DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna uhuni flani unaendelea , kuna watu wakiwekwa wazi nchi itakua shocked , wana sifa nzuri sana kwenye public lakin ni hovyo sana
 
halafu kuna watu wanataka waizime
 
hakuna maajabu kwenye mifumo ya tehama , tunaaminishwa ni migumu ili wapewe watu wa pembeni watu wapige 10% , kimsingi nawachukia sana watu wanaoharibu kesho ya taifa letu
Kinachopaswa kupiganiwa ni watu wafanye kazi bila mashaka ya kesho nchi kuwekwa mifukoni mwa watu kadhaa , Dunia imebadirika digital era hii tuna embrace ubinafsishaji wa mifumo ya serikali
 
Yaan watu wanataka Rais akiandika memo ipite kwenye mfumo wa mtu binafsi tena wa mchongo? we have the most corrupt politicians and senior leaders in some organizations of all time
 
The most corrupt elite people on government tech institution wanaendelea kuongoza taasisi Muhimu ambazo zinahusika kwenye decision making, Maxence Melo you can fact check this by verifying Tech leaders wa wizara ya fedha na mipango , checki their credibility kuna mtu wa honyo sana pale utakuja kunishukuru .
Ntakua nakufungulia code kila siku
 
Aisee Rais awe makini sana na baadhi ya watu,TISS imsaidie EGA ni moja ya taasisi bora sana.Alianzisha JK ikaja kuimarishwa JPM wasikubali ipotwwee serikali itapoteza mapato mengi.
 
Tiss wanatakiwa kushughulika na makundi ya kiharamia aina hii.
 
Sauti kwanza wajue tumejua/imesikika... then huku tukitafakari hatua za vitendo.
The trap has been set , i don't think kama wata escap , kuna mmoja wao anahangaika na kusumbua hadi PM anajitetea eti watu wana mframe , tunaomba atulie hivyo hivyo syndicate yao imefukuliwa warelax yaan
 
Tiss wanatakiwa kushughulika na makundi ya kiharamia aina hii.
Half classfied intel ni kwamba tayar wako kwenye radar za TISS , no more explaination , nazionea huruma familia zao maana wameziingiza matatani kwa ulafi wao , now let them enjoy the side B of their game
 
Aisee Rais awe makini sana na baadhi ya watu,TISS imsaidie EGA ni moja ya taasisi bora sana.Alianzisha JK ikaja kuimarishwa JPM wasikubali ipotwwee serikali itapoteza mapato mengi.
Nilikua moja ya watu niliokua nashangaa sana kwa nin TISS wamekausha kwenye hili swala ,lakin just for your info ,TISS wameshaifanya priority 1 hii issue , kuna watu soon mtasikia moshi umewafika
 
Hata kama ni kweli, Ila sidhani Kama E-GA is that competent. So isiangaliwe Kama wanasiasa wanataka iua Ila efficiency ndo inatafutwa. Sasa why hatuwezeshi vya ndani Hilo sijui
IT bado ni fani changa. Kuna fani kongwe kama Civil engineering. Hivi umewahi kujiuliza ni kwa ninj hadi leo miradi mikubwa ya barabara na ujenzi wa maghorofa inafanywa na kampuni kutoka nje? Miaka yote hii tumeshindwa kujifunza na kuweza kuendesha hii miradi kupitia makampuni ya Wa Tanzania?

Jibu ni kwamba hatuko strategic. Hatuna mipango madhubuti ya ku transfer technology. Kwa hiyo tutaendelea hivyo hivyo.

Kuhusu swala la eGA wengine waliochangia humu hawajui undani wa Tech na Performance ya eGA.

EGA iliundwa ili iratibu na kusimamia ujenzi na mifumo na miundombinu ya TEHAMA serikalini. Ni kama PPRA wanavyo simamia masuala ya procurement.

Kipindi eGA inaanzishwa taasisi nyingi zilikuwa hoi kimifumo...hivyo walihanasisha na kuanza kutengeneza tovuti na vimifumo vidogo vidogo. Wamefanya kazi nzuri. Lakini tatizo ni kwamba kwa wao kutengeneza mifumo wanakuwa ni marefaree na wachezaji. Kunakuwa na conflict of interest ambayo siku za usoni inaweza kuwa na madhara.

Hivyo inatakiwa eGA waachane na biashara ya ujenzi wa mifumo wajikite kwenye usimamizi wa mifumo.

Huwezi kuwa una jenga mifumo na ku audit mifumo mwenyewe.
 
Uko sahihi. kuwe na mkakati wa ku transfer technology. Kama TRA wanavyofanya..kufanya kazi na wakorea ni jambo zuri.

Mifumo na hata tovuti zinazojengwa na eGA ni za kiwango cha chini sana.
 
Hii inatokana na udhaifu wa mifumo yetu ya Ulinzi na Usalama. Pia udhaifu wa BUNGE bunge ambalo linapoteza muda na fedha na kuwa rubber stamp kupitisha kila bajeti bila upembuzi.

Udhaifu wa Katiba imetoa madaraka na kinga hata kwa wahalifu na wanaotumia madaraka yao kwa kujinufaisha.

Kama wangekuwa wanashitakiwa, wananyongwa na kufilisiwa mali zilizo nje na ndani upuuzi huu usingekuwepo.

Ova
 
Mimi nikisema wanasiasa ni viumbe hatari, kuna majitu inasema mdini, Tunatakiwa tuogope wanasiasa kuliko hata tunavyoogopeshwa na wakuu wa imani kuhusu dhambi.

Wananchi wanapiga kelele sasa kuhusu eGA lakini hatusikii hata wanasiasa yoyote kuliongelea hili na kwenye jukwaa hili la JF wapo. Kisha litapitishwa bungeni kwakupigia kura nyingi za ndiyo.

Nisiwe mnafiki bila kitu kinachoitwa haki za binadamu ningekuwa natandika viboko kiume yeyote aliye mbele yangu anaye jiita wanasiasa maana hao viumbe ndiyo waliyotufikisha hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…