MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Huu mchakato umepamba moto, Juzi juzi hapa nimesoma makala moja kutoka katika gazeti la The Citizen mwandishi inaonekana kabisa ana nia ovu kwani aliyoyaandika hayana ukweli hata kidogo nikabaki najiuliza lengo lake ni nini haswa.?? Mama Samia ukizama ukizama kwenye huu mtego laana hii haitokuacha. Mimi nasema mmoja kati ya wanasiasa hao ana ushirika wa karibu sana na ma Boss wa iliyokua Kampuni ya Six telecom[waziri mwenye kipara], enzi za Six telecoms alishirikiana na maboss hao kukwepa kodi ya kulipia masafa ya Simu za kimataifa na aliwaziba mdomo TCRA mpaka pale Jiwe Chuma Hayati JPM alipoingia madarakani na kuwanyorosha hao wahuni wa Six telecom. Toshekeni na pesa mlizoibia taifa hili mwisho wenu utakuwa mbaya sana.
Nape nnauye tafuteni mwandishi wa makala hii yenye lengo la kufifisha juhudi za Serikali katika maendeleo ya TEHAMA aseme au aweke ushahidi wa aliyoyaandika.
www.thecitizen.co.tz
Nape nnauye tafuteni mwandishi wa makala hii yenye lengo la kufifisha juhudi za Serikali katika maendeleo ya TEHAMA aseme au aweke ushahidi wa aliyoyaandika.
The dark side of Tanzania’s unlikely GovTech success
In conclusion, while it is important to acknowledge Tanzania’s GovTech success, and I hope to get opportunities to explore this subject even further, but it is also essential to address the...