uzalendo gani huo unaouzungumzia wa kuua na kuteka watuKama ameongea hivyo kwenye issue ya COVID19 huyo ni tatizo. Haiwezekani madaraka yakufanye ufanye chochote ili ufanikiwe bila kujali uzalendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzalendo gani huo unaouzungumzia wa kuua na kuteka watuKama ameongea hivyo kwenye issue ya COVID19 huyo ni tatizo. Haiwezekani madaraka yakufanye ufanye chochote ili ufanikiwe bila kujali uzalendo.
Hongera!Lissu ndio Rais ajaye wa Tanzania , hutaki jipige kitanzi
Kiukweli wamuandalie speech bila hvo ataharibu na ccm wakipiga propaganda vizuri kura nyingi watakosa. Too much is harmfulHivyo ndio viashiria kuwa bado TL hajamature kiuongozi na hana uwezo wa kuongoza Nchi. Hana mkakati ya kulinda na kuboresha uchumi. Kwa kwe Kila kitu ni Sheria.
Nafikiri wanasiasa wana haki ya kueleza mawazo yao. Na kupingana na serikali. Na kupingana na wewe.Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.
1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa
Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.
Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.
Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.
Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.
Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano
Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.
Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Kipindi hichi Cha uchaguzi sio Cha candidate kujiropokea hyo corona Tanzania iko wapi jamani, maana lisu kasema watu wanakufaKwa hiyo Marekani wanapotangaza maambukizi ya Covid-19 na kuonesha wanaongoza duniani ni kukosa uzalendo.
Watanzania mbona mnapenda nchi iongozwe kienyeji enyeji hivyo. Tunaenda shule ili tupractice professionalism sio uswahili.
Ulivyokoment inaonekana ulikalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka huku umepakatwa na kupapaswa.Walipanga pamoja na chama chao, bado hadi leo hatufahamu kwa nini mguu wa kulia ndio uliharibika wakati yeye alikuwa upande wa abiria na hakuna maelezo yoyote kutoka kwa dreva wake. Angalizo mbunge Molel alisema walipanga wote walipokuwa Chadema.
Hiyo ni tabia uliyozoea hata TL aliwekwa kimada kule Belgiam lakini Tanzania ambao tunajielewa tupo mbali sana hatuwezi kubishana kwa kadri ya ujinga wako.Ulivyokoment inaonekana umekalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka huku umepakatwa na kupapaswa.
Kimba ww!
Hajakufikisha kileleni tu!Hiyo ni tabia uliyozoea hata TL aliwekwa kimada kule Belgiam lakini Tanzania ambao tunajielewa tupo mbali sana hatuwezi kubishana kwa kadri ya ujinga wako.
Muhimu ni kuzingatia tahadhari zitolewazo na wataalamu wa afya kuhusiana na COVID-19. Usiseme tu kuwa haipo!Kipindi hichi Cha uchaguzi sio Cha candidate kujiropokea hyo corona Tanzania iko wapi jamani, maana lisu kasema watu wanakufa
Mimi hata lumumba sipajua Ila lisu hapa kachemka mbona mnapenda kujiharibia kwa jamii hivoWacha uzuzu wewe mramba viatu wa lumumba
Hapa kwetu wapinzani wanadhani kazi yao pekee ni kupinga Kila kitu. Hata pale panapohitaji umoja wa kitaifa wao wanapinga tu na Wala hawataki kujifunza kwa mabeberu wanaowatumikia.Kuna kitu chaitwa maslahi ya taifa yaani National Interest.
Hao mabeberu wake huko waliko hata wakigombana vipi, wakija kwenye media wanakuwa wanaunga mkono masuala ya kitaifa na wanaweka pembeni tofauti zao za kisiasa.
Juzi tu huko UK serikali waliamua kufunga moja ya mikoa ya kaskazini maeneo ya Manchester kwa kuogopa kuenea kwa ugonjwa na ilikuwa ni siku kuu ya iddi.
Lakini vyama vya upinzani vikiongozwa na Labour walikuja kwenye media na wakasema wanaunga mkono hatua ya serikali.
Hivyo hivyo walifanya walipoweka karantini ya wiki 2 wapinzani wameunga mkono.
NI kwa maslahi ya taifa au National Interets.
Ukiwa raia wa nchi unatakiwa kulinda maslahi ya taifa si kuyatafutia majambazi huko nje ya kuja kuharibu.
Samahani, ni channel gani, boss?Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.
1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa
Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.
Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.
Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.
Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.
Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano
Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.
Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Corona kuwepo na uwepo wa vifo ni vitu viwili tofauti sana. Tatizo watanzania kujishughulisha kiakili wengi wenu ni zero kabisa!Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.
1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa
Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.
Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.
Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.
Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.
Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano
Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.
Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Magu ni mropokaji lakini TL amezidi na kama mpo nyuma yake ombeni sana CCM wasimpe nafasi ya kuongea sana kwasababu nakuahidi kila muda ule mdomo ukiwa unafunguka kuna shabiki anapotea.Aache upuuzi yeye toka anaingia nchini amechukua tahadhari gani dhidi ya corona...mbona mda wote amekuwa kwenye nyomi ya watu tena hata wazee akina Sefu wanatembea bila barakoa tena kwenye msongamano wa watu.
Atulie ajenge hoja zake vyema, wengi tupo nyuma yake..vya ukweli tutamsapoti vya uongo ataambiwa ukweli ajirekebishe.
Inaonekana wao ndio waliompiga risasi za kutosha pale Dom kwny makazi ya viongozi.
Lissu ndio Rais ajaye wa Tanzania , hutaki jipige kitanzi
Basi TBC na nyie wekeni matangazo yenu yanayowafurahisha. Huku tz hamuwezi kuweka hotuba za Lissu kaenda zake kwa majirani tena mnalalamika.Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.
1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa
Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.
Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.
Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.
Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.
Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano
Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.
Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Endeleeni kuleta sarakasi lakini siku zenu zinahesabika kudadeki !Si kweli.
Angepigwa risasi na wataalam wenyewe asingepona.
Na hata angepigwa risasi kama yule mbeba madini wa Arusha wakamchafua yeye na Rabge Rover yake asingepona kabisa.
Isitoshe bado dereva wake anahitajika atoe maelezo inakuwaje risasi zipigwe kuelekea uapnde wa dereva (kushoto) lakini zimpate Tundu Lissu kwenye mguu wake wa kulia.
Hadi leo hii hakuna anaefahamu kwa uhakika Tundu Lissu alishambuliwa na wahuni wepi.