Uzuri wa Mama Samia si kichwa kigumu kama yule bichwa.
Naamini hata humu JF anaona maoni na kuyapima.
Mfumuko wa bei kutokana na kupanda bei ya mafuta ni lazima umewashitua na malamiko yapo mengi toka bungeni hadi mitaani.
Lakini naona analishughulikia kupunguza makali, tusubiri june 1st.