Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

..hivi CCM mmewahi kuwaunga mkono wapinzani ktk jambo gani?

..mbona kila siku mnawachafua na kujaribu kuwaaminisha wananchi kwamba wapinzani ni watu wabaya?
Alicho fanya Lisu ni kuwabomoa ccm au nchi?
 
..alitua nchini kavaa mask akakutana na umati hauna mask.

..Watz tunaishia kama vile tunaitafuta covid19.
Na yeye akavua mask kutafuta corona!

Itoshe tu kusema Lisu ni msomi mpumbavu!
 
Hilo hilo la COVUD -19...

Wewe unaweza kuthibitishaje kuwa umesha idhibiti? Kwa kipimo gani? Kwa maneno ya Magufuli ya Jukwaani kwa sababu yeye ni "Rais?"

Au kwa sababu huoni maiti zimezagaa barabarani?

Kukosekana kwa UKWELI wa TAKWIMU na TRANSPARENCY ndiyo chanzo cha haya yote. Nani atakuamini kama huweki mambo wazi, unaamua kivyako gizani???

Na hivi huko Kenya ambako mpaka sasa bado wana restrictions za mikusanyiko na mazingira yoyote ya kuenea kwa maambukizi, umewahi kuziona maiti zinazagaa barabarani??

Hawa (Kenya) unaweza kuwaamini Mara moja kwa sababu wanapima watu wao, wanaweka takwimu wazi, mikakati iko wazi kwa kila mtu kuona, wanachukua hatua za udhibiti wa maambukizi na wanaomba Mungu vilevile....

Lakini sisi Tanzania eti tuamini tu chochote kitokacho kwa mtu mmoja aitwaye "Rais" kisha wote tuitike "ndiyooo" baada ya hapo kila mtu anyamaze kimyaa.... HAIWEZEKANI...!!
Umeandika pumba kupita maelezo. Rudia kusoma ujinga wako alafu ujitafakari.....
 
Majitu ya CCM siku hzi yamekua majinga kama mazombi, hayajielewi. Kama utawafuatilia kwenye thread utagundua hawana akili wala hawaelewi nini wanaitakia hii nchi.

Jana kuna thread ililetwa humu kuhusu tamko la serikali kuwataka raia wa kigeni wanaoingia nchini kuchukua tahadhari kadha wa kadha juu ya ugonjwa corona.
Mtoa mada akaponda jinsi serikali inavyotoa rai kwa raia wa kigeni kuchukua tahadhari juu uwepo wa corona nchini huku wamanchi tukiambiwa tutembee vifua mbele.

Maccm yakamjia juu kumponda sana kwamba hakuna kiongozi aliyewah kusema Corona imeisha Tanzania kwahyo serikali ipo sahihi kutoa tahadhari kwa raia wa kigeni juu ya ugonjwa wa corona nchini.
Sasa leo kisa aliyeongea ni Lissu basi amekua mbaya wakat ameongea uhalisia uliopo. Kwanini msianze na yule aliyetoa lile tamko kwanza.

Acheni mihemko mtumie angalau akili kufikiria mambo kabla ya kuwa kama mazombi kufuata upepo tu kwenye kila kitu.
IMG_20200806_183018_037.JPG
IMG_20200806_183006_028.JPG
IMG_20200806_182954_766.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20200806_183006_028.JPG
    IMG_20200806_183006_028.JPG
    74 KB · Views: 1
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Nakuonea huruma sana kama una waingili kwenye majukumu yao wana media wa nchi tofauti na Tanzania.

Mungetaka kuyasikia yale yanayo wafurahisha masikioni mwenu munge mfanyia mh Lissu interview na media zenu ili aongee mnavyo taka nyinyi.
 
Wacha uzuzu wewe mramba viatu wa lumumba
Hapo huyo Tundu kakosa uzalendo unaipondaje nchi yako kwa watu Baki huko nje, corona yenyewe ni ugonjwa wa propaganda, pia kuwa mpinzani sio lazima uponde kila Jambo corona ingekuwepo kweli basi wagonjwa wangeonekana kila hospital.

Na pia sio lazima kuiga wengine kwenye ku deal na mambo, hapo tundu kakengeuka Sana tu maana upinzani wa mihemko na usio na tija wa kuharibu imagine ya nchi ni upinzani hewa, haufai kwa mstakabali wa nchi
 
Mkuu wewe unauakika gani kama Corona imeisha Tanzania ..??
Swali zuri sana. Ukipima unapata takwimu. Hujapima utatumia facts za kwingineko mfano majirani zetu ipo kwanini kwetu isiwepo.
Labda tz imekuja imekuja kwa miujiza na kutoka kwa miojiza! Kinyume na hapo kusema ipo ni sawa tu. Je, kuna uwezekano wa kupima?

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Wacheni kuwa washabiki wa kipumbavu na kutojitambua kisa kuipenda ccm!

Unawezaje kusema kuwa hakuna corona wakati hata mlisha ambiwa kuwa hata mashine zenyewe za kupimia huo ugonjwa ni mbovu na siyo za kuaminika?
Aache upuuzi yeye toka anaingia nchini amechukua tahadhari gani dhidi ya corona...mbona mda wote amekuwa kwenye nyomi ya watu tena hata wazee akina Sefu wanatembea bila barakoa tena kwenye msongamano wa watu.

Atulie ajenge hoja zake vyema, wengi tupo nyuma yake..vya ukweli tutamsapoti vya uongo ataambiwa ukweli ajirekebishe.
 
Yani wanaofanya CCM iendelee kuwa madarakani ni hao hao wapinzani kwa kushindwa kujitambua na kutambua nafasi zao.

Ni bora shetani unaemjua siku zote, kuliko...
Sisi tunawapenda viongozi wetu wa upinzani na lazima mjue kuwa hamuwezi kuwalazimisha watu waipende ccm yenu.

Na huna haki yoyote kunilazimisha niipende ccm maana hakuna chochote ilicho nifanyia.
 
Unaweweseka na utaweweseka sana mwaka huu kisa Lissu kawa rais
Ndio maana nashindwa kuelewa wanaomfungia sauti Lissu ni wa kumuacha tu ajikaange kwa mafuta yake mwenyewe.

Hasira za mkizi....
 
Back
Top Bottom