DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu ulisema uzi huu umefutwa....

Ikawaje?
 
Nina kijana wangu ambaye ametoka kwenye kiuno changu aliyebobea kwenye kuunda mifumo ya kielekroniki, ameniambia kuna watu wanategemea kupata 10% ndio hao wanaocheza na mifumo ili ionekane haifai kisha deals wapewe watu wao.
I know vijana wachache pale very talented, actually i can say those few guys ni genius sana , sio wote lakin kuna vijana ega wana brain nzuri sana . Serikali ikipatazama vizuri badala ya kupavuruga , hio itakua silcon valley yetu .

Maisha ya kuangalia maslahi binafsi yakupinga kabisa .
Tuwe wazalendo ,tukuze vipaji vyetu , watoto wetu wasiishie kuja kuwa watazamaji wa mifumo ikitengenezwa na kuuzwa nchini.
 
Kuna mtu yupo PPRA pale ni zao la EGA lakini anabomoa E-GA utadhani imemchukulia mke wake , jamaa ananunua hadi vijana wa E-GA kadhaa ili waihujumu E-GA , unaambiwa jamaa ameunda gang ya maana hatari , wameona kuiua kawaida hawawezi sasa wananunua vijana kwa pesa ili vijana wasifanye majukumu yao ya msingi wawe wanawazungusha kwenye vikao mbali mbali washindwe kufanya kazi .
Sema Mushir** ni hatari sana .
 
Shit....

Rais achukue hatua haraka sana E-GA watu watapeana sumu.

Awamu ya Rais Magufuli kuna ushenzi kama huu uliibuka , Rais Magufuli aliamuru department nzima kuhamishwa, huyo mushiro alihamishwa na department yake yote , kuanzia mkurugenzi wa idara hadi ofisa wa ngazi ya mwisho , maana sumu ilikua imesambaa idara nzima; jamaa akawa benchi kwa muda.

Amepenya sasa yupo PPRA kama mkurugenzi wa … pale , amejoin gang na wenzake sasa they are back for revenge Mungu wangu.

Hivi tuna usalama wa Taifa active kweli nchi hii? yaan maafisa usalama mmesinzia kabisa mnasubiri vijana wapigwe sumu muandike Rest in peace au sio?

Idara ya usalama wa Taifa hamna msaada and you have no idea na kinachoendelea .

Mmesinzia usingizi mnahitaji kuamshwa na mijeredi ya moto , subirin waue vijana wa E-GA mtaelewa nyie endeleeni kula shisha
 
Wanamwita Serial Entreprenuer, Tech Mogul 😂😂
 
Kwa hapa tulipofika nadhani ni serikali kufanya maamuzi ya kugharamia kuwapeleka vijana wa kitanzania ambao ni IT kwenye vyuo vyenye ubora huko nje tunakoamini kwamba wako mbele kidogo ktk sayansi yenye kuhusiana na IT ili wakapate ujuzi ambao utaendena na technologie ya sasa kwenye mifumo

gharama ya kusomesha haitakuwa ghali ukilinganisha na gharama ya kununua mifumo na tena kupitia hao watakaokuwa wamepata elimu basi watakaofanya nao kazini maofisini nao watajifunza hivyo mwisho wa siku tutakuwa tunazalisha wataalamu endelevu kila miaka inaposonga.
 
Wakati Ni Sasa, Awamu Ya Muhari Waitaiuwa Tu Hakuna Namna Yoyote Uongozi Umedorora
 
Rule ya mwanasiasa nikutafuta deal zakumuingizia hela unafikiri hela zakampeni zao 2025 watatoa wapi. ..michongo ndio hii yakutafuta hela ilowachomoke.
Hata kampuni binafsi hii ipo sana kinachowazuia ni uimara wa anaewaongoza kua lazima tubane matumizi nakutumia pale palippnaulazima
 
Wabongo wapo wazuri sn tena mno. ..shida wengi niwatoto wamaskini hawana network yakutosha. .wengine wameachakabisa IT nakwenda kufanya kilimo
 
Hapa naona mnachanganya mambo.

Mtoa mada ametoa dokezo kwamba Ega inaenda kupigwa chini yaani wanatolewa wanarudishwa "wapigaji" ,kuna tofauti ya kununua mifumo kutoka kwa wapigaji na wapigaji kuendesha mifumo baada ya kununua.

Ega kununua mifumo na kuiendesha wao siyo tatizo hata mabenk na taasisi mbalimbali zinanunua mifumo ,hata oracle/window ni mifumo ya nje hatuna OS zetu tulizodevelop sisi watanzania nadhani ushaanza kuelewa nini maana ya mfumo.

Kumbuka zamani malipo ya serikali yalikuwa "manually aka makaratasi" ,JIWE akaanzisha mfumo wa EGA(control number) lengo kwamba malipo yote ya serikali yanaratibiwa hapo hivyo baadhi ya aggregator(3rd parties) wakaondolewa some of them ni MaxMalipo, Selcom .....Hao ndio walikuwa wanapiga pesa before Ega ,kwasasa hayo makampuni yanapumulia mashine hivyo wanasiasa wanafanya lobbying warudishwe hao 3rd parties ili waendelee kupiga pesa.

Wabunge msiturudishe kwa wapigaji ,EGA iendelee kufanya kazi haiwezekani mapato ya serikali yakusanywe na 3rd party(Mtu kati aka dalali).
 
Nini suluhu ya icho unachosema?km kuna mapungufu nadhani serikali itoe ufadhiri kwa vijana wakapikwe ili wawe na uwezo ili mifumo nyeti itengenezwe hapa mkuu
 
Yes RAIS ni taasisi kubwa ana jua ndio maana hata sisi tunasema hapa , lakini haimaanishi ana endorse hio move.
wanasiasa waovu wanapambana kutaka kumruka asijue ujanja wao , lakini bahati nzuri kamba yao imejulikana
Hizi ni story za kujifurahisha tu hana anachoweza kufanya.. watu wemepiga hela CAG amethibitisha umeona kilichofanyika? tuungane tudai Katiba Mpya itakayotuwekea mifumo mipya yakufunga..kufilisi nakufunga wangu ikiwe Rais ikiwa atazingua!
 
Binafsi mama sijaona shida yake ndio maana mpaka naandika hapa mama amewagomea , wanapambana sana wamruke mama anakaza
Ili tumuamini alete mchakato wa Katiba mpya vinginevyo haya yatakuwa ni maneno ya waunga juhudii tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…