Wapo sahihi, huwezi kuwapamba Hamas wanaoweka maisha ya wapalestina hatarini.
silaha za kurusha makombora wanaziweka kwenye makazi ya watu, misikiti, shule, n.k. wanafanya hivi maksudi ili watumie raia wema kama ngao, Makombora yakianza kurushwa kwenda kuwaua waisrael, Jeshi la Israel likilipua majengo yenye silaha wao wanarekodi wapalestina waliolipuliwa, wanaficha ukweli kwamba waliwkuwa wanarusha makombora kwenye majengo ya makazi ya watu.
Vuta picha huu mtambo unarusha roketi kama 20 kwa dakika na ni juu ya ghorofa la makazi ya watu, Makombora hayo yanaenda kuua waisrael, hapo Israel wakilipua jengo lenye mtambo huo ili kunusuru maisha ya waisrael na wapalestina wanaolipukiwa na makombora yasiyofika Israel, wa kulaumiwa ni nani ?
View attachment 2834609