Wanasimba wameshinda lakini hawana furaha ndani ya mioyo yao

Wanasimba wameshinda lakini hawana furaha ndani ya mioyo yao

Away game ndio approach yao Waarabu, kule Casablanca utasema wamewabadirishia timu lakini ni timu hiyo hiyo.

Tufurahi kwa ushindi wa leo, lakini kuwatowa Wamorocco kwao bado hauna uwekezaji huo.

Mpaka sasa ni Mamelodi peke yake ndio anaweza kukomaa na Waarabu kwao.

Ukitaka kujifunza kitu usikose kuangalia mechi ya leo SAA 4 usiku kati ya Raja na Al Ahaly
Hiyo nayo itakua ni bonge la gemu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kongole mtani kwa hicho kidogo ulichokipata pasipo kuwa na tegemezi/matarajio maana hiyo ni zaidi ya kujaribu kujiokoa kutoka kwenye Domo la mamba mwenye njaa Kali.

NALIA NGWENA the great thinker natoa pongezi kwa kuifunga wydad goli moja kwa mtungi, goli liliofungwa na Jean balleke huku asist ikitoka kwa kibu Denis (drogba wa bongo).
Kidogo ingekuwa furaha kubwa Kama simba angeanzia kwa wydad halafu akapata ushidi alioupata leo hakika ingeleta matumaini kwa mashabiki.

Mashabiki wa Simba wanalazimisha furaha lakini wakikumbuka kuwa watakwenda kwa waydad mioyo yao inachoka kabisa haswa kuona timu yao imepata ushindi mwembamba.

Simba Kuifunga wydad Casablanca goli moja kwa mkapa ni sawa na mtu kumpiga dole tembo , shida ni pale tembo atakapo geuka kwa gadhabu, ndicho kitakacho watokea Simba nyumbani kwa wydad wategemee kuoga magoli si chini ya tatu nakuendelea.

Simba angefunga goli tatu na kuendelea hii ingeleta matumaini kwa mashabiki, lakini goli moja ni wazi huu ni muda wa kukusanya vilago nakurudi nyumbani.

Simba haina uwezo wa kuifunga/ kuzuia magoli nyumbani kwa wydad, huo ndiyo ukweli mengine tunapeana moyo tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa maana wewe upo ndani ya mioyo yao
 
Kongole mtani kwa hicho kidogo ulichokipata pasipo kuwa na tegemezi/matarajio maana hiyo ni zaidi ya kujaribu kujiokoa kutoka kwenye Domo la mamba mwenye njaa Kali.

NALIA NGWENA the great thinker natoa pongezi kwa kuifunga wydad goli moja kwa mtungi, goli liliofungwa na Jean balleke huku asist ikitoka kwa kibu Denis (drogba wa bongo).
Kidogo ingekuwa furaha kubwa Kama simba angeanzia kwa wydad halafu akapata ushidi alioupata leo hakika ingeleta matumaini kwa mashabiki.

Mashabiki wa Simba wanalazimisha furaha lakini wakikumbuka kuwa watakwenda kwa waydad mioyo yao inachoka kabisa haswa kuona timu yao imepata ushindi mwembamba.

Simba Kuifunga wydad Casablanca goli moja kwa mkapa ni sawa na mtu kumpiga dole tembo , shida ni pale tembo atakapo geuka kwa gadhabu, ndicho kitakacho watokea Simba nyumbani kwa wydad wategemee kuoga magoli si chini ya tatu nakuendelea.

Simba angefunga goli tatu na kuendelea hii ingeleta matumaini kwa mashabiki, lakini goli moja ni wazi huu ni muda wa kukusanya vilago nakurudi nyumbani.

Simba haina uwezo wa kuifunga/ kuzuia magoli nyumbani kwa wydad, huo ndiyo ukweli mengine tunapeana moyo tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mnahangaika sanaaaa na matokeo ya simba akishinda maneno akifungwa maneno, ebu mtuache
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Nimekaa kimya ila leo ngoja niseme....we jamaa usipoitaja Simba unapata taaabu sana ...embu jifunze kutokuongelea chama la kibabe
Ni lazima amtaje mumewe.Nilipita kijiwe cha Yanga wakawa wanapeana moyo kwa kipigo cha Jumapili.Mmoja akadai kafungwa bingwa wa Afrika aliyefika nusu fainali ya klabu bingwa ya dunia itakuwa sisi?Wenzake wakakubaliana nae.
 
Ni lazima amtaje mumewe.Nilipita kijiwe cha Yanga wakawa wanapeana moyo kwa kipigo cha Jumapili.Mmoja akadai kafungwa bingwa wa Afrika aliyefika nusu fainali ya klabu bingwa ya dunia itakuwa sisi?Wenzake wakakubaliana nae.
Wewe mbona umeitaja yanga hapo?? Kwa hiyo na wewe ni mumeo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Away game ndio approach yao Waarabu, kule Casablanca utasema wamewabadirishia timu lakini ni timu hiyo hiyo.

Tufurahi kwa ushindi wa leo, lakini kuwatowa Wamorocco kwao bado hauna uwekezaji huo.

Mpaka sasa ni Mamelodi peke yake ndio anaweza kukomaa na Waarabu kwao.

Ukitaka kujifunza kitu usikose kuangalia mechi ya leo SAA 4 usiku kati ya Raja na Al Ahaly

Hautaweza kuamini ila tunamfunga vizuri tu mwarabu kwake sio wewe tu na dunia nzima haiwezi kuamini
 
Kongole mtani kwa hicho kidogo ulichokipata pasipo kuwa na tegemezi/matarajio maana hiyo ni zaidi ya kujaribu kujiokoa kutoka kwenye Domo la mamba mwenye njaa Kali.

NALIA NGWENA the great thinker natoa pongezi kwa kuifunga wydad goli moja kwa mtungi, goli
We ulishawahi kumpiga dole tembo? Acha kuongea upuuzi. Utakuwa lini na akili?
 
Back
Top Bottom