DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huu mchakato umepamba moto, Juzi juzi hapa nimesoma makala moja kutoka katika gazeti la The Citizen mwandishi inaonekana kabisa ana nia ovu kwani aliyoyaandika hayana ukweli hata kidogo nikabaki najiuliza lengo lake ni nini haswa.?? Mama Samia ukizama ukizama kwenye huu mtego laana hii haitokuacha. Mimi nasema mmoja kati ya wanasiasa hao ana ushirika wa karibu sana na ma Boss wa iliyokua Kampuni ya Six telecom[waziri mwenye kipara], enzi za Six telecoms alishirikiana na maboss hao kukwepa kodi ya kulipia masafa ya Simu za kimataifa na aliwaziba mdomo TCRA mpaka pale Jiwe Chuma Hayati JPM alipoingia madarakani na kuwanyorosha hao wahuni wa Six telecom. Toshekeni na pesa mlizoibia taifa hili mwisho wenu utakuwa mbaya sana.
Nape nnauye tafuteni mwandishi wa makala hii yenye lengo la kufifisha juhudi za Serikali katika maendeleo ya TEHAMA aseme au aweke ushahidi wa aliyoyaandika.
 
IT bado ni fani changa. Kuna fani kongwe kama Civil engineering. Hivi umewahi kujiuliza ni kwa ninj hadi leo miradi mikubwa ya barabara na ujenzi wa maghorofa inafanywa na kampuni kutoka nje? Miaka yote hii tumeshindwa kujifunza na kuweza kuendesha hii miradi kupitia makampuni ya Wa Tanzania?

Jibu ni kwamba hatuko strategic. Hatuna mipango madhubuti ya ku transfer technology. Kwa hiyo tutaendelea hivyo hivyo.

Kuhusu swala la eGA wengine waliochangia humu hawajui undani wa Tech na Performance ya eGA.

EGA iliundwa ili iratibu na kusimamia ujenzi na mifumo na miundombinu ya TEHAMA serikalini. Ni kama PPRA wanavyo simamia masuala ya procurement.

Kipindi eGA inaanzishwa taasisi nyingi zilikuwa hoi kimifumo...hivyo walihanasisha na kuanza kutengeneza tovuti na vimifumo vidogo vidogo. Wamefanya kazi nzuri. Lakini tatizo ni kwamba kwa wao kutengeneza mifumo wanakuwa ni marefaree na wachezaji. Kunakuwa na conflict of interest ambayo siku za usoni inaweza kuwa na madhara.

Hivyo inatakiwa eGA waachane na biashara ya ujenzi wa mifumo wajikite kwenye usimamizi wa mifumo.

Huwezi kuwa una jenga mifumo na ku audit mifumo mwenyewe.
umeongea point kadhaa za muhimu ,lakini ushauri wa kwamba E-GA waachane na utengenezaji wa mifumo sijakuelewa kabisa , ili aachiwe nan? kwa maslah ya nan? Utengenezaji wa mifumo sio usimamizi wa mifumo , mifumo ni ya serikal , E-GA hatengenezi mifumo ya kutumika Vodacom wala NMB , anatengeneza mifumo ya kutumika serikalini
ukisema E-GA aachane na hio kaz unataka vijana wabaki kuwa ma project manager na ma system admins
unaua vipaji na unaingiza taifa kwenye utegemezi wa mifumo inayobeba siri kubwa za nchi
mfano mailing system ikamatwe na mmarekani ,RAIS akituma mail yeyote wanaona
HRMS ikamatwe na mrusi, siri za nchi zote ziko hadharani, japokua mtakua mmepata 10% lakin y?
 
Uko sahihi. kuwe na mkakati wa ku transfer technology. Kama TRA wanavyofanya..kufanya kazi na wakorea ni jambo zuri.

Mifumo na hata tovuti zinazojengwa na eGA ni za kiwango cha chini sana.
wewe ndugu yangu , sidhan kama unajua hii kitu vizuri , TRA wakorea wamewaleta lini? si mwaka huu ? wametransfer knowledge lini? Tena hao TRA wameleta wakorea kutengeneza Single window mfumo ambao tayar upo na uko operational ? Mmemdanganya Rais kwamba hakuna mfumo ambao ni single window ambao TRA na TPA wanaweza tumia wakati mfumo upo. TRA and TPA guys are just fraudulents mnawadanganya viongozi waandamizi ili mpige 10%
Vina muda basi , subirini
 
Huu mchakato umepamba moto, Juzi juzi hapa nimesoma makala moja kutoka katika gazeti la The Citizen mwandishi inaonekana kabisa ana nia ovu kwani aliyoyaandika hayana ukweli hata kidogo nikabaki najiuliza lengo lake ni nini haswa.?? Mama Samia ukizama ukizama kwenye huu mtego laana hii haitokuacha. Mimi nasema mmoja kati ya wanasiasa hao ana ushirika wa karibu sana na ma Boss wa iliyokua Kampuni ya Six telecom[waziri mwenye kipara], enzi za Six telecoms alishirikiana na maboss hao kukwepa kodi ya kulipia masafa ya Simu za kimataifa na aliwaziba mdomo TCRA mpaka pale Jiwe Chuma Hayati JPM alipoingia madarakani na kuwanyorosha hao wahuni wa Six telecom. Toshekeni na pesa mlizoibia taifa hili mwisho wenu utakuwa mbaya sana.
Nape nnauye tafuteni mwandishi wa makala hii yenye lengo la kufifisha juhudi za Serikali katika maendeleo ya TEHAMA aseme au aweke ushahidi wa aliyoyaandika.
Kuna mkakati uko funded kuchafua na kufanya character assasination ya mifumo ya serikali linajulikana hilo THE CITIZEN wanajulikana nan anawatumia
 
Kuna mkakati uko funded kuchafua na kufanya character assasination ya mifumo ya serikali linajulikana hilo THE CITIZEN wanajulikana nan anawatumia
Hatari sana. Kwa mfano jamaa anasema This is where you have, for example, different water authorities deploying different systems to do the same thing. wakati inafahamika mamlaka imetengeneza mfumo mmoja tu unaotumiwa na mamlaka za maji tofauti na hapo awali ambapo kila mamlaka ilikua inajinunulia mfumo wake. Serikali tuilaumu kwa mambo mengine ila hapa kwenye tehama inafanya vizuri.
 
Hatari sana. Kwa mfano jamaa anasema This is where you have, for example, different water authorities deploying different systems to do the same thing. wakati inafahamika mamlaka imetengeneza mfumo mmoja tu unaotumiwa na mamlaka za maji tofauti na hapo awali ambapo kila mamlaka ilikua inajinunulia mfumo wake. Serikali tuilaumu kwa mambo mengine ila hapa kwenye tehama inafanya vizuri.
hawa watu wamenuia kufanya uovu , hawatatulia mpaka either washughulikiwe wote au waishughulikie E-GA , sema cha moto wameanza kukipata
 
BInafsi yangu kwenye hili la eGA niko tayari kuwa Mujahideen, nitaufikisha ujumbe kwa Rais kwa namna yoyote ile.
Kuna watu waliamini baada ya JPM kuondoka wangeweza kufanya mambo yao ya hovyo kirahisi sana , lakini i can assure them , they have a very high mountain to climb , game lao limefuchuka sasa wanahaha kutie in viongozi wakubwa
 
Watanzania tulivyo wa ovyo nyuzi kama hizi wachangiaji wanasuasua ila uzi Kawa wa ashura ungekuta mpaka leo page ya 1000 na. Kiukweli hawa wahuni wa nchi hii tunawamezea mate wakiingia kwenye kumi na nane ndiyo watajua kama nchi ya viumbe wanaitwa watanzania. Ila wache tu watuone sisi mazombie
 
E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.

Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia

Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.

Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.

Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).

Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.

Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili

************************* UPDATES********************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.

1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.

3. Wakisha kubaliana bungeni, E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA.

4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.


Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
Mmmh wacha wale BATA
 
Watanzania tulivyo wa ovyo nyuzi kama hizi wachangiaji wanasuasua ila uzi Kawa wa ashura ungekuta mpaka leo page ya 1000 na. Kiukweli hawa wahuni wa nchi hii tunawamezea mate wakiingia kwenye kumi na nane ndiyo watajua kama nchi ya viumbe wanaitwa watanzania. Ila wache tu watuone sisi mazombie
kuna magenge yameshakata vitaru kwenye sekta za ICT ,yanaona kama ni halali kubinafsisha ICT industry , ukiwakuta mzee wanapanga mikakati kama zimo kumbe majivu tupu
 
wewe ndugu yangu , sidhan kama unajua hii kitu vizuri , TRA wakorea wamewaleta lini? si mwaka huu ? wametransfer knowledge lini? Tena hao TRA wameleta wakorea kutengeneza Single window mfumo ambao tayar upo na uko operational ? Mmemdanganya Rais kwamba hakuna mfumo ambao ni single window ambao TRA na TPA wanaweza tumia wakati mfumo upo. TRA and TPA guys are just fraudulents mnawadanganya viongozi waandamizi ili mpige 10%
Vina muda basi , subirini
Hawa wezi natamani hata kuwatandika risasi, mfumo wa Single window upo ila wanaleta wakorea kisa 10% same applies kwa makamba kaleta erms ya wahindi wakati Erms tayari ipo, bashe kaleta mfumo wake wa kilimo wakati tayari mfumo upo, hii nchi hii kama kweli Mungu yupo mafisadi ya taifa hili yataangamizwa.
 
Mimi nikisema wanasiasa ni viumbe hatari, kuna majitu inasema mdini, Tunatakiwa tuogope wanasiasa kuliko hata tunavyoogopeshwa na wakuu wa imani kuhusu dhambi.

Wananchi wanapiga kelele sasa kuhusu eGA lakini hatusikii hata wanasiasa yoyote kuliongelea hili na kwenye jukwaa hili la JF wapo. Kisha litapitishwa bungeni kwakupigia kura nyingi za ndiyo.

Nisiwe mnafiki bila kitu kinachoitwa haki za binadamu ningekuwa natandika viboko kiume yeyote aliye mbele yangu anaye jiita wanasiasa maana hao viumbe ndiyo waliyotufikisha hapa.
comrade, wanasiasa wakishatimiziwa au kuhakikishiwa matakwa yao ambayo ni mawili tu ,
1. Watarudi kwenye nafasi zao
2.Mifuko yao na matumbo yao yako salama watafanya lolote

Just few days ago, ofisi moja nyeti sana maada hii walikua wanaiongelea na vijana kadhaa wakawa asigned wakafanye upekuzi maalumu kwa wahusika wanaotajwa kusuka hii mipango , vijana wameanza kuleta feedbacks kumbe mmoja wa watu muhimu sana ambaye ni waziri kiungo naye ni mhusika . Jambo linakua more complicated na wanavuana nguo kisiasa as we speak .
Ni aibu aibu aibu sana.
Tuna mawaziri wanaoshirikiana na magenge ya wahalifu serikalini kutaka kuua taasisi ili waanzishe mchakato wa kubinafsisha taasisi ya umma.
Ni aibu kubwa sana , wewe kiongozi wa TEHAMA uliyepo Wizara ya fedha na mipango hufai kuwa ofisini, wewe uliyepo TAMISEMI hufai , palapala hufai na genge la wenzako , jueni tanzania imewafahamu na there is no escape
 
Hawa wezi natamani hata kuwatandika risasi, mfumo wa Single window upo ila wanaleta wakorea kisa 10% same applies kwa makamba kaleta erms ya wahindi wakati Erms tayari ipo, bashe kaleta mfumo wake wa kilimo wakati tayari mfumo upo, hii nchi hii kama kweli Mungu yupo mafisadi ya taifa hili yataangamizwa.
Ni rushwa na ufisaidi kila mahali watu wanampigisha shot raisi , wanataka wapige alaumiwe Rais . Mimi nawaasa wasaidizi wa rais waangalie weledi wa baadhi ya mawaziri na viongozi waandamizi wa TEHAMA nchini ,wanauza nchi kama wazee wetu kadhaa walivyouza nchi yetu upande wa sekta ya madini kwa kuingia mikataba ya miaka 99 .
wazalendo limebaki jina la kuchukulia kura lakini wameoza na matumbo yako yamevunda
 
comrade, wanasiasa wakishatimiziwa au kuhakikishiwa matakwa yao ambayo ni mawili tu ,
1. Watarudi kwenye nafasi zao
2.Mifuko yao na matumbo yao yako salama watafanya lolote

Just few days ago, ofisi moja nyeti sana maada hii walikua wanaiongelea na vijana kadhaa wakawa asigned wakafanye upekuzi maalumu kwa wahusika wanaotajwa kusuka hii mipango , vijana wameanza kuleta feedbacks kumbe mmoja wa watu muhimu sana ambaye ni waziri kiungo naye ni mhusika . Jambo linakua more complicated na wanavuana nguo kisiasa as we speak .
Ni aibu aibu aibu sana.
Tuna mawaziri wanaoshirikiana na magenge ya wahalifu serikalini kutaka kuua taasisi ili waanzishe mchakato wa kubinafsisha taasisi ya umma.
Ni aibu kubwa sana , wewe kiongozi wa TEHAMA uliyepo Wizara ya fedha na mipango hufai kuwa ofisini, wewe uliyepo TAMISEMI hufai , palapala hufai na genge la wenzako , jueni tanzania imewafahamu na there is no escape
Nashukuru watu mmeanza kufunguka .
Nchi upande wa TEHAMA imesha elekea kibra inasubiri kisu.
Wahusika wanahonga pesa magazeti waongelee vibaya mifumo ya serikali kweli? TISS do this once and for all mheshimishe taifa
 
Ni rushwa na ufisaidi kila mahali watu wanampigisha shot raisi , wanataka wapige alaumiwe Rais . Mimi nawaasa wasaidizi wa rais waangalie weledi wa baadhi ya mawaziri na viongozi waandamizi wa TEHAMA nchini ,wanauza nchi kama wazee wetu kadhaa walivyouza nchi yetu upande wa sekta ya madini kwa kuingia mikataba ya miaka 99 .
wazalendo limebaki jina la kuchukulia kura lakini wameoza na matumbo yako yamevunda
Katika hili nitahakikisha ujumbe unamfikia Rais mama Samia, uamuzi utakua wake ila maamuzi yoyote mabaya yatakisulubu kizazi chake chote
 
Katika hili nitahakikisha ujumbe unamfikia Rais mama Samia, uamuzi utakua wake ila maamuzi yoyote mabaya yatakisulubu kizazi chake chote
Mhe Rais niwakufikishia ujumbe , ili asiwe na hatia kwenye damu zitakazomwagwa zisizo na hatia.
Future ya nchi kwenye TEHAMA ipo mikono salama EGA pale lakini kuna hao watu wanaisakama utadhani E-GA imewachukulia Wake zao
 
Mhe Rais niwakufikishia ujumbe , ili asiwe na hatia kwenye damu zitakazomwagwa zisizo na hatia.
Future ya nchi kwenye TEHAMA ipo mikono salama EGA pale lakini kuna hao watu wanaisakama utadhani E-GA imewachukulia Wake zao
EGA inasakamwa ka sababu imeondoa uhuni wa mabepari fulani hususani Maxmalipo. Inasikitisha sana. Nitafanya juhudi binafsi kuilinda taasisi hii, ninafahamu tulipotoka na wanufaika wa mfumo tuliotoka kabla ya eGA
 
EGA inasakamwa ka sababu imeondoa uhuni wa mabepari fulani hususani Maxmalipo. Inasikitisha sana. Nitafanya juhudi binafsi kuilinda taasisi hii, ninafahamu tulipotoka na wanufaika wa mfumo tuliotoka kabla ya eGA
Maisha ya kutumikia familia zao badala ya viapo vyao hayapaswi kuvumiliwa , watu wameshika madaraka kwa viatu vya uadilifu lakini kumbe waliapa kutumikia matumbo yao
 
Back
Top Bottom