Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Uzalendo ni kummiminia risasi kama punda???????
Kweli wewe ni busu la kenge. Ambaye hafi hadi damu zimtoke maskioni. Mleteni dreva wake akaripoti kituo cha polisi atausema ukweli wa kwanini yeye alitoka mzima kabsaaa. Na ilihali ukijua risasi haina macho?? pia kwanini ajeruhiwe mguu wa kulia pasipo mguu wa kushoto kutopata hitirafu. Kuna maswali mengi ya kujiuliza lakini majibu yatapatikana pindi mtakapo mleta na kumkabidhi dereva wake kituo cha polisi. Ni hayo tuu
 
Niliweka thread maalum kuhusu hili jambo ikaunganishwa kwenye thread nyingine, nilisema hayo hayo uliyosema. Soma hapo chini
CHADEMA punguzeni papara na haraka zisizo na msingi wakati mnaandaa mikakati yenu mnawapa CCM hoja za kuwaonesha wananchi ninyi hamuitakii mema Tanzania na mnajali maslahi yenu tu na ya nchi jirani.

Unapokwenda kwenye vyombo vya habari vya nje ukasema watu wengi wanakufa kwa COVID-19 nchini kwako unasababisha kudorora kwa uchumi wa nchi yako kupitia sekta ya ANGA na UTALII.

Tumeona ile video jirani wanalialia watalii wote wa EAC sasa wanaenda Tanzania. Jamaa kwa kauli kama zile kwa lugha ile ya watalii (kiingereza)amerudisha juhudi za nchi yake nyuma kwa hatua 100.

Lissu ametumika na adui bila kujijua, ametekeleza na kupenyeza agenda ya adui kuidhuru nchi yake ambayo anaomba kuwa kiongozi mkuu wa hiyo nchi.

Leo Lissu 'katoa boko', mlitakiwa mumuandae mtangazaji wa KTN kwamba mnaomba msimuulize maswali Lissu kuhusu hiki na hiki.

Ni mawazo tu ya mtu mwenye njaa mtaani, kama vipi yapuuzieni muendelee na mtindo wenu huu wa kufanya vitu kwa kujibu mapigo bila kujipanga.

Ndugu Humprey Polepole tumieni vizuri hili boko alilotoa Lissu. Usaliti kwa nchi yako hautakiwi kwa gharama yoyote ile.
Nimesema hapa Lissu hafai kuwa raisi hata kwa mwezi mmoja tu na papara zake na mihemko.

TAFSIRI KWA WAZEE WETU: 'Kutoa boko' ni kufanya kitendo ambacho kina igharimu vibaya timu yako.
 
Mh Lissu akizingatia social distance
image-200.jpeg
images%20(9).jpeg
images%20(7).jpeg
images%20(8).jpeg
 
Uzalendo ni kummiminia risasi kama punda???????
Wewe nae acha kutetea UJINGA, Suala la COVID19 ni Kama MIMBA tu ufiche usifiche litaonekana tu, Sasa kwà TZ hii matukio Kama hayo tuneyaona wapi!?? Au umesikia wapi kaka!!


TL tatizo ana mdomo mkubwa Sana anaongeaongea tu Kama Propeller Kuna vitu hapaswi kuzungumza kabisa Ila yeye anaongeaongea tu bila Tashwishiwi,.

Hawa hawa Wapinzani walituaminisha kuwa COVID19 Ipo sana bunge lifungwe wabunge waende Quarantine, GVT ikagoma wakaenda wenyewe afu Baada ya siku 14 wakarejea tena Bungeni na wakakaa na CCM hao hao na bila Hata kuchukua tahadhari Wala kugoma kukaa nao Bungeni!!

Afu Wewe Tena unatetea UJINGA Sijui nawewe nae MJINGA Mkuu, Upinzani wa BONGO haupaswi kabisa kupewa madaraka labda DUNIA iumbwe kwà Mara ya pili!!
 
Kuna kitu chaitwa maslahi ya taifa yaani National Interest.

Hao mabeberu wake huko waliko hata wakigombana vipi, wakija kwenye media wanakuwa wanaunga mkono masuala ya kitaifa na wanaweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

Juzi tu huko UK serikali waliamua kufunga moja ya mikoa ya kaskazini maeneo ya Manchester kwa kuogopa kuenea kwa ugonjwa na ilikuwa ni siku kuu ya iddi.

Lakini vyama vya upinzani vikiongozwa na Labour walikuja kwenye media na wakasema wanaunga mkono hatua ya serikali.

Hivyo hivyo walifanya walipoweka karantini ya wiki 2 wapinzani wameunga mkono.

NI kwa maslahi ya taifa au National Interets.

Ukiwa raia wa nchi unatakiwa kulinda maslahi ya taifa si kuyatafutia majambazi huko nje ya kuja kuharibu.
 
Hapo huyo Tundu kakosa uzalendo unaipondaje nchi yako kwa watu Baki huko nje, corona yenyewe ni ugonjwa wa propaganda, pia kuwa mpinzani sio lazima uponde kila Jambo corona ingekuwepo kweli basi wagonjwa wangeonekana kila hospital.

Na pia sio lazima kuiga wengine kwenye ku deal na mambo, hapo tundu kakengeuka Sana tu maana upinzani wa mihemko na usio na tija wa kuharibu imagine ya nchi ni upinzani hewa, haufai kwa mstakabali wa nchi
[/QUOTE
Ni kweli mkuu mimi huwa nachukia sana mwanasiasa anayeshadadia kuwa Tanzania kuna corona kisa tu hatukuwekwa lockdown kama walivyotaka wao na wafadhili wao.

