Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

Kama ameongea hivyo kwenye issue ya COVID19 huyo ni tatizo. Haiwezekani madaraka yakufanye ufanye chochote ili ufanikiwe bila kujali uzalendo.
uzalendo gani huo unaouzungumzia wa kuua na kuteka watu
 
Hivyo ndio viashiria kuwa bado TL hajamature kiuongozi na hana uwezo wa kuongoza Nchi. Hana mkakati ya kulinda na kuboresha uchumi. Kwa kwe Kila kitu ni Sheria.
Kiukweli wamuandalie speech bila hvo ataharibu na ccm wakipiga propaganda vizuri kura nyingi watakosa. Too much is harmful
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Nafikiri wanasiasa wana haki ya kueleza mawazo yao. Na kupingana na serikali. Na kupingana na wewe.

Na vita za kibiashara zipo. Wanaweza kujibizana na waandishi wa nje wakisema ukweli wao, na hapo hapo kujihadhari wasiwape majirani mtaji wa vita vya kiuchumi.

Hao wageni wanaokuja wana habari nyingi kuhusu Tanzania. Mahojiano ya Tundu Lissu sifikiri ndiyo yanaweza kuwazuia wasije kama wanataka kuja.

Kwa mfano, soma hii makala ya The New York Times wameandika juzi kuhusu Tanzania na Covid.

Sasa Tundu Lissu atasema kipi ambacho hakijasemwa tayari?

Awe huru tu. Na wewe hapo unapata kumpima kama anastahili urais au hafai. Ujue jinsi ya kupiga kura.

Tanzania’s President Says Country Is Virus Free. Others Warn of Disaster
 
Kwa hiyo Marekani wanapotangaza maambukizi ya Covid-19 na kuonesha wanaongoza duniani ni kukosa uzalendo.

Watanzania mbona mnapenda nchi iongozwe kienyeji enyeji hivyo. Tunaenda shule ili tupractice professionalism sio uswahili.
Kipindi hichi Cha uchaguzi sio Cha candidate kujiropokea hyo corona Tanzania iko wapi jamani, maana lisu kasema watu wanakufa
 
Walipanga pamoja na chama chao, bado hadi leo hatufahamu kwa nini mguu wa kulia ndio uliharibika wakati yeye alikuwa upande wa abiria na hakuna maelezo yoyote kutoka kwa dreva wake. Angalizo mbunge Molel alisema walipanga wote walipokuwa Chadema.
Ulivyokoment inaonekana ulikalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka huku umepakatwa na kupapaswa.

Kimba ww!
 
Ulivyokoment inaonekana umekalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka huku umepakatwa na kupapaswa.

Kimba ww!
Hiyo ni tabia uliyozoea hata TL aliwekwa kimada kule Belgiam lakini Tanzania ambao tunajielewa tupo mbali sana hatuwezi kubishana kwa kadri ya ujinga wako.
 
Kipindi hichi Cha uchaguzi sio Cha candidate kujiropokea hyo corona Tanzania iko wapi jamani, maana lisu kasema watu wanakufa
Muhimu ni kuzingatia tahadhari zitolewazo na wataalamu wa afya kuhusiana na COVID-19. Usiseme tu kuwa haipo!
 
Lisu hajatulia na anahasira sana.
Nadhani kwasasa hafai kugombea uraisi.
Hadi atulie kwanza.
Ni bora angegombea Ubunge.
La awe na watu makini wa kumshauri.
 
Kuna kitu chaitwa maslahi ya taifa yaani National Interest.

Hao mabeberu wake huko waliko hata wakigombana vipi, wakija kwenye media wanakuwa wanaunga mkono masuala ya kitaifa na wanaweka pembeni tofauti zao za kisiasa.

Juzi tu huko UK serikali waliamua kufunga moja ya mikoa ya kaskazini maeneo ya Manchester kwa kuogopa kuenea kwa ugonjwa na ilikuwa ni siku kuu ya iddi.

Lakini vyama vya upinzani vikiongozwa na Labour walikuja kwenye media na wakasema wanaunga mkono hatua ya serikali.

Hivyo hivyo walifanya walipoweka karantini ya wiki 2 wapinzani wameunga mkono.

NI kwa maslahi ya taifa au National Interets.

Ukiwa raia wa nchi unatakiwa kulinda maslahi ya taifa si kuyatafutia majambazi huko nje ya kuja kuharibu.
Hapa kwetu wapinzani wanadhani kazi yao pekee ni kupinga Kila kitu. Hata pale panapohitaji umoja wa kitaifa wao wanapinga tu na Wala hawataki kujifunza kwa mabeberu wanaowatumikia.
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Samahani, ni channel gani, boss?
 
