Wanasiasa 10 wenye hekima zaidi Tanzania hadi kufikia 2023

Wanasiasa 10 wenye hekima zaidi Tanzania hadi kufikia 2023

Labda uwe na Chuki zako tu, Kikwete kwa migogoro alioitatua nje ya Nchi, jinsi alivyoishi na wapinzani, the way anaovyoongea huhitaji elimu kujua ni mtu mwenye Hekima.
Wapinzani wapi alioishi nao? Hakuna kipindi wapinzani wamepokea kichapo km enzi za JK tena PM akitoa maagizo bungeni wapigwe tu..
Kuanzia Iringa alipokufa Mwangosi kwa bomu, to kichapo na Mauaji ya Arusha...To waandishi wa habari kumwagiwa Tindikali to watu kutekwa na kutupwa mabwepande..
 
Mwanancha namba moja.
1. Rais Samia Suluhu Hassan
2. J.M Kikwete.
3. Edward N. Lowasa
4. Simbachawene.
5. Mizengo Kayanza Pinda.
6. Benard Membe.
7. Hussein Mwinyi.
8. Jokate Mwegero.
9. Masauni.
10. Dkt. Philip Mpango.

Kuna wakati mwananch mwingine alitoa hii Orodha ya wanasiasa bora wa muda wote nchini Tanzania
Masauni akiwa na hekima Basi labda kuna maana tofauti ya neno hekima.
 
8. Jokate Mwegero.
Wait a minute umesema ?
8. Jokate Mwegero.
Nchengerwa hujamuona ?
8. Jokate Mwegero.
Hata Pindi Chana pia ?
8. Jokate Mwegero.
Dkt. Stagomena Tax je ?
8. Jokate Mwegero.
Hata Inno Bashungwa hayupo?
8. Jokate Mwegero.
Hata Doto Biteko ?
8. Jokate Mwegero.
Yaan hata Suleiman Jaffo pia ?
8. Jokate Mwegero.
Madilu nae hayupo ?
8. Jokate Mwegero.
Haya basi sawa, huo ni mtazamo wako binafsi
 
Wait a minute umesema ?

Nchengerwa hujamuona ?

Hata Pindi Chana pia ?

Dkt. Stagomena Tax je ?

Hata Inno Bashungwa hayupo?

Hata Doto Biteko ?

Yaan hata Suleiman Jaffo pia ?

Madilu nae hayupo ?

Haya basi sawa, huo ni mtazamo wako binafsi
Unetumia energy kubwa kujibu why
 
Mwanancha namba moja.
1. Rais Samia Suluhu Hassan
2. J.M Kikwete.
3. Edward N. Lowasa
4. Simbachawene.
5. Mizengo Kayanza Pinda.
6. Benard Membe.
7. Hussein Mwinyi.
8. Jokate Mwegero.
9. Masauni.
10. Dkt. Philip Mpango.

Kuna wakati mwananch mwingine alitoa hii Orodha ya wanasiasa bora wa muda wote nchini Tanzania

Namba 8, ndio nikajua ww ni pumbaf, mjinga wa kiwango cha juu, stupid
 
Kwanza sema wa CCM na si wa Tanzania, afu tena hii timu nzima ni ya CCM upande mmoja, upande mwingine huu hapa.

1. JPM
2. Bushiru
3. Ndugai
4. Makonda
5. Kabudi
6. Lukuvi
7. Biteko
8. January Makamba
9. Luhaga Mpiga
10. Tulia Ackson
 
Tanzania kuwa na hekima ni kuacha watu wafanye watakalo! Kutotaka kugombana na watu.

Hiyo list kumuweka Hussein Mwinyi ni kumkosea heshima.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom