Enthusiastic
Senior Member
- Dec 21, 2023
- 109
- 256
Kwa sababu watanzania wengi ni wajinga, wamezoea kudanganywa, wanadanganyika, wanapenda kudanganywa na hawapendi kuambiwa ukweli.
Kumekuwa na changamoto ya sera ya afya inayotaka huduma za uzazi na za watoto chini ya miaka mitano kushindwa kutekelezwa ipasavyo. Mimi nataka kuchangia kama ifuatavyo;
1. Huduma za afya hazitolewi Kwa matamko ya wanasiasa , huduma zinahitaji fedha. Vituo vinanunua dawa na vifaa tiba kutoka MSD na washitiri. Kule MSD vya bure ni condoms na ARVs nazo hatujui hatma yake baada ya Trump kufanya yake
2. Hospitali za umma zinaendeshwa na vyanzo mbalimbali vya mapato baadhi ni kama ifuatavyo
a. NHIF - Hili ni shirika la umma nalo lina changamoto zake
b. User fee- haya ni malipo ya papo kwa papo
c. Mfuko wa chanjo (GAVI) - Hapa huwezi sikia Kuna mtoto amelipia hela kuchanjwa. Chanjo zingine kama ya kichaa cha mbwa utalipia kwa sababu haiko kwenye ufadhili
d. Basket Fund - Hizi ni fedha ambazo hutolewa na serikali ikishirikiana na benki ya Dunia na wadau wengine wa maendeleo ambazo kwa baadhi ya hospitali hazikidhi mahitaji
3. Napenda kumpongeza RC Chalamila kwa kusema ukweli na kama wanasiasa wanataka huduma za uzazi na watoto chini ya miaka mitano zitolewe bure basi waitake serikali iongeze ufadhili kwenye huduma hizo vinginevyo waache porojo Kwa sababu tu watanzania wengi ni wajinga wajinga. Tafahali mods msiuunganishe Uzi huu
4. Ninaomba kuwasilisha
Kumekuwa na changamoto ya sera ya afya inayotaka huduma za uzazi na za watoto chini ya miaka mitano kushindwa kutekelezwa ipasavyo. Mimi nataka kuchangia kama ifuatavyo;
1. Huduma za afya hazitolewi Kwa matamko ya wanasiasa , huduma zinahitaji fedha. Vituo vinanunua dawa na vifaa tiba kutoka MSD na washitiri. Kule MSD vya bure ni condoms na ARVs nazo hatujui hatma yake baada ya Trump kufanya yake
2. Hospitali za umma zinaendeshwa na vyanzo mbalimbali vya mapato baadhi ni kama ifuatavyo
a. NHIF - Hili ni shirika la umma nalo lina changamoto zake
b. User fee- haya ni malipo ya papo kwa papo
c. Mfuko wa chanjo (GAVI) - Hapa huwezi sikia Kuna mtoto amelipia hela kuchanjwa. Chanjo zingine kama ya kichaa cha mbwa utalipia kwa sababu haiko kwenye ufadhili
d. Basket Fund - Hizi ni fedha ambazo hutolewa na serikali ikishirikiana na benki ya Dunia na wadau wengine wa maendeleo ambazo kwa baadhi ya hospitali hazikidhi mahitaji
3. Napenda kumpongeza RC Chalamila kwa kusema ukweli na kama wanasiasa wanataka huduma za uzazi na watoto chini ya miaka mitano zitolewe bure basi waitake serikali iongeze ufadhili kwenye huduma hizo vinginevyo waache porojo Kwa sababu tu watanzania wengi ni wajinga wajinga. Tafahali mods msiuunganishe Uzi huu
4. Ninaomba kuwasilisha