Wanasheria wakuu wa States mbalimbali za Marekani wavipiga mkwara vyombo vya habari visiripoti habari za HAMAS

Nilipo kuuliza kuhusu Hamas hukuleta ngonjera hizi ulienda straight to the point ila nimekuuliza kuhusu Israel unaniletea ngonjera na maneno mengi yasiyo na maana.

Swali ni hili. Israel ni taifa la kigaidi ? Nasubiri jibu
 
Ni sahihi kudhuia habari za upotoshaji kwa kuwafunga mdomo watoa habari?
Wewe umejua kuwa mdori unatembezwa kama maiti ili kutafuta huruma ya watu, je waandishi wa marekani ni wajinga Sana mpaka wasing'amue hilo ambalo wewe umeliona na suluhu ikawa kuwafunga midomo?
 
Nilipo kuuliza kuhusu Hamas hukuleta ngonjera hizi ulienda straight to the point ila nimekuuliza kuhusu Israel unaniletea ngonjera na maneno mengi yasiyo na maana.

Swali ni hili. Israel ni taifa la kigaidi ? Nasubiri jibu
Msamiati "taifa la kigaidi" sikuutunga mimi. Ninajibu kuendana na tafsiri au definitions za taasisi na vyombo vya kimataifa pamoja na kuwa hakuna muafaka rasmi wa kidunia kuhusiana na suala hilo.

Nimekujibu, hakuna kigezo chochote kile chini ya sheria ya kimataifa kinachotumika kutangaza kwamba taifa fulani ni "taifa la kigaidi".
 
Ila vipo vigezo vya kutambua vyama fulani ni vikundi vya kigaidi ?
 
Ila vipo vigezo vya kutambua vyama fulani ni vikundi vya kigaidi ?
Hamas ni kundi la kigaidi kwa mujibu wa jumuiya, taasisi na mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Marekani ambayo ndiyo focal point ya huu uzi.

Hamas ni non-state actor, hivyo kulingana na sheria ya kimataifa, Hamas iko chini ya sheria ya Non-International Armed Conflict. Maana yake ni kwamba, katika mgogoro uliopo, sheria za nchi (state actors) kama Israel ama taifa lolote lile zinaweza kutumika dhidi yao.
 
Propaganda
 
Hivi unasoma kweli unacho ulizwa ?
 
Umeuliza follow-up question, umepewa jibu na mifano rahisi kabisa ambayo inahusiana na mjadala.

Karibu kwa swali jingine!
Sina maswali mengine zaidi ya hayo mawili niliyo kuuliza. Nasubiri majibu yake sio ngonjera
 
Hata kwenye social media wameanza kupiga watu mkwara

Marekani unaweza Kumsema vibaya Yesu kadri utakavyo, lakini ole wako useme ukweli juu ya Zionists!
Wanatumia gia ya “antisemitism”

Lakini kiukweli hii generation ya sasa imebadilika sana na pia social media ambapo wengi ndipo wanapopata habari generation z na hata millennials, ni kama “yellow journalism” ya enzi hizo ambayo ilileta mabadiliko makubwa na kuzishinda propaganda.

Lakini hawataweza too late na Biden anafahamu kuwa ni lazima asikilize otherwise anaweza kupigwa chini.

Shida ya Jews ni kwasababu ndo wameshikilia uchumi wa marekani kwenye sectors muhimu sana kuanzia kwenye tech, Wall Street hadi Hollywood, ndo maana mtu akituhumiwa kwa “antisemitism”, anaweza kufilisika kabisa.

Juzi tu yule tajiri wa Tesla alituhumiwa akaogopa hadi kwenda Israel kuonana na Netanyahu na kutembelea eneo liloshambuliwa na Hamas ili kujikosha.

Hata Kanye West kutoka kwenye kuwa billionaire hadi kuwa na utajiri wa 200m ni hayo hayo.

Na ni wengi sana wamepitia matatizo hayo.

Lakini wamarekani wengi wameshafunguka macho siyo kama zamanı tena ambapo propaganda zilifanya kazı.
 
Aisee huu mgogoro ndo umenionyesha kuwa Zionists wanacontrol America

1. Vijana wa vyo waliokuwa wanaprotest udhalimu wa Israel baadhi yao wamepewa onyo, na wengine wamekuwa flagged wasipate ajira ktk baadhi ya mashirika

2. Waandishi wa habari kama Mehdi Hassan waliokuwa wanawauliza maofisa wa Israel maswali magumu wamebadilishiwa vipindi

3. Leo AGs wametuma barua kwa vyombo vya habari visiwape fair coverage Wapalestina
 
Pro-Israel lobbying groups ipo kazini.

 
Hata yule wa MSNBC Ali Velshi alipitia matatani kwasababu hizo hizo.

Lakini mambo yanabadilika. Might be slowly, but surely.

Mfano wale settlers wayahudi ambao wameonekana wakivamia maeneo ya wapalestina kama kwenye ile bakery nk. Wamepigwa ban wasiingie marekani.

Wengine wanabeza hizo hatua kuwa ni kujaribu kujikosha kwa wamarekani, lakini ni jambo ambalo halikuwahi hata kufikiriwa kabla ya hapo.

Pia kauli za kuitaka Israel ijali kuhusu vifo vya watoto na wanawake, hazijawahi kutolewa na wamarekani. Zaidi zaidi ni kauli tulizokuwa tukisikia kwenye mashambulizi ya kigaidi na utekaji wa ndege nk kutoka kwa Islamists.

Kusikia kauli hizo kutoka kwenye vinywa vya wamarekani ni suala linaloonyesha kuwa nyakati zimebadilika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…