidi kuuza mali

Wanasheria nisaidieni, Baba Mzazi anazidi kuuza mali

Angalia tu usimuue mzee wa watu kisa mali zake mwenyewe maana mambo ya siku hizi wala hayaeleweki!
IMG-20220118-WA0014.jpg
 
za chini chini naskia ameongeza na ela zake nyingine ameenda kununua nyumba Mbweni yenye losheni moja ndio nafatilia, maana haiwezekani anakuwa anafanya mambo bila kunishirikisha nahisi uyu mzee atakuwa ana shida sehemu.
Akushirikishe we Nani ? Wakati anazitafuta wewe ulishirikishwaje Acha ujinga unakera Sana ww bwege
 
Aisee umenishangaza sana, yaani 42yrs Graduate bila aibu bado unaishi kwa baba yako? Na huyo baba yako anauza mali kwa sababu ya tabia yako ya kudai mali ambayo hujaitolea jasho,
Tafuta shughuli ya kufanya achana na Baba yako na mali zake.
Yaan it's shocking. This grownass dude still living at home
 
Labda amekuona wewe ni bure kabisa hivyo ni afadhali auze kila kitu maana 42 yrs unalialia. Alafu unaweza kuta hata yeye hakurithi chochote na alipambana mpaka kufikia hapo.
 
Yaan it's shocking. This grownass dude still living at home
Nilikuwa na mshikaji at 37 alikuwa hajaoa na bado anaishi kwa wazazi, tulipambana sana mpaka akaoa na kutoka nyumbani kwa wazazi, maana kazi alikuwa napata na kuacha kila siku, Japo mpaka leo hajatulia kwenye kazi lakini angalau yuko responsible na familia yake.
 
Habarini za asubuhi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada baada ya baba angu kuuza nyumba yake ya kwanza week 3 zilizo pita na kubakisha nyumba moja maeneo ya uku sinza mori ambayo ndio tunakaa sasaivi nayo anataka kuuza, wakati bado watoto wake sisi bado tupo hai tena ususani mtoto wake mimi bado kijana mdogo ata umri wa miaka 50 sijafika ndio kwanza nina 42, na cha kushangaza uyu mzee baada ya kuuza nyumba ya kwanza bado ajanipa mgao wowote wa pesa mpaka niliamua kwenda kumshtaki ofisi ya kata na jana nimeenda kufungua kesi polisi na jumatatu ya tarehe 24 tunaenda mahakamani kwa kesi kusikilizwa.

Cha kushangaza leo ameamka na kuanza kusema anauza nyumba hii pia, jamani wana sheria naombeni mnsaidie maana uyu baba anateketeza mali zote na mimi kama mtoto wake sijaambulia chochote mpaka muda huu, nahisi uenda mzee wangu akawa amechanganyikiwa, nataka nieleze mahakama iyo juma tatu oja yangu hii kama uyu mzee wangu uenda amechanganyikiwa ili niweze kupatiwa pesa zake zote niziifadhi sehemu nzuri na salama.

Haiwezekani mimi mtoto wake nipo na nina elimu nzuri tu na kubwa sana ya degree ya marketing kutoka chuo kikubwa kabisa cha university of dar es salaam, na nina umri wa kijana ninaye jitambua kabisa wa miaka 42 ashindwe kunipatia izo pesa niziifadhi au kama hataki anipe mgao wangu kabisa nikatafute maisha yangu.

Leo ananiambia kwa jeuri eti kama nimeamua kwenda mahakamani basi nitakuwa nakula na kulala mahakamani ila sio hapa kwake, nikamuambia hapa sio kwako hapa ni kwetu maana wee ni baba yangu na mahakama inatambua umuhimu wa mtoto kwenye ishu ya ulithi wa maali, anasema anaenda kutafuta dalali na muda huu ameondoka, wanasheria naombeni mshikamane na mimi kwenye ili wakuu ili nipate aki yangu ya mali. Na alivyo na jeuri ananiambia ananipa siku mbili niwe nimesha toa begi langu la nguo ndani niwe nimeondoka jamani mpaka namshangaa uyu mzee.

nawasilisha
Unakoelekea wewe siyo kabisa

42 unashindwa kupambania na hali yako

Inaelekea wewe ulikuwa unaishi tu kwa kubweteka hapo kwa mzee

Mzee wako ashakuona we siyo mpiganaji
Unatolea tu macho urithi tu

Ova
 
Mtu asiye na heshima hastahili heshima.
Mburuzane mahakamani ndiko wanakojua kuchambua sheria.
Ila daaaahhh hivi babu yenu aliwahi kusugua uchizi?
Samahani maana naona kama wewe na mzee wako kama mna kaugonjwa hivi.
 
