gwakipanga
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 794
- 638
Mhh, hii ni kweli jamani? Maana kwa kazi za ega ukizisoma kwenye act yake ya 2019 mbona ni Kama itakua impossible hayo majukumu kuachiwa kwa private companies? Au majukumu yatagawanywa?************************* UPDATES**********************************************************************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.
1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.
3. Wakisha kubaliana bungeni , E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA .
4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.
Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
Na huo mfumo ipo siku mtu atapita na hilo koba.. watu muanze kuliaKimsingi kuna taasisi fulani ni consultant wa hiyo mifumo aisee kwa miaka 4-5 existence yao ni kama haipo! Wao ndo walikuwa quad wa epicor kuanzia ver 7.0 hadi 10.2 ambayo ilikuja phase out baada ya MUSE.
Vita kubwa ipo kwenye mfumo wa bill wa serikali wa GePG maana hapo haipotei hata mia...each sent inakuwa countable as long as bill inalipwa thru control number!
MUNGU ATUSAIDIE
Wabunge hawayaoni haya?E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia
Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.
Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.
Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).
Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.
Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili
************************* UPDATES**********************************************************************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.
1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.
3. Wakisha kubaliana bungeni , E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA .
4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.
Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
Ile hela yake tushapigwa tayari. Unaambiwa mfumo tayari umeshaanza kazi. Yule kichwa Nazi ana utapeli wa kitoto sana yuleHivi mfumo ule wa tanesco uliweka na makamba juzi kupitia kampuni ya kihindi lwa sh 70b umeshakufa tena jamani mpaka uwekwe mwingien
unajua wazi policy za JamiiForums , ukitaja majina ya watu you have to submit evidence ambazo hazina shaka .matatizo yanaanza hapo ".....sitawataja...". alafu unategemea mambo yabadilike
U will be suprised , genge limeshajipanga , mama samia wanamzunguka hatari sana , akija kushtuka they are on her neckMhh, hii ni kweli jamani? Maana kwa kazi za ega ukizisoma kwenye act yake ya 2019 mbona ni Kama itakua impossible hayo majukumu kuachiwa kwa private companies? Au majukumu yatagawanywa?
free fall and banana republic pekee ndio inaweza kuruhusu huu ushenzi .Ile hela yake tushapigwa tayari. Unaambiwa mfumo tayari umeshaanza kazi. Yule kichwa Nazi ana utapeli wa kitoto sana yule
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
This is madness , hivi watoto wa maskini waliopo E-GA wanaishije na hizi taarifa? these are very disturbing news.************************* UPDATES**********************************************************************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.
1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.
3. Wakisha kubaliana bungeni , E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA .
4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.
Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
Januari makamba na mgosi mwenzake maharage kuingia tu wakaingiza mfumo wa wahindi. Kenya nahisi kuna kampuni zinazokula njama na wanasiasa wa tanzania.E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia
Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.
Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.
Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).
Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.
Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili
************************* UPDATES********************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.
1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.
3. Wakisha kubaliana bungeni, E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA.
4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.
Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
Rais Samia still anaweza , tuzidi tu kumsaidia kwa kumulika mbwa mwitu wanaotaka kumkaba shingo bila yeye kujuaJanuari makamba na mgosi mwenzake maharage kuingia tu wakaingiza mfumo wa wahindi. Kenya nahisi kuna kampuni zinazokula njama na wanasiasa wa tanzania.
Magufuli aliwafunulia watanzaniabkuhusu wizi wa hela na mali za umma kwamba ni wa kutisha. Tuombe sana mungu 2025 tupate mwingine mwenye uchungu na maendeleo ya mtanzania.