Wanasheria tusaidieni kufungua kesi mahakamani ili mikataba yote ya rasilimali zetu ambayo Rais Samia kasaini na wageni ipelekwe bungeni

Mbaya zaidi rasilimali zinazoshambuliwa ni za Tanganyika, baada ya hapo mtu anaenda kutulia zake Kizmkazi, wqtanganyika watabaki wanahaha wenyewe na kulaumiana na viongozi watanganyika waliokuwa na nanafasi wakati wa ushambuliaji wa rasilimali hizo.
 
Ila kabla ya kwenda bungeni pia watusaidie wananchi wapige kura ya maoni,juu ya imani yao kwa bunge letu pia,ili iwapo wataonyesha imani nalo,kusiwe na mashaka juu ya upitishwaji au ukataji wa maamuzi yake.Kura ya maoni isimamiwe na tume huru isiyo egemea serikali,bunge,wala mahakama.
 

Kwa ile IGA hata kama mimi ni DP. Yaani ningeiambia gov kuwa hata kuijadili ni haramu. Kifupi ningewakomesha milele after 1000 mngekuwa history.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…