Wewe nae acha kutetea UJINGA, Suala la COVID19 ni Kama MIMBA tu ufiche usifiche litaonekana tu, Sasa kwà TZ hii matukio Kama hayo tuneyaona wapi!?? Au umesikia wapi kaka!!
TL tatizo ana mdomo mkubwa Sana anaongeaongea tu Kama Propeller Kuna vitu hapaswi kuzungumza kabisa Ila yeye anaongeaongea tu bila Tashwishiwi,.
Hawa hawa Wapinzani walituaminisha kuwa COVID19 Ipo sana bunge lifungwe wabunge waende Quarantine, GVT ikagoma wakaenda wenyewe afu Baada ya siku 14 wakarejea tena Bungeni na wakakaa na CCM hao hao na bila Hata kuchukua tahadhari Wala kugoma kukaa nao Bungeni!!
Afu Wewe Tena unatetea UJINGA Sijui nawewe nae MJINGA Mkuu, Upinzani wa BONGO haupaswi kabisa kupewa madaraka labda DUNIA iumbwe kwà Mara ya pili!!