Wanasiasa acheni kuwachonganisha watoa huduma za afya na wananchi

Wanasiasa acheni kuwachonganisha watoa huduma za afya na wananchi

We mpumbavu unaishia Afrika ndiyo Maana unaropoka ujinga, umelelewa kimasikini ukakua na mentality za roho mbaya ndiyo maana unaona jambo la ajabu mzazi kulipwa
Kwa stahili hii huku umetukana ukaanzisha uz umetukanwa kweli mzee
 
Acha porojo wewe, unajua wananchi ndo wanajenga vituo, kulipa mishaara ya watumishi kupitia kodi zao ? Hii agenda njoo nayo taratibu , watz sio mazwa.
Ndio tunalipa Kodi lakini je, nikiasi gani cha kodi zetu zinaelekezwa kwenye huduma zetu za afya? Je, pesa inayopelekwa na serikali inatosheleza? Kimsingi serikali yenu ndo yenye porojo
 
Back
Top Bottom