Wanasiasa wa Upinzani kuweni makini mnapofanya mahojiano na Media za Nje

..hivi CCM mmewahi kuwaunga mkono wapinzani ktk jambo gani?

..mbona kila siku mnawachafua na kujaribu kuwaaminisha wananchi kwamba wapinzani ni watu wabaya?
Alicho fanya Lisu ni kuwabomoa ccm au nchi?
 
..alitua nchini kavaa mask akakutana na umati hauna mask.

..Watz tunaishia kama vile tunaitafuta covid19.
Na yeye akavua mask kutafuta corona!

Itoshe tu kusema Lisu ni msomi mpumbavu!
 
Umeandika pumba kupita maelezo. Rudia kusoma ujinga wako alafu ujitafakari.....
 
Majitu ya CCM siku hzi yamekua majinga kama mazombi, hayajielewi. Kama utawafuatilia kwenye thread utagundua hawana akili wala hawaelewi nini wanaitakia hii nchi.

Jana kuna thread ililetwa humu kuhusu tamko la serikali kuwataka raia wa kigeni wanaoingia nchini kuchukua tahadhari kadha wa kadha juu ya ugonjwa corona.
Mtoa mada akaponda jinsi serikali inavyotoa rai kwa raia wa kigeni kuchukua tahadhari juu uwepo wa corona nchini huku wamanchi tukiambiwa tutembee vifua mbele.

Maccm yakamjia juu kumponda sana kwamba hakuna kiongozi aliyewah kusema Corona imeisha Tanzania kwahyo serikali ipo sahihi kutoa tahadhari kwa raia wa kigeni juu ya ugonjwa wa corona nchini.
Sasa leo kisa aliyeongea ni Lissu basi amekua mbaya wakat ameongea uhalisia uliopo. Kwanini msianze na yule aliyetoa lile tamko kwanza.

Acheni mihemko mtumie angalau akili kufikiria mambo kabla ya kuwa kama mazombi kufuata upepo tu kwenye kila kitu.
 

Attachments

  • IMG_20200806_183006_028.JPG
    74 KB · Views: 1
Nakuonea huruma sana kama una waingili kwenye majukumu yao wana media wa nchi tofauti na Tanzania.

Mungetaka kuyasikia yale yanayo wafurahisha masikioni mwenu munge mfanyia mh Lissu interview na media zenu ili aongee mnavyo taka nyinyi.
 
Wacha uzuzu wewe mramba viatu wa lumumba
 
Mkuu wewe unauakika gani kama Corona imeisha Tanzania ..??
Swali zuri sana. Ukipima unapata takwimu. Hujapima utatumia facts za kwingineko mfano majirani zetu ipo kwanini kwetu isiwepo.
Labda tz imekuja imekuja kwa miujiza na kutoka kwa miojiza! Kinyume na hapo kusema ipo ni sawa tu. Je, kuna uwezekano wa kupima?

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Wacheni kuwa washabiki wa kipumbavu na kutojitambua kisa kuipenda ccm!

Unawezaje kusema kuwa hakuna corona wakati hata mlisha ambiwa kuwa hata mashine zenyewe za kupimia huo ugonjwa ni mbovu na siyo za kuaminika?
 
Yani wanaofanya CCM iendelee kuwa madarakani ni hao hao wapinzani kwa kushindwa kujitambua na kutambua nafasi zao.

Ni bora shetani unaemjua siku zote, kuliko...
Sisi tunawapenda viongozi wetu wa upinzani na lazima mjue kuwa hamuwezi kuwalazimisha watu waipende ccm yenu.

Na huna haki yoyote kunilazimisha niipende ccm maana hakuna chochote ilicho nifanyia.
 
Unaweweseka na utaweweseka sana mwaka huu kisa Lissu kawa rais
Ndio maana nashindwa kuelewa wanaomfungia sauti Lissu ni wa kumuacha tu ajikaange kwa mafuta yake mwenyewe.

Hasira za mkizi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…