leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
Haaaaa kweli bro umetisha umenifundisha kituWe pata picha mtu anayetuhumiwa kuwa alipata zero ndani ya miaka isiyozidi 5 amefikia level ya juu ya uongozi unadhani akili ni makaratasi yaliyowekewa number kisha yakawekwa kabatini ambapo hata wanaoishi ndani ya nyumba yako hawaelewi maana yake?
Someone to have a knowledge is not a matter to perform well in the classroom! But if he/she use it to gain something or win the battle magistically also we term it as high level of knowledge and skillsUnamjua mtu anaye itwa Prof Shivji
Bibi titi
Dr salim
Sokoine
Prof Maliyamkono
Hao wachache sijui kama wewe shabiki au mtafit
Hahahaha maneno yako ni kweli mtupu! Namba 6 unyenyekevu wake utampaisha sana!Namba moja babu Wa loliondo!!
Sasa ukiijua utapata faida ganiTungejua iq ya mtoa mada
Pesa za mbonga no 6Hivi hatuna wanawake wenye akili!!!!
Umesahau MboweNamba 6. Nakuunga Mkono. Mwanasiasa Mtata na Asiyetabirika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]LMAOnamba 10 mbona ni mgonjwa wa akili.
Kweli kabisa afu wote elimu zao ni utata fulani yaani taarifa zinagongana.Umesahau Mbowe
Kabisa yaani jamaaa huwa haogopi kitu.Namba 6. Nakuunga Mkono. Mwanasiasa Mtata na Asiyetabirika.
Mambo wanayofanya kama huna akili huwezi fanya, wanasumbua vichwa Mamilioni wewe unaweza kusumbua hata vichwa kumi tu?Number 6 na 7 umeproove failure kabisa