Habarini za asubuhi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada baada ya baba angu kuuza nyumba yake ya kwanza week 3 zilizo pita na kubakisha nyumba moja maeneo ya uku sinza mori ambayo ndio tunakaa sasaivi nayo anataka kuuza, wakati bado watoto wake sisi bado tupo hai tena ususani mtoto wake mimi bado kijana mdogo ata umri wa miaka 50 sijafika ndio kwanza nina 42, na cha kushangaza uyu mzee baada ya kuuza nyumba ya kwanza bado ajanipa mgao wowote wa pesa mpaka niliamua kwenda kumshtaki ofisi ya kata na jana nimeenda kufungua kesi polisi na jumatatu ya tarehe 24 tunaenda mahakamani kwa kesi kusikilizwa.

Cha kushangaza leo ameamka na kuanza kusema anauza nyumba hii pia, jamani wana sheria naombeni mnsaidie maana uyu baba anateketeza mali zote na mimi kama mtoto wake sijaambulia chochote mpaka muda huu, nahisi uenda mzee wangu akawa amechanganyikiwa, nataka nieleze mahakama iyo juma tatu oja yangu hii kama uyu mzee wangu uenda amechanganyikiwa ili niweze kupatiwa pesa zake zote niziifadhi sehemu nzuri na salama.

Haiwezekani mimi mtoto wake nipo na nina elimu nzuri tu na kubwa sana ya degree ya marketing kutoka chuo kikubwa kabisa cha university of dar es salaam, na nina umri wa kijana ninaye jitambua kabisa wa miaka 42 ashindwe kunipatia izo pesa niziifadhi au kama hataki anipe mgao wangu kabisa nikatafute maisha yangu.

Leo ananiambia kwa jeuri eti kama nimeamua kwenda mahakamani basi nitakuwa nakula na kulala mahakamani ila sio hapa kwake, nikamuambia hapa sio kwako hapa ni kwetu maana wee ni baba yangu na mahakama inatambua umuhimu wa mtoto kwenye ishu ya ulithi wa maali, anasema anaenda kutafuta dalali na muda huu ameondoka, wanasheria naombeni mshikamane na mimi kwenye ili wakuu ili nipate aki yangu ya mali. Na alivyo na jeuri ananiambia ananipa siku mbili niwe nimesha toa begi langu la nguo ndani niwe nimeondoka jamani mpaka namshangaa uyu mzee.

nawasilisha
Umri wako sahihi ni upi? Ni huu wa 42 kwenye hii mada au ni ule wa January 1, 1991 (31) wa kwenye Bio?
 
We jamaa ni Bogaz haswa , Vijana wenye miaka 22 tayari wahsatengeneza makazi yao na wanatafuta mali zao , wewe unalilia mali za Mzee ukiwa na umri wa kuelekea uzee, hizo sio za kwako, na fikiri una utindio wa Ubongo afya ya Akili yako ichunguzwe
 
Niko nawew mkuu mzazi wangu alishawai kuuza kiwanja kizuri Sana kipo USA river pale leganga na Bila kutudhirikisha mm Wal kak zangu tulimshangaah Sana mZee so na wee mpeleke mahkamnani tu umdhibiti
 
Wewe sasa unaanza kutushika masikio, ngoja tufukunyue habari zako za nyuma...

Kila siku kulia lia tu baba kauza nyumba yake, baba kauza nyumba yake...


Feb 18, 2021
Unasimulia umetolewa kijijini na shangazi, ukaja mjini kusomeshwa, mama yako ana miaka 50 na anaishi kijijini kwenye nyumba ya udongo. Hujaeleza kabisa habari ya baba yako...

"Kuna mazuri ambayo nikiyawaza kwake (huyu shangazi yangu) nahisi natakiwa kumfanyia jambo ambalo linaweza kuwa jema kwake, uwezo wangu kipesa sio mzuri kabisa, sina kazi kwa sasa, niliwaza ivi wakuu: hapa nina milion 20 cash. nyumbani kwetu ni mwanza."