Yaani huwa naboreka sana, Tanzania ni nchi pekee ambayo watu wake hawana Utaifa,Lissu hakuwa na mamlaka ya kuongelea COVID_19,kaongelea hear say,mtu amerudi juzi amezika ndugu wangapi tangu aje???
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Corona kuwepo na uwepo wa vifo ni vitu viwili tofauti sana. Tatizo watanzania kujishughulisha kiakili wengi wenu ni zero kabisa!
 
Aache upuuzi yeye toka anaingia nchini amechukua tahadhari gani dhidi ya corona...mbona mda wote amekuwa kwenye nyomi ya watu tena hata wazee akina Sefu wanatembea bila barakoa tena kwenye msongamano wa watu.

Atulie ajenge hoja zake vyema, wengi tupo nyuma yake..vya ukweli tutamsapoti vya uongo ataambiwa ukweli ajirekebishe.
Magu ni mropokaji lakini TL amezidi na kama mpo nyuma yake ombeni sana CCM wasimpe nafasi ya kuongea sana kwasababu nakuahidi kila muda ule mdomo ukiwa unafunguka kuna shabiki anapotea.
 
Inaonekana wao ndio waliompiga risasi za kutosha pale Dom kwny makazi ya viongozi.

Si kweli.

Angepigwa risasi na wataalam wenyewe asingepona.

Na hata angepigwa risasi kama yule mbeba madini wa Arusha wakamchafua yeye na Rabge Rover yake asingepona kabisa.

Isitoshe bado dereva wake anahitajika atoe maelezo inakuwaje risasi zipigwe kuelekea uapnde wa dereva (kushoto) lakini zimpate Tundu Lissu kwenye mguu wake wa kulia.

Hadi leo hii hakuna anaefahamu kwa uhakika Tundu Lissu alishambuliwa na wahuni wepi.
 
Lissu ndio Rais ajaye wa Tanzania , hutaki jipige kitanzi

Sawasawa Tundu Lissu, raisi ajae wa Chadema digital na social media.

Halafu mkajitahidi msiweke anachokizungumza kwenye "acceptance speech" yake lakini mkatoa tena baadae.

Lakini Tundu Lissu anajitahidi sana ila bado ana safari ndefu sana.
 
Leo Nilibahatika Kusikiliza Live interview ya Mheshimiwa Tundu Lissu na Televisheni moja nchini Kenya. Mtangazaji Aliegemea kwenye Hoja tatu kama zilivyo orodheshwa hapo chini.

1. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu
2. Hali ya Covi-19 kwa Tanzania kwa sasa
3. Hali ya haki za Binadamu kwa Tanzania kwasasa

Binafsi Nitaegemea kwnye hoja ya Pili ambayo ni COVID-19.

Ikumbukwe kwamba Kenya ni Moja ya nchi mpinzani wetu mkubwa katika sector ya utalii na ndio maana mpaka leo kuna watu wanajua mlima kilimanjaro ambao ni moja ya kivutio kikubwa cha utalii duniani upo Kenya.

Suala la Tanzania kufungua mipaka na kukaribisha Watalii kipindi cha COVID-19 kimewaumiza sana majirani zetu, na wataalam wa masuala ya uchumi lazima watakwambia tumegain positively kiuchumu kwa move hii.

Niseme ukweli ni ujinga kuiponda serikali kwa hatua ilizochukua kuhusu COVID-19, Halafu unasema COVID-19 ipo sana Tanzania kwa takwimu zipi? Kilichopo ni watu kuchukua tahadhari na kuendelea na maisha.

Hivi hii COVID-19 ingekuwepo hapa Tanzania na maambukizo yawe ndio kama tunavyoelezwa Tanzania si kungekua na maiti huko Barabarani zimezagaa? Nani aliangalia fainali ya FA cup kati ya Simba na Namungo? mliona ule msongamano

Lets be careful guys, Ninajua wengi hawatapenda hii kwakua wana mahaba na upinzani lakini penye ukweli lazima usemwe.

Sijafurahia walivyofanya baada ya mahojiano kuweka TBT YA IDDI AMIN DADA AKIWAFOKEA MAWAZIRI WAKE.
Basi TBC na nyie wekeni matangazo yenu yanayowafurahisha. Huku tz hamuwezi kuweka hotuba za Lissu kaenda zake kwa majirani tena mnalalamika.

Laanaturah
 
Si kweli.

Angepigwa risasi na wataalam wenyewe asingepona.

Na hata angepigwa risasi kama yule mbeba madini wa Arusha wakamchafua yeye na Rabge Rover yake asingepona kabisa.

Isitoshe bado dereva wake anahitajika atoe maelezo inakuwaje risasi zipigwe kuelekea uapnde wa dereva (kushoto) lakini zimpate Tundu Lissu kwenye mguu wake wa kulia.

Hadi leo hii hakuna anaefahamu kwa uhakika Tundu Lissu alishambuliwa na wahuni wepi.
Endeleeni kuleta sarakasi lakini siku zenu zinahesabika kudadeki !
Instagram media - Bt2Krycj3b7.jpg
 
Back
Top Bottom