Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Wanasheria Njaa: Mnaaibisha Fani nzima ya Sheria

Sometimes we should agree to disagree.

This is a defeatist attitude. A way of chickening out. So agree with your own damn self. Don't include me in it.

Baki na mawazo yako, nitabaki na yangu.

You are a chicken.

Believe what you believe and get your ass kicked and I will definitely help to kick them.

Teh teh teh. Man listen, you can't even string together a coherent English sentence and you are here talking about kicking my ass? Instead of kicking my ass you are kicking your own ass.

What the hell is "get your ass kicked and I will definitely help to kick them":smile-big:? Does that make sense to you? You are a gift that keeps on giving, boy.
 
Huu ni uongo ulio uchi kabisa. Usitake kuwafanya watu wengine ni majuha kiasi hicho. Siyo wanasheria pekee ndo wenye kufahamu vigezo vinginevyo vya kufanya makubaliano kuwa mkataba. Muongo kabisa wewe.



This is common sense! Huwezi kuingia mkataba na mtoto mdogo. Huwezi kuingia mkataba na mtu asiye na akili timamu. Huwezi kuingia mkataba na mtu ambaye hajitambui.

Ni mtu gani atakayeshindwa kuyatambua hayo mambo? Mambo mepesi mepesi ya common sense unayafanya yawe kama rocket science.

Kwa taarifa yako, sheria siyo rocket science hata kidogo.

Ni icho tu unachokifahamu juu ya wasiopaswa kuingia mikataba? Hakuna exception kwa watoto wasio na walezi wao? Vipi wanapolazimika kufanya hivyo?
Mtu asiye na akili timamu hatoingia mkataba maisha yake yote? Vipi inapomlazimu kufanya hivyo? Hakuna exception?
 
Ni icho tu unachokifahamu juu ya wasiopaswa kuingia mikataba? Hakuna exception kwa watoto wasio na walezi wao? Vipi wanapolazimika kufanya hivyo?
Mtu asiye na akili timamu hatoingia mkataba maisha yake yote? Vipi inapomlazimu kufanya hivyo? Hakuna exception?

hawezi kujua huyu mbeba box
 
This is a defeatist attitude. A way of chickening out. So agree with your own damn self. Don't include me in it.



You are a chicken.



Teh teh teh. Man listen, you can't even string together a coherent English sentence and you are here talking about kicking my ass? Instead of kicking my ass you are kicking your own ass.

What the hell is "get your ass kicked and I will definitely help to kick them":smile-big:? Does that make sense to you? You are a gift that keeps on giving, boy.

haiwezi kuleta sense kwako kwa sababu ubongo wako hauwezi kucomprehend vitu kwa urahisi slow soldier
 
only lawyers are the learned creatures in the world... other are just educated.... Am done. #No offence intended...
 
uwezo ndo wako umeishia hapo, huwezi kuelezea zaidi ya hapo na hiyo ni kwa sababu umedesea google. Kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract ambazo huzifahamu sio kutaja tu hao ambao umewataja, ambao pia kuna watu wengine umewasahau ambao wewe unaweza kuingia nao mkataba pia. Kubali tu haujui


We unaejiita Mgunduziforever mbona unataka kuifanya hili dubwana liitwalo sheria lionekane gumu sana, unaposema kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract,,,,, jaribu kutaja basi walau chache.

Unadizi kujionyesha jinsi gani usivyoweza kutetea hicho unachokielewa,, ,

Nini maana ya ishu nyingi, kwa nn wewe umeweza kuzifahah mm nishindwe au wengine, tafadhali usitake kuifanya sheria na uanasheria kuwa kitu cha ajabu sana kwenye hii sayari...
 
Last edited by a moderator:
We unaejiita Mgunduziforever mbona unataka kuifanya hili dubwana liitwalo sheria lionekane gumu sana, unaposema kuna ishu nyingi tu kwenye capacity to contract,,,,, jaribu kutaja basi walau chache.

Unadizi kujionyesha jinsi gani usivyoweza kutetea hicho unachokielewa,, ,

Nini maana ya ishu nyingi, kwa nn wewe umeweza kuzifahah mm nishindwe au wengine, tafadhali usitake kuifanya sheria na uanasheria kuwa kitu cha ajabu sana kwenye hii sayari...

kama wewe ni mwanasheria definitely utakuwa unajua hizo ishu za kitaalamu ninazozizungumzia hapa,nameless girl ameonesha mfano kidogo. Ila kama na wewe ni wale wale then pita tu kwa usalama,kabla mvua haijakushukia.Siko hapa kufundisha,to do so you have to hire and pay me accordingly.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha, nyie watu punguzeni bana, ngoja nijipitie zangu, msijeninanga bure

Yaani jamaa ni bonge la mshamba. Ananitukana hapa kwenye mada. Halafu anakuja ananitukana kwenye PM. Halafu eti anakana kuwa kanitukana kwenye PM ilhali hapa hapa kwenye mada kaniporomoshea matusi kama hayo hayo ya kwenye PM.