March 7, 2021
Unasimulia kisa cha kufukuzwa kwenu kwenye nyumba aishiyo mama na baba yako, nyumba yenye mlinzi getini na uzio (sio tena nyumba ya udongo kijijini na wala sio kwa shangazi yako aishiye nyumba ya kupanga)

"Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona"

 
Hii ni chai.

Kama sio chai basi wewe mleta mada ni moja ya watu wapumbavu na wajinga sana kuwahi kuwasikia.

Nadhani siyo chai, maana mshikaji huu ni uzi wa tatu anahama na mada yake. Hapa kunaweza kuwa na tatizo la afya ya akili. Wataalamu wa saikolojia wanaweza kuwa na msaada zaidi kwa huyu binadamu.
 
Aisee umenishangaza sana, yaani 42yrs Graduate bila aibu bado unaishi kwa baba yako? Na huyo baba yako anauza mali kwa sababu ya tabia yako ya kudai mali ambayo hujaitolea jasho,
Tafuta shughuli ya kufanya achana na Baba yako na mali zake.
Ila at 42 years kwakwel mi naonaga kama ndio game over hiv!?!?!
 
Mimi bado nipo pale pale ile laki 2 uliyoitumbua na kusherekea ndo bado inakutafuna[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habarini za asubuhi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada baada ya baba angu kuuza nyumba yake ya kwanza week 3 zilizopita na kubakisha nyumba moja maeneo ya huku Sinza Mori ambayo ndio tunakaa sasa hivi nayo anataka kuuza, wakati bado watoto wake sisi bado tupo hai tena ususani mtoto wake mimi bado kijana mdogo hata umri wa miaka 50 sijafika ndio kwanza nina 42, na cha kushangaza huyu mzee baada ya kuuza nyumba ya kwanza bado hajanipa mgao wowote wa pesa mpaka niliamua kwenda kumshtaki ofisi ya kata na jana nimeenda kufungua kesi polisi na Jumatatu ya tarehe 24 tunaenda mahakamani kwa kesi kusikilizwa.

Cha kushangaza leo ameamka na kuanza kusema anauza nyumba hii pia, jamani wanasheria naombeni mnisaidie maana huyu baba anateketeza mali zote na mimi kama mtoto wake sijaambulia chochote mpaka muda huu, nahisi uenda mzee wangu akawa amechanganyikiwa, nataka nieleze mahakama hiyo jumatatu hoja yangu hii kama huyu mzee wangu huenda amechanganyikiwa ili niweze kupatiwa pesa zake zote nizihifadhi sehemu nzuri na salama.

Haiwezekani mimi mtoto wake nipo na nina elimu nzuri tu na kubwa sana ya degree ya marketing kutoka chuo kikubwa kabisa cha university of dar es salaam, na nina umri wa kijana ninayejitambua kabisa wa miaka 42 ashindwe kunipatia hizo pesa nizihifadhi au kama hataki anipe mgao wangu kabisa nikatafute maisha yangu.

Leo ananiambia kwa jeuri eti kama nimeamua kwenda mahakamani basi nitakuwa nakula na kulala mahakamani ila sio hapa kwake, nikamuambia hapa sio kwako hapa ni kwetu maana wewe ni baba yangu na mahakama inatambua umuhimu wa mtoto kwenye ishu ya urithi wa mali, anasema anaenda kutafuta dalali na muda huu ameondoka

Wanasheria naombeni mshikamane na mimi kwenye ili wakuu ili nipate haki yangu ya mali. Na alivyo na jeuri ananiambia ananipa siku mbili niwe nimeshatoa begi langu la nguo ndani niwe nimeondoka jamani mpaka namshangaa huyu mzee.

nawasilisha

UD kitengo cha Marketing inabidi waundiwe tume, hawawezi graduate watu wapuuzi Kama wewe!

Baba yako naye angekuwa mjanja angekufukuza hapo au aondoke maana naona roho ya kuuana will kick in very soon!

Tafuta hela yako acha ujinga mwanaume: Nina uhakika ungekuwa Na akili usingekuwa home at 42.
 
Back
Top Bottom