nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
umeona jinsi watu hawa walivyo wajinga, they are not independent thinkers
yes l have seen it, pengine wanaogopa comment za nyani hivyo... Sasa wakiogopa hapa sijui mbele za watu inakuaje!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona jinsi watu hawa walivyo wajinga, they are not independent thinkers
Why would you complicate uncomplicated definition?
yes l have seen it, pengine wanaogopa comment za nyani hivyo...
Say what?
Wahenga walisema"" usitukane wakunga na uzazi ungalipo", wengine wakasema "usitukane mamba kabla ya kuvuka mto" Yule aonekanaye kuwa ni mwanasheria njaa ni mkombozi wa wengine wengi kwa kiasi kikuwa sana kwa upande mwingine.
Hakuna tofauti kubwa kati ya mtu aliyesomea sheria na yule ambaye hakusomea sheria. In fact, the law says that everyone is presumed to know the law and that ignorance of the law is not a defense.
Wote wako sawa sema tuu kuna baadhi ya wanasheria ambao wanapenda ku-complicate mambo ili waonekane tofauti na wengine.
The only difference seems to be that lawyers know where to find the law, japokuwa maendeleleo ya teknologia yamewezesha hata wale ambao hawajasoma sheria kujua sehemu ya kuipata sheria.
Social worker ambaye hajui children law, family law, community care law, ata-struggle kufanya kazi yake ya kulinda watoto ipasavyo.
Kwa nchi za wenzetu, legal firms wanapenda kuajiri zaidi graduates ambao their first degree was not in law: All degrees welcome: why non-law graduates are in demand for solicitors' jobs : TARGETjobs
Unaweza kukuta issue ndogo tuu ya ku-solve kwa kutumia common sense lakini baadhi ya wanasheria wanai-complicate ili ionekane ni ngumu whilst in fact is not. Badala ya kutumia common sense, logical mind, etc, baadhi yao wana-complicate mambo.
Ndiyo maana Prof Shivji alikuwa analalamika kuwa alikuwa akiwapa wanafunzi wa sheria maswali simple, badala ya kujibu hayo maswali walikuwa wanajitengenezea maswali yao halafu wanashindwa kuyajibu.
Kwa mfano, nimemsoma nameless girl hapo juu akijaribu ku-complicate maana ya "contract" kuwa ni zaidi ya makubaliano.
Yea, there must be an offer and acceptance, consideration, intention to create legal relations, etc, lakini kama yeye ni mwanasheria ni lini mara ya mwisho alienda mahakamani kumtetea au kum-defend mteja ambaye kesi yake ilihusiana na issues za offer and acceptance au consideration?
Why would you complicate uncomplicated definition?
Mkuu hizi mbona ni hoja za kitoto sana. Huwezi kubase hoja zako kwenye offer,acceptance,consideration e.t.c ili uwaoneshe laymen kuwa sheria ni rahisi na hivyo wanaweza kufanya wenyewe. Kuna a lot of technicalities kwenye sheria ambazo kama haujasoma sheria huwezi kuelewa.
Watu wasingelipa billions of money kama legal fees kama tu wanaweza kwenda google wakasoma then wakaenda kuargue their cases mahakamani.
Huyo Mtikila mwenyewe pamoja na kujua jua sheria lakini bado kesi zake zote anatumia mawakili,do u know why? kuna vitu ambavyo kama hujasoma masomo ya sheria hauwezi kuvifanya kwa usahihi.
Procedure tu za kuendesha kesi ni very technical mpaka hata lawyers wenyewe wanachemka wakati mwingine.
Hivyo acha kuwapa moyo,ni kweli kuna vitu vichache wanaweza kuelewa lakini ni vingi ambavyo hawawezi kuvielewa na kwa sababu hiyo wanahitaji wanasheria kama wanavyohitaji maji.
Kwani hujaelewa?
Ni wanasheria pekee ndo wanafahamu vigezo vinginevyo vya kufanya makubaliano kuwa mkataba.
Ni wangapi ambao sio wanasheria wanaelewa kuwa kuna watu hawaruhusiwi kuingia kwenye mikataba,ni watu gani na kwa nini?
Hawezi kuelewa kirahisi huyu ni wale "slow learner", mwalimu wangu Dr. Tenga alikuwa anawaita "slow soldiers". Watu wa dizaini hii unaweza kuwasimulia stori ya utani (kuchekesha) and they won't instantly laugh mpaka kesho when you all forgot kuhusu hiyo stori then wao ndio wanaanza kucheka. Ukiuliza mnacheka nini? utasikia "ile stori ya jana noma inachekesha mbaya". Sio makosa yao processor zao ziko chini sana so is Nyani Ngabu.
Huu ni uongo ulio uchi kabisa. Usitake kuwafanya watu wengine ni majuha kiasi hicho. Siyo wanasheria pekee ndo wenye kufahamu vigezo vinginevyo vya kufanya makubaliano kuwa mkataba. Muongo kabisa wewe.
This is common sense! Huwezi kuingia mkataba na mtoto mdogo. Huwezi kuingia mkataba na mtu asiye na akili timamu. Huwezi kuingia mkataba na mtu ambaye hajitambui.
Ni mtu gani atakayeshindwa kuyatambua hayo mambo? Mambo mepesi mepesi ya common sense unayafanya yawe kama rocket science.
Kwa taarifa yako, sheria siyo rocket science hata kidogo.
Taja technicalities 10 tu ambazo kama hujasoma sheria huwezi kuzielewa.
Watu binafsi wanalipa billions of money? Nani kalipwa billions of money? Wewe?
Prof. Mahalu pamoja na uprofesa wake wa sheria naye naye alishindwa kuvifanya hivyo vitu? Manake huyu "msomi" haswa. Na kwenye kesi yake aliwakilishwa na wakili.
Taja procedures 5 tu ambazo ziko very technical.
Ambavyo hawawezi kuvielewa ni vipi? Orodhesha 10 tu.
Wewe utaniita majina yote. Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa ulishindwa kujibu maswali yangu. Pia, haiondoi ukweli kuwa ulichemka uliposema ualimu siyo fani.
Huna hoja yoyote ya maana zaidi ya kujikweza kweza wakati huna lolote unalomzidi yeyote humu ndani.
Na kwa taarifa yako, si wewe tu uliyesomea (kama kweli hata umeisomea hiyo sheria) sheria.
Haya endelea kuchemka and I'll call you out on it each and every time, no exceptions, without fail.
uwezo ndo wako umeishia hapo, huwezi kuelezea zaidi ya hapo na hiyo ni kwa sababu umedesea google.
Kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract
ambazo huzifahamu
sio kutaja tu hao ambao umewataja,
ambao pia kuna watu wengine umewasahau ambao wewe unaweza kuingia nao mkataba pia. Kubali tu haujui
Wewe utaniita majina yote. Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa ulishindwa kujibu maswali yangu. Pia, haiondoi ukweli kuwa ulichemka uliposema ualimu siyo fani.
Huna hoja yoyote ya maana zaidi ya kujikweza kweza wakati huna lolote unalomzidi yeyote humu ndani.
Na kwa taarifa yako, si wewe tu uliyesomea (kama kweli hata umeisomea hiyo sheria) sheria.
Haya endelea kuchemka and I'll call you out on it each and every time, no exceptions, without fail.
At least unaweza kujifunza kitu toka kwake.
Jipe moyo kwamba nimedesa. Hilo halinisumbui kwa sababu hujui kabisa background yangu. Umeimeza hook, line and sinker mantra ya ubeba maboksi wangu bila hata kufikiria. Shameful.
Upo hapa unajidai "msomi" lakini huna specifics zozote zile. Eti "kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract", zitaje basi. Siyo kutoa mi broad generalities isiyo na mbele wala nyuma. Kama zipo "nyingi" hivyo, basi huwezi kushindwa kutaja hata 10. Zitaje sasa.....
Unajuaje sizifahamu? Unanijua? Unaijua background yangu? Are you that gullible to fall hook, line and sinker for my ubeba maboksi?
Walau mimi nimetaja wawili watatu. Wewe unaishia kusema "nyingi", "nyingi", huna specifics zozote. Jana yenyewe umeshindwa kutaja kanuni ulizozitaja. Unajua nini wewe?
Mara useme 'sijui', mara useme 'nimewasahau'...which is which now? Kama 'sijui' 'nitawasahauje' sasa? Mtu anaweza kusahau asichokijua? Wewe mantiki ni zero kabisa. Ufahamu nao hafifu.
Jipange upya before I go full throttle on you.
Jipe moyo kwamba nimedesa. Hilo halinisumbui kwa sababu hujui kabisa background yangu. Umeimeza hook, line and sinker mantra ya ubeba maboksi wangu bila hata kufikiria. Shameful.
Upo hapa unajidai "msomi" lakini huna specifics zozote zile. Eti "kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract", zitaje basi. Siyo kutoa mi broad generalities isiyo na mbele wala nyuma. Kama zipo "nyingi" hivyo, basi huwezi kushindwa kutaja hata 10. Zitaje sasa.....
Unajuaje sizifahamu? Unanijua? Unaijua background yangu? Are you that gullible to fall hook, line and sinker for my ubeba maboksi?
Walau mimi nimetaja wawili watatu. Wewe unaishia kusema "nyingi", "nyingi", huna specifics zozote. Jana yenyewe umeshindwa kutaja kanuni ulizozitaja. Unajua nini wewe?
Mara useme 'sijui', mara useme 'nimewasahau'...which is which now? Kama 'sijui' 'nitawasahauje' sasa? Mtu anaweza kusahau asichokijua? Wewe mantiki ni zero kabisa. Ufahamu nao hafifu.
Jipange upya before I go full throttle on you.
Jipe moyo kwamba nimedesa. Hilo halinisumbui kwa sababu hujui kabisa background yangu. Umeimeza hook, line and sinker mantra ya ubeba maboksi wangu bila hata kufikiria. Shameful.
Upo hapa unajidai "msomi" lakini huna specifics zozote zile. Eti "kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract", zitaje basi. Siyo kutoa mi broad generalities isiyo na mbele wala nyuma. Kama zipo "nyingi" hivyo, basi huwezi kushindwa kutaja hata 10. Zitaje sasa.....
Unajuaje sizifahamu? Unanijua? Unaijua background yangu? Are you that gullible to fall hook, line and sinker for my ubeba maboksi?
Walau mimi nimetaja wawili watatu. Wewe unaishia kusema "nyingi", "nyingi", huna specifics zozote. Jana yenyewe umeshindwa kutaja kanuni ulizozitaja. Unajua nini wewe?
Mara useme 'sijui', mara useme 'nimewasahau'...which is which now? Kama 'sijui' 'nitawasahauje' sasa? Mtu anaweza kusahau asichokijua? Wewe mantiki ni zero kabisa. Ufahamu nao hafifu.
Jipange upya before I go full throttle on you.