Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

..Jpm anawaambia wananchi wasichukue tahadhari.

..TL anawaambia wananchi wachukue tahadhari.

..huu utaratibu wa kuenenda kiholela-holela wakati dunia ikihangaika kukabiliana na covid19 inatishia watu wa nje kujumuika na sisi.

..pia tukionekana hatuko makini ktk kuchukua tahadhari tunaweza kusababisha mataifa mengine yatuzuie kusafiri kwenda nchini kwao.

..Tunamshukuru kwamba covid19 haijatupiga ukilinganisha na mataifa mengine, lakini ni UJINGA kuenenda kana kwamba tunaitafuta covid19.
Watalii wanavyo miminika sasa watukuwa wajumbe wazuri, kuonesha ulimwengu kuwa coona hakuna huku
 
Hawajichimbi wao tu bali wanalichimbia taifa pia..na hapo ndipo penye utata.
Nikweli but watambue @tanpolice na vyombo vingine vipo kazini siku zote.. na this time nasema this time they going to see the extreme power of our country.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Acha uzuzu wewe korona ipo sana nchini acheni siasa za kishamba hizo.

Mbona Lissu na chadema hawakuvaa barakoa kwenye mkutano wao wa juzi na walishikana mikono?
 
Mitano ya nduli makufuli inatosha, utawala wake wa mkono wa chuma sasa basi.

Mkuu angalia watu wanaosema Tanzania kuna C
IMG_0627.jpg

orona
IMG_0626.jpg

IMG_0625.jpg
 
Kwa hiyo Marekani wanapotangaza maambukizi ya Covid-19 na kuonesha wanaongoza duniani ni kukosa uzalendo.

Watanzania mbona mnapenda nchi iongozwe kienyeji enyeji hivyo. Tunaenda shule ili tupractice professionalism sio uswahili.
Wewe ni jinga lingine. Marekani wanatangaza kwa sababu ipo. Sisi unataka tutangaze kitu ambacho hakipo?
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Mwanadamu angekuwa yai basi wew "viza " ummy hajasema corona imeisha
 
Hivi uzalendo ni kupiga risasi wanaokukosoa?

Magufuli na wenzake huko CCM na serikali yao yote siyo wazalendo unless uwe hujui maana ya "uzalendo" na "mtu mzalendo"....

Huyu ni tyrant, muuaji na mwizi bila shaka yoyote...

Very unlucky and unknowingly, you're defending these...!!

Mkuu kwa hiyo kwenu kuna wagonjwa wangapi wa Corona?
Hawa ndio wanatwambia Tanzania kuna Corona?
IMG_0627.jpg

IMG_0626.jpg

IMG_0625.jpg
 
Acha uzuzu wewe korona ipo sana nchini acheni siasa za kishamba hizo.
Ule umati uliompokea Lisu wale viongozi wa upinzani sio wajinga kuruhusu watu wakafe kulaki Lisu, hizo hoja hata wengine ndani ya chama hawana,.
Hii itamcost
 
Aache upuuzi yeye toka anaingia nchini amechukua tahadhari gani dhidi ya corona...mbona mda wote amekuwa kwenye nyomi ya watu tena hata wazee akina Sefu wanatembea bila barakoa tena kwenye msongamano wa watu.

Atulie ajenge hoja zake vyema, wengi tupo nyuma yake..vya ukweli tutamsapoti vya uongo ataambiwa ukweli ajirekebishe.
Msiwe kama machoko mtu akikuuliza kuhusu maendeleo ukaanza kuongelea corona utakuwa una matatizo lakin una ulizwa kuhusu corona sasa utasemaje....

Kwani tz hakuna walio kufa kwa corona....kama wapo utaanzaje kusema imeisha....wewe unaejiongelesha umewahi kupima hiyo cov D....ache ujinga....

Tundu ukimuuliza chochote anakujibu kwa facts na hali halisi ilivyi
 
Mkuu wewe unauakika gani kama Corona imeisha Tanzania ..??
Inculubation ya Corona virus ni 7-14 siku. Je unategemea baadae kuona waliokuwa wanatoka Uwanja wa ndege kuwa marehemu?
 
Back
Top Bottom