Halafu eti ana ujasiri wa kukana kwamba si yeye. Hahahaaa sijawahi kuona mtu juha kama huyu jamaa aisee.
 
Na hizo posts unazikana? Una ujanja wa kizamani sana wewe.

Hizo posts za matusi sijaandika mimi, mimi siwezi kumtukana mtu...fuatilia michango yangu yote humu JF uone kama nimeshawahi kumtukana mtu pamoja na kutofautiana mawazo
 
ukiona mpaka nimefikia hatua ya kukutukana publically ni kuwa unaboa mbaya

Wewe huyu huyu ndo umeandika hayo hapo juu.

nishakuambia sio mimi ambayo amepost hayo matusi, kama ningekuwa mimi sasa nimerudi kufanya nn

Na wewe huyu huyu unakana kwamba hujapost matusi. Hivi una akili timamu kweli wewe?
 
Mleta mada nakuonea huruma kwa jinsi ulivyoandika ukifikiri kuwa wewe ni mjuaji kumbe hujui au unajua katika namna potofu kwa kusukumwa na hisia zako(whims) zilizojaa kushindwa, kukata tamaa, na hasira dhidi ya taaluma ambayo huijui kabisa. Hasira/chuki na au unyanyapaa ulionao dhidi ya taaluma ya sheria unalandana na unyanyapaa ambao baadhi ya watu wanao dhidi ya ugonjwa na wagonjwa wa ukimwi, siku akipimwa na kuambiwa anao anakimbilia kujinyonga. Kumbe dawa kubwa ni kujikubali hali uliyonayo na kufuata masharti ya wataalamu utaishi na kamwe hutaichukia taaluma ambayo wewe huna.
 
kama wewe ni mwanasheria definitely utakuwa unajua hizo ishu za kitaalamu ninazozizungumzia hapa,nameless girl ameonesha mfano kidogo. Ila kama na wewe ni wale wale then pita tu kwa usalama,kabla mvua haijakushukia.Siko hapa kufundisha,to do so you have to hire and pay me accordingly.


Mkuu uwezo wako wa ku-argue mdogo saaaaana, na ni mwepesi sana wa kupandwa na jazba!!!

Unantisha eti kabla mvua haijanishukia,, mvua ipi hiyo?

Unawezaje kuwa lawyer endapo unashindwa kujenga hoja kwa mambo unayoamini kuyasoma mpaka uka-qualify kuwa mwanasheria, kiukweli nimesoma comments zako nimegundua hujiamini na kwa sababu ya kutokujiamini unaishia kusema mara, ,, oooooh kuna issues nyingi bla bla bla,,,, kila la kheri lawyer.
 
Yaani jamaa ni bonge la mshamba. Ananitukana hapa kwenye mada. Halafu anakuja ananitukana kwenye PM. Halafu eti anakana kuwa kanitukana kwenye PM ilhali hapa hapa kwenye mada kaniporomoshea matusi kama hayo hayo ya kwenye PM.

Halafu eti ana ujasiri wa kukana kwamba si yeye. Hahahaaa sijawahi kuona mtu juha kama huyu jamaa aisee.

wewe ndio utakuwa mshamba dude. Hakuna swala la ujasiri definitely sijapost wala kuandika matusi. Hutaki kuamini basi endelea kuamini unachokiamini
 
Mleta mada nakuonea huruma kwa jinsi ulivyoandika ukifikiri kuwa wewe ni mjuaji kumbe hujui au unajua katika namna potofu kwa kusukumwa na hisia zako(whims) zilizojaa kushindwa, kukata tamaa, na hasira dhidi ya taaluma ambayo huijui kabisa. Hasira/chuki na au unyanyapaa ulionao dhidi ya taaluma ya sheria unalandana na unyanyapaa ambao baadhi ya watu wanao dhidi ya ugonjwa na wagonjwa wa ukimwi, siku akipimwa na kuambiwa anao anakimbilia kujinyonga. Kumbe dawa kubwa ni kujikubali hali uliyonayo na kufuata masharti ya wataalamu utaishi na kamwe hutaichukia taaluma ambayo wewe huna.


Wewe nae umeandika nn hapa, chuki ikowapi kwa mtoa mada, jibu hoja acha kuonyesha jinsi usivyoelewa unachopost,.,
 
Back
Top Bottom