Sisi tutawaonyesha octoba kama nchi yetu ina corona au haina naamini watavuna walichopanda walitaka sisi masikini tuwekwe lockdown tufe njaa halafmu waje kumuongoza nani?
 
Kuna kitu chaitwa maslahi ya taifa yaani National Interest.

Hao mabeberu wake huko waliko hata wakigombana vipi, wakija kwenye media wanakuwa wanaunga mkono na wanaweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

Juzi tu huko UK serikali waliamua kufunga moja ya mikoa ya kaskazini maeneo ya Manchester kwa kuogopa kuenea kwa ugonjwa na ilikuwa ni siku kuu ya iddi.

Lakini vyama vya upinzani vikiongozwa na Labour walikuja kwenye media na wakasema wanaunga mkono hatua ya serikali.

Hivyo hivyo walifanya walipoweka karantini ya wiki 2 wapinzani wameunga mkono.

NI kwa maslahi ya taifa au National Interets.

Ukiwa raia wa nchi unatakiwa kulinda maslahi ya taifa si kuyatafutia majambazi huko nje ya kuja kuharibu.
Wakenya walimtibu kwa miezi 4 pale Nairobi na walimchangia damu kwa sana tu,kwa hio anawaona ni ndg.
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni Covid-19.
Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha watalii kipindi cha covid-19 kimewaumiza sana Majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu covid-19, Halafu unasema covid-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii covid-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be carefull guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.

Hilo hilo la COVUD -19...

Wewe unaweza kuthibitishaje kuwa umesha idhibiti? Kwa kipimo gani? Kwa maneno ya Magufuli ya Jukwaani kwa sababu yeye ni "Rais?"

Au kwa sababu huoni maiti zimezagaa barabarani?

Kukosekana kwa UKWELI wa TAKWIMU na TRANSPARENCY ndiyo chanzo cha haya yote. Nani atakuamini kama huweki mambo wazi, unaamua kivyako gizani???

Na hivi huko Kenya ambako mpaka sasa bado wana restrictions za mikusanyiko na mazingira yoyote ya kuenea kwa maambukizi, umewahi kuziona maiti zinazagaa barabarani??

Hawa (Kenya) unaweza kuwaamini Mara moja kwa sababu wanapima watu wao, wanaweka takwimu wazi, mikakati iko wazi kwa kila mtu kuona, wanachukua hatua za udhibiti wa maambukizi na wanaomba Mungu vilevile....

Lakini sisi Tanzania eti tuamini tu chochote kitokacho kwa mtu mmoja aitwaye "Rais" kisha wote tuitike "ndiyooo" baada ya hapo kila mtu anyamaze kimyaa.... HAIWEZEKANI...!!
 
Hivyo ndio viashiria kuwa bado TL hajamature kiuongozi na hana uwezo wa kuongoza Nchi. Hana mkakati ya kulinda na kuboresha uchumi. Kwa kwe Kila kitu ni Sheria.
Hapo huyo Tundu kakosa uzalendo unaipondaje nchi yako kwa watu Baki huko nje, corona yenyewe ni ugonjwa wa propaganda, pia kuwa mpinzani sio lazima uponde kila Jambo corona ingekuwepo kweli basi wagonjwa wangeonekana kila hospital.

Na pia sio lazima kuiga wengine kwenye ku deal na mambo, hapo tundu kakengeuka Sana tu maana upinzani wa mihemko na usio na tija wa kuharibu imagine ya nchi ni upinzani hewa, haufai kwa mstakabali wa nchi
 
Wewe nae acha kutetea UJINGA, Suala la COVID19 ni Kama MIMBA tu ufiche usifiche litaonekana tu, Sasa kwà TZ hii matukio Kama hayo tuneyaona wapi!?? Au umesikia wapi kaka!!


TL tatizo ana mdomo mkubwa Sana anaongeaongea tu Kama Propeller Kuna vitu hapaswi kuzungumza kabisa Ila yeye anaongeaongea tu bila Tashwishiwi,.

Hawa hawa Wapinzani walituaminisha kuwa COVID19 Ipo sana bunge lifungwe wabunge waende Quarantine, GVT ikagoma wakaenda wenyewe afu Baada ya siku 14 wakarejea tena Bungeni na wakakaa na CCM hao hao na bila Hata kuchukua tahadhari Wala kugoma kukaa nao Bungeni!!

Afu Wewe Tena unatetea UJINGA Sijui nawewe nae MJINGA Mkuu, Upinzani wa BONGO haupaswi kabisa kupewa madaraka labda DUNIA iumbwe kwà Mara ya pili!!
Huyo dogo ana kiburi bila maarifa,anapotakiwa kutumia busara anatumia ushabiki.Mimi sikujua analo tatizo hilo hadi pale kwenye BBC hard talk alivyokumbushwa hana facts bali gossip kama mwanasheria.
Apange safu ya washauri mapema vinginevyo ataambulia moshi wa TANICA.
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Tundu huwa ana hoja lakini wakati mwingine huwa mropokaji sana! Ajikite kwenye hoja za nini atawafanyia watanzania.
 
Mimi nilishauri auvae u candidate sasa, maana anaongea sana hata visivyohitajika.

Tunafahamu ni mwanasheria, au yeye anataka kutuambia nini?! Tangu arudi kawa kama kanywa pombe, hatulii akaongea vizuri.

Namuunga mkono kiitikadi, lakini sio kwa huku kuongea ongea tuu, anakokufanya, anakosa hata muda wa kuwasoma opponents wake.

Atulie sasa.
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Mitano ya nduli makufuli inatosha, utawala wake wa mkono wa chuma sasa basi.
 
Back
Top Bottom