Manara ni kiongozi wa TFF?Weledi bila elimu ni uchawi... na ndo runachokiona!
Somethings don't just happen by chance!
Uliza elimu zao... Anza na Manara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara ni kiongozi wa TFF?Weledi bila elimu ni uchawi... na ndo runachokiona!
Somethings don't just happen by chance!
Uliza elimu zao... Anza na Manara
Nimetumia kama mfano... Je, TFF kuna wanaomzidi au wapo kama yeye?Manara ni kiongozi wa TFF?
Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.
Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."
Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."
Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.
Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!
Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.
Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.
Mungu ibariki Tanzania.
Acha utapeli. Mambo ya kujinukuu hayana maana.Kwa nilichokishuhudia uwanja wa Taifa ni aibu kwa mamlaka za mpira wa miguu hapa Tanzania.
Kundi kubwa la mashabiki waliosemekana ni wa Yanga walishangalia bila aibu goli/ushindi wa timu ya Taifa ya Uganda huku wakisema "acha mwana majivuno Karia apigwe ili aendelee kuwafungua wana michezo wa kweli."
Wengine wakadai " haya Karia kawafungie na Uganda kushiriki mashindano kwa kuwafunga Taifa Stars."
Hakika nukuu hizo hapo juu ni wazi zinasadifu chuki kubwa iliyopo kwa baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu hapa nchini.
Mpasuko huo unaojionyesha bayana hakika si wa kupuuzwa hata kidogo!
Ni wajibu wa mamlaka za nchi kumkemea Karia aache maneno yake ya nyondo na uonevu kama upo kwa mashabiki wa timu zingine hapa nchini.
Mpasuko kwenye jambo lihusulo maslahi mapana ya nchi hakika si wa kupuuzwa hata kidogo.
Mungu ibariki Tanzania.
Wachezaji hatuna nchi hii halafu lawama anapewa Karia. Ni Ajabu.Karia ana shida gani!? Ye,ndo anacheza!
Nchi hii hakuna Moira Kuna upuuzi tu wa midomoni basiNi kweli kabisa ndugu, yaani ushindi wa simba na yanga naufananisha kabisa na ushindi wa CCM, mwingi unapatikana kwa hila kuliko uwezo. Siku timu za Simba na Yanga zinaingia kwenye ushindani wa kweli ndio soka letu litaboreka.
Well said mkuu. Eti mleta mada analeta upuuzi wa Simba na Yanga jukwaani na kutuaminisha kuwa taifa Stars imeshindwa kwasabb ya Karia. Ujinga mtupu.Wala Karia hahusiki,siku mkija kuacha upumbavu wenu wa Simba na Yanga ndio mtakuja kuendelea..
Ligi inaendeshwa Kwa matakwa ya Simba na Yanga ,timu zingine zinaonewa nk ndio maana Huwa siangaliagi mpira wa Bongo hata siku moja..
Safi Sana Uganda kawanyoeni na kule
Angalia mjinga mwingine huyu hapa. Aliyekuambia kazi ya vyama vya mpira ni kufanya hujuma kwa timu toka nje ya nchi ni Nani? Ujinga huu mtauacha lini enyi wapumbavu?lakini timu ngeni zikija hapa, hakuna hujuma ili timu zetu zifuzu, kwani TFF huwa inaogopa nini
Wanaongozwa na hisia za Haji ManaraUtakuwa miongoni mwa hao mashabiki wajinga.
USICHOKIJUA LIGI YA SASA TANZANIA NDIO LIGI BORA EAST AFRICA.Tangu akili kukomaa, nimeona vipindi vitatu vya uongozi wa TFF: enzi za Ndolanga, Tenga, na sasa Karia.
Kwa maoni yangu, TFF ya Tenga ilikuwa sirias katika kukuza soka Tanzania.
Kwenu wakongwe!