But the lady is always unhappy...picha zake zote huko insta hana tabasamu hata kidogo..yn anaonekana ni mtu mwenye mawazo..inaonyesha hata akipiga picha akili yake huwa haiko kwa picha...she is cute..kukosa mtoto kusimfanye ashindwe hata ku smile jamani...Ya kinyarwanda hasa [emoji8] she is Beautiful
uko sahihi kabisa mkuu.Usiseme hivyo..maneno makali sana hayo hakuna anayependa kuwa mgumba..
Time will tell Mungu anaweza wajalia..hata 10yrs ya ndoa bado...
Too low.Ok bas no Nlijua mchaga kwa sbb mama yake ni mchaga ila sijui baba ni kabila gan.
HahHhh...Rangi ya Mtume...Mke wa zitto nae ni kifaa jamani, mtoto wa kimanga rangi ya mtume
Naona una hamu ya kumfata yule baba aliyeko jela na mwanae ....Mimi wake wa viongozi wa zenj ndiyo nawaelewa wale ...
Ila mama Salima naye namuona namuona
Tanzania ya viwanda yaja.
Hahaha aliyeanza kumsifia siyo mimi ni ....Naona una hamu ya kumfata yule baba aliyeko jela na mwanae ....
Kukosa mtoto laweza kua ni jambo dogo lakini kukosa mume mwenye utu na maadili ni jambo ambalo litakupa Mawazo kila kukicha,tabia za hadharani za kiumbe yule kuwa chongea na kudharirisha watu na wakati mwingine kuwatukana Mbele ya uma wa watanzania inadhihirisha kuwa huko ndani mkewe hayuko salama,ndio matokeo yake wanatajwa Malaya kama kina Masogange kuwa anawamiliki sasa wewe mwanamke hiyo furaha utaitoa wapi hapo? Yule Dada ni mzuri jamani hasa angepata mwanaume Rijali hasa angeyafurahia maishaBut the lady is always unhappy...picha zake zote huko insta hana tabasamu hata kidogo..yn anaonekana ni mtu mwenye mawazo..inaonyesha hata akipiga picha akili yake huwa haiko kwa picha...she is cute..kukosa mtoto kusimfanye ashindwe hata ku smile jamani...
Nashindwa kuelewa ulokole wake...neno linasema shukuruni kwa kila jambo....
Km kuna rafiki yake humu amwambie let her self smile....yy sio wa kwanza..
Utakua na matatizo ya akili sio bure, sasa ulitaka wadada wasichangie au? Na mbona sioni sehemu ambayo wadada wameonyesha chukizo juu ya huu Uzi wa kusifia wanaoonekana kua na sifa!!?Naona wadada mnaushambulia huu uzi kisa mwenzenu kasifiwa..!
Ni kweli kuna wanawake wazuri hata BIBLIA iliwaandika kwa mfano; Sara, Rebecca, Raheli, Esta, Vashti, Bethsheba nk, japokuwa haimaanishi uzuri wao utawafanya kuwa wake bora.
Yes, wanawake wazuri wapo na Neema anaweza kuwa miongoni mwao.
Anyways, Mods ondoa huu uzi..!
Josephine slaa????Wa makonda mzuri
Mama salma mke wa jk mzuri
Mke wa pinda mzuri
Mke wa mbowe mzuri
Josephine slaa mzuri
Mke wa mwigulu mzurMke wa Lazaro nyalandu balaa
Mke wa.....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] me ndo kabisaaaaSijaelewa hata neno moja
Yaani akichoandika hakifanani hata kidogoUtakua na matatizo ya akili sio bure, sasa ulitaka wadada wasichangie au? Na mbona sioni sehemu ambayo wadada wameonyesha chukizo juu ya huu Uzi wa kusifia wanaoonekana kua na sifa!!?
Wewe ulishawahi pata kesi yoyoteUnaona mwisho wa pua yako tuu. Hii kesi ina impact kubwa sana katika uendeshaji wa kesi katika mahakama zetu na suala la utoaji wa dhamana. Rejea za HC na ile ya CA kwa kesi hii ya Lema zitasaidia sana kuzuia Mawakili wa serikali kuzuia dhamana kwa uonevu kwa wananchi wanyonge siku zijazo.
Huo ndio ushujaa wa Lema, kateseka yeye lakini raia watanufaika kukwepa uonevu na bado katoka akiwa kamili gado
Kwanini husemi wangekuwa wazuri kama mke wako? Au mkeo sio mzuriKatika kufuatilia fuatilia Wake za Wanasiasa hapa nchini Tanzania jana ndiyo nimegundua kuwa kumbe Lema alikuwa na maana yake alivyokuwa analia, kukonda na kung'ang'ania kutoka Kolokoroni alikokuwa kwa takribani siku 121.
Ukweli ni kwamba Mke wa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Jonathan Lema aitwae Neema ni Mrembo hasa na leo nidiriki tu kusema ukweli wangu wa kutoka moyoni kabisa kuwa sijawahi kuona Mwanasiasa wa Kiume hapa Tanzania tokea ipate Uhuru wake mwaka 1961 mwenye Mke mzuri na mrembo wa kweli kabisa kama Mke wa Lema.
Neema Mke wa Mbunge Lema ana.......
Enyi Wanasiasa wengine wa Kiume wa Tanzania igeni kwa mwenzenu Mbunge Lema kwa kujua kuchagua Mke very photogenic kwani yawezekana Lema anafanikiwa sana Kisiasa kutokana na ushirikiano mzuri wa Kiurembo kutoka kwa Mkewe ambao humtia moyo Mumewe na kuweza kuchapa kazi vizuri na kuwa Mtendaji na Mwanasiasa mzuri.
- Tabasamu zuri
- Macho mazuri
- Komwe zuri
- Miguu myembamba inayokubali Nguo zozote na hali ya hewa yoyote ile
- Meno yake yamejipanga na yamepangika kimwonekano
- Ana superb body structure kuanzia mabegani Kwake hadi Magotini
- Anajua kupangilia nguo vizuri na zinampendeza hasa
Kuna wengine Wake zenu huwa kila nikiwaona nao huwa najiuliza mlioa wenyewe kwa Utashi wenu au mlikabidhishwa tu Kimila hivyo kama mngewakataa mngelaaniwa!
Sijui na Mimi nitapata wapi Mke mzuri kama wa Mbunge wa Arusha mjini Mheshimiwa Godbless J. Lema Dada Neema ili nami niweze kutamba nae mjini hapa.
Katika kufuatilia fuatilia Wake za Wanasiasa hapa nchini Tanzania jana ndiyo nimegundua kuwa kumbe Lema alikuwa na maana yake alivyokuwa analia, kukonda na kung'ang'ania kutoka Kolokoroni alikokuwa kwa takribani siku 121.
Ukweli ni kwamba Mke wa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Jonathan Lema aitwae Neema ni Mrembo hasa na leo nidiriki tu kusema ukweli wangu wa kutoka moyoni kabisa kuwa sijawahi kuona Mwanasiasa wa Kiume hapa Tanzania tokea ipate Uhuru wake mwaka 1961 mwenye Mke mzuri na mrembo wa kweli kabisa kama Mke wa Lema.
Neema Mke wa Mbunge Lema ana.......
Enyi Wanasiasa wengine wa Kiume wa Tanzania igeni kwa mwenzenu Mbunge Lema kwa kujua kuchagua Mke very photogenic kwani yawezekana Lema anafanikiwa sana Kisiasa kutokana na ushirikiano mzuri wa Kiurembo kutoka kwa Mkewe ambao humtia moyo Mumewe na kuweza kuchapa kazi vizuri na kuwa Mtendaji na Mwanasiasa mzuri.
- Tabasamu zuri
- Macho mazuri
- Komwe zuri
- Miguu myembamba inayokubali Nguo zozote na hali ya hewa yoyote ile
- Meno yake yamejipanga na yamepangika kimwonekano
- Ana superb body structure kuanzia mabegani Kwake hadi Magotini
- Anajua kupangilia nguo vizuri na zinampendeza hasa
Kuna wengine Wake zenu huwa kila nikiwaona nao huwa najiuliza mlioa wenyewe kwa Utashi wenu au mlikabidhishwa tu Kimila hivyo kama mngewakataa mngelaaniwa!
Sijui na Mimi nitapata wapi Mke mzuri kama wa Mbunge wa Arusha mjini Mheshimiwa Godbless J. Lema Dada Neema ili nami niweze kutamba nae mjini hapa.