Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Wewe ni jinga lingine. Marekani wanatangaza kwa sababu ipo. Sisi unataka tutangaze kitu ambacho hakipo?
Mliacha kupima kwa amri ya Magu, na mlipoacha kupima maambukizi yalikuwa 509 (May 14, 2020).

Hebu niambie hayo mambukizi yameisha kwa initiatives zipi.
 
Mliacha kupima kwa amri ya Magu, na mlipoacha kupima maambukizi yalikuwa 509 (May 14, 2020).

Hebu niambie hayo mambukizi yameisha kwa initiatives zipi.
Swali ni simple mnaloulizwaga mnashindwa kulijibu. Narudia kukuuliza katika familia yenu wa ngapi wameugua ama kufa kwa korona?
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Sasa mbona umeacha kutuwekea yaliyosemwa kuhusu kutandikwa risasi Lissu na haki za binadamu ?
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Tatizo la Lissu ni ulimbukeni. Anapohojiwa yeye huamini ni kwa sababu ana uwezo sana! Kumbe wanawinda mropokaji. Tatizo jingine baadhi wanapohojiwa akiwemo na Zitto, badala ya kujibu maswali wao hutumia muda huo kutaka kushitaki kwa yeyote anayesikia. Ni tatizo la uzembe kwa watu wa umri ule na nafasi hizo wanazojimilikisha.
 
Aache upuuzi yeye toka anaingia nchini amechukua tahadhari gani dhidi ya corona...mbona mda wote amekuwa kwenye nyomi ya watu tena hata wazee akina Sefu wanatembea bila barakoa tena kwenye msongamano wa watu.

Atulie ajenge hoja zake vyema, wengi tupo nyuma yake..vya ukweli tutamsapoti vya uongo ataambiwa ukweli ajirekebishe.
NI vizuri kutoa ushauri kama huo lakini kwa miaka ambayo nimemsikiliza Lissu, siyo mtu wa kujenga hoja. Kwa nafasi anayoiomba kwa sasa, hana sifa kabisa na hutamsikia hata siku moja akizungumzia maendeleo ya nchi, hajui njia ni ipi. Yeye utamsikia akisema utawala wa sheria na sheria hii inasema hivi na vile. Muulize elimu, sayansi, maendeleo ya jamii, nk. yote ni washout!
 
Uzalendo ni kummiminia risasi kama punda???????
Walipanga pamoja na chama chao, bado hadi leo hatufahamu kwa nini mguu wa kulia ndio uliharibika wakati yeye alikuwa upande wa abiria na hakuna maelezo yoyote kutoka kwa dreva wake. Angalizo mbunge Molel alisema walipanga wote walipokuwa Chadema.
 
Mkuu wewe unauakika gani kama Corona imeisha Tanzania ..??
Siwezi sema nina uhakika ama la, ila kutokana na matukio yanayoendelea mimi naona haipo, tumezika Uhuru pale na Mtwara, mikutano ya kura za maoni tumeendelea nayo, hadi tumepata wagombea come on!
 
Mliacha kupima kwa amri ya Magu, na mlipoacha kupima maambukizi yalikuwa 509 (May 14, 2020).

Hebu niambie hayo mambukizi yameisha kwa initiatives zipi.
Kujifukiza na tangawizi. Kama hupendi nenda kajinyonge.
 
Marekani wanatangaza kwa sababu ipo. Sisi unataka tutangaze kitu ambacho hakipo?
Ni vyema kuzingatia tahadhari zinazotolewa kuhusiana na COVID-19.

Usifikiri kuwa haipo ndio maana tahadhari zinatolewa na serikali pia.
 
Alichosema Lissu kuhusu hali ya Covid-19 hapa Tanzania,ndo nikaanza kujua mwaka huu wanyanyembe Chadema hawajapata mgombea mwenye utulivu wa maneno na akili.
 
NI vizuri kutoa ushuri kama huo lakini kwa miaka ambayo nimemsikiliza Lissu, siyo mtu wa kujenga hoja. Kwa nafasi anayoiomba kwa sasa, hana sifa kabisa na hutamsikia hata siku moja akizungumzia maendeleo ya nchi, hajui njia ni ipi. Yeye utamsikia akisema utawala wa sheria na shreia hii inasema hivi na vile. Muulize elimu, sayansi, maendeleo ya jamii, nk. yote ni washout!
Lissu ndio Rais ajaye wa Tanzania , hutaki jipige kitanzi
 
mkuu siunajua hata kwenye mtihani hakunaga anayepata mia ya mia kwaiyo kat ya maswali 3 jamaa kachomoa 2 moja kazingua
 
Back
Top Bottom