Mimi nilitengeneza project moja tu tena chuoni, baada ya kusoma kaupepo nikashift wenzangu mpaka leo wanatengeneza viappsš¤£š¤£mazingira yanabanwa sana kama hivi ,watu wanakatishwa tamaa na kuamua kuanza career tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilitengeneza project moja tu tena chuoni, baada ya kusoma kaupepo nikashift wenzangu mpaka leo wanatengeneza viappsš¤£š¤£mazingira yanabanwa sana kama hivi ,watu wanakatishwa tamaa na kuamua kuanza career tofauti
Kuna uhuni flani unaendelea , kuna watu wakiwekwa wazi nchi itakua shocked , wana sifa nzuri sana kwenye public lakin ni hovyo sanaKuna halmashauri sasa hivi zime-outsource kukusanya mapato, imenichekesha Sana. Halmashauri zimeipa kampuni binafsi kukusanya mapato. Fatilia sasa mwenye hiyo kampuni
Bado nawaza raisi, waziri na viongozi wengine wameweza kukubali vipi kitu kama hiki?
halafu kuna watu wanataka waizimeEGA imeanzishwa 2019, Ila kabla ya hapo kulikua na hiyo wakala wa serikali mtandao. Ni kitu kimoja japo majukumu yalikuja kuboreshwa na kutungiwa Sheria zingine
Serikali mtandao imeanzia mbali kabla hata ya JK, ni toka enzi ya mkapa. Ila kila awamu kulikua na maboresho
Muhimu tuairudi nyuma, badala ya kuidhohofisha EGA, kwa sasa ndio ilipaswa ipewe nguvu zaidi maana teknolojia imekua kwa kasi.
hakuna maajabu kwenye mifumo ya tehama , tunaaminishwa ni migumu ili wapewe watu wa pembeni watu wapige 10% , kimsingi nawachukia sana watu wanaoharibu kesho ya taifa letuMifumo ya TRA ni rahisi hadi mtu kuwa na uwezo wa kuhack na kufanya yako.
Kinachopaswa kupiganiwa ni watu wafanye kazi bila mashaka ya kesho nchi kuwekwa mifukoni mwa watu kadhaa , Dunia imebadirika digital era hii tuna embrace ubinafsishaji wa mifumo ya serikalihakuna maajabu kwenye mifumo ya tehama , tunaaminishwa ni migumu ili wapewe watu wa pembeni watu wapige 10% , kimsingi nawachukia sana watu wanaoharibu kesho ya taifa letu
The most corrupt elite people on government tech institution wanaendelea kuongoza taasisi Muhimu ambazo zinahusika kwenye decision making, Maxence Melo you can fact check this by verifying Tech leaders wa wizara ya fedha na mipango , checki their credibility kuna mtu wa honyo sana pale utakuja kunishukuru .EGA imeanzishwa 2019, Ila kabla ya hapo kulikua na hiyo wakala wa serikali mtandao. Ni kitu kimoja japo majukumu yalikuja kuboreshwa na kutungiwa Sheria zingine
Serikali mtandao imeanzia mbali kabla hata ya JK, ni toka enzi ya mkapa. Ila kila awamu kulikua na maboresho
Muhimu tuairudi nyuma, badala ya kuidhohofisha EGA, kwa sasa ndio ilipaswa ipewe nguvu zaidi maana teknolojia imekua kwa kasi.
Mwanasiasa wa hivyo Ni mchwa wa nchi hiiNikiona mwanasiasa au msanii anamlima mtu tofali basi namuona mwanasiasa/msanii mwepesi/mzushi/longolongo.
Sauti kwanza wajue tumejua/imesikika... then huku tukitafakari hatua za vitendo.Sauti peke yake itabadili nini?
Tiss wanatakiwa kushughulika na makundi ya kiharamia aina hii.E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia
Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.
Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.
Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).
Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.
Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili
************************* UPDATES********************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.
1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.
3. Wakisha kubaliana bungeni, E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA.
4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.
Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
The trap has been set , i don't think kama wata escap , kuna mmoja wao anahangaika na kusumbua hadi PM anajitetea eti watu wana mframe , tunaomba atulie hivyo hivyo syndicate yao imefukuliwa warelax yaanSauti kwanza wajue tumejua/imesikika... then huku tukitafakari hatua za vitendo.
Half classfied intel ni kwamba tayar wako kwenye radar za TISS , no more explaination , nazionea huruma familia zao maana wameziingiza matatani kwa ulafi wao , now let them enjoy the side B of their gameTiss wanatakiwa kushughulika na makundi ya kiharamia aina hii.
Nilikua moja ya watu niliokua nashangaa sana kwa nin TISS wamekausha kwenye hili swala ,lakin just for your info ,TISS wameshaifanya priority 1 hii issue , kuna watu soon mtasikia moshi umewafikaAisee Rais awe makini sana na baadhi ya watu,TISS imsaidie EGA ni moja ya taasisi bora sana.Alianzisha JK ikaja kuimarishwa JPM wasikubali ipotwwee serikali itapoteza mapato mengi.
IT bado ni fani changa. Kuna fani kongwe kama Civil engineering. Hivi umewahi kujiuliza ni kwa ninj hadi leo miradi mikubwa ya barabara na ujenzi wa maghorofa inafanywa na kampuni kutoka nje? Miaka yote hii tumeshindwa kujifunza na kuweza kuendesha hii miradi kupitia makampuni ya Wa Tanzania?Hata kama ni kweli, Ila sidhani Kama E-GA is that competent. So isiangaliwe Kama wanasiasa wanataka iua Ila efficiency ndo inatafutwa. Sasa why hatuwezeshi vya ndani Hilo sijui
Uko sahihi. kuwe na mkakati wa ku transfer technology. Kama TRA wanavyofanya..kufanya kazi na wakorea ni jambo zuri.Kwa chap chap ninavyofikiri,bila kuathiri Sheria za nchi maana sijui taratibu za nchi kuhusiana na usalama wa taarifa zake, nadhani waanze kwa kununua systems/programs duniani then wa customize to fit the need. Then pale watakapokua fit waanze kuzidevelop from scratch. Hii ya ku develop from scratch naona yaweza kuwa shida zaidi.
Mtazamo wangu