Wanasiasa mkemeeni Karia wa TFF, amesababisha mpasuko mkubwa mno kwenye timu yetu ya taifa

Wanasiasa mkemeeni Karia wa TFF, amesababisha mpasuko mkubwa mno kwenye timu yetu ya taifa

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.

Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."

Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."

Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.

Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!

Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.

Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.

Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."

Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."

Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.

Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!

Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.

Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.

Mungu ibariki Tanzania.
Karia wala usihangaike naye, atang'olewa kwa hujuma kama yeye alivyowahujumu wenzake
 
Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.

Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."

Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."

Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.

Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!

Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.

Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.

Mungu ibariki Tanzania.

Mechi ya marudiano Msomali atapanga timu bila wachezaji wa Utopolo!
 
Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.

Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."

Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."

Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.

Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!

Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.

Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.

Mungu ibariki Tanzania.
MUNGU KATU HAWEZI KUIBARIKI TANZANIA MPAKA CCM IFE
 
Hivi mnajua kuwa siku TFF ikiamua kufanya kazi kwa weledi wahuni na wababaishajj wengi kwenye soka watatafuta kazi za kufanya??
 
Kaka umetanguliza mhemko zaidi bila kubainishi ni namna gani amesababisha huo mpasuko
Tueleze kinagaubaga
 
Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.

Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."

Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."

Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.

Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!

Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.

Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.

Mungu ibariki Tanzania.
Sikiliza wewe; hakuna justification yoyote kushangailia nchi yako kupoteza 'medal'. Karia ana matatizo yes, ila Tanzania ikiwa sehemu ni taifa. #Walioshangilia wamekosea sana. 🙏🙏🙏
 
Hivi TFF huwa inajukumu gani nchini.?

Maana Kwa mfano, Timu zetu zikienda nje, huhujumiwa wazi wazi, lakini timu ngeni zikija hapa, hakuna hujuma ili timu zetu zifuzu, kwani TFF huwa inaogopa nini kufanya hujuma kama zinavyofanyiwa hujuma timu zetu zikitoka?

Je, Ni lini TFF imewahi kuwa na mpango wa angalau timu moja wapo hapa nchini au timu ya taifa kuhakikisha inaleta japo kombe??

Pengine mtaniambia kuwa siyo kazi yao! Wapo hapa kufanya nini sasa ikiwa hata uendeshaji wa ligi tu umewashinda?

Timu zinahonga marefa na kununua mechi na wao wapo tu pale?

Hovyo kabisa
 
Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.

Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."

Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."

Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.

Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!

Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.

Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.

Mungu ibariki Tanzania.
Wala Karia hahusiki,siku mkija kuacha upumbavu wenu wa Simba na Yanga ndio mtakuja kuendelea..

Ligi inaendeshwa Kwa matakwa ya Simba na Yanga ,timu zingine zinaonewa nk ndio maana Huwa siangaliagi mpira wa Bongo hata siku moja..

Safi Sana Uganda kawanyoeni na kule
 
Hivi mnajua kuwa siku TFF ikiamua kufanya kazi kwa weledi wahuni na wababaishajj wengi kwenye soka watatafuta kazi za kufanya??
Kwani wanaouaa soka bongo mpaka sahvi hamjawajuaaa

Ova
 
Wala Karia hahusiki,siku mkija kuacha upumbavu wenu wa Simba na Yanga ndio mtakuja kuendelea..

Ligi inaendeshwa Kwa matakwa ya Simba na Yanga ,timu zingine zinaonewa nk ndio maana Huwa siangaliagi mpira wa Bongo hata siku moja..

Safi Sana Uganda kawanyoeni na kule
Umejibu vizuri

Usimba na uyanga ndiyo unaua soka

Ova
 
Hivi TFF huwa inajukumu gani nchini.?

Maana Kwa mfano, Timu zetu zikienda nje, huhujumiwa wazi wazi, lakini timu ngeni zikija hapa, hakuna hujuma ili timu zetu zifuzu, kwani TFF huwa inaogopa nini kufanya hujuma kama zinavyofanyiwa hujuma timu zetu zikitoka?

Je, Ni lini TFF imewahi kuwa na mpango wa angalau timu moja wapo hapa nchini au timu ya taifa kuhakikisha inaleta japo kombe??

Pengine mtaniambia kuwa siyo kazi yao! Wapo hapa kufanya nini sasa ikiwa hata uendeshaji wa ligi tu umewashinda?

Timu zinahonga marefa na kununua mechi na wao wapo tu pale?

Hovyo kabisa

Timu ipate ushindi wa hujuma kisha utashangilia? Ila kwakuwa ww ni mwanaccm, sishangai kutaka ushindi wa hujuma maana hiyo iko kwenye damu.

Karia hawezi kukemewa na wanasiasa hasa wa CCM, kwani ubaguzi wake ndio ubaguzi wafanyao ccm.
 
Wala Karia hahusiki,siku mkija kuacha upumbavu wenu wa Simba na Yanga ndio mtakuja kuendelea..

Ligi inaendeshwa Kwa matakwa ya Simba na Yanga ,timu zingine zinaonewa nk ndio maana Huwa siangaliagi mpira wa Bongo hata siku moja..

Safi Sana Uganda kawanyoeni na kule

Kuangalia mpira wa bongo ni kupoteza muda, maana tayari matokeo ni kwa ajili ya simba na Yanga kushinda. Cha ajabu watu wanawehuka kwa hayo matokeo ya kupangwa.
 
Kuangalia mpira wa bongo ni kupoteza muda, maana tayari matokeo ni kwa ajili ya simba na Yanga kushinda. Cha ajabu watu wanawehuka kwa hayo matokeo ya kupangwa.

Ni kweli kabisa ndugu, yaani ushindi wa simba na yanga naufananisha kabisa na ushindi wa CCM, mwingi unapatikana kwa hila kuliko uwezo. Siku timu za Simba na Yanga zinaingia kwenye ushindani wa kweli ndio soka letu litaboreka.
 
Back
Top Bottom