Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Huyu Al Ahyl Hana maajabu yeyote ya maana
Na siku zote Ili uwe bora na lazima upambane na aliye bora Ili kupitia yeye na wewe upande chati.
Simba hazingumziwi sana kwenye haya mashindano kwakuwa ni kawaida yake kuishia robo,hana kipya
Yanga ndiye anayetrend kwakuwa ni first time kuingia makundi,kama haitoshi wanasimba wengi wanakhofu anaweza fanya kama mwaka jana kwenye shirikisho
Hivyo hizi kelele zote ni hofu tu wanasimba kuwaona Yanga anataka kuwapoka kiti cha Ufalme wa Ugiant wa Kimataifa
Kelele hizo zote ni hofu tu,imejificha kwenye kejeli na dharau,
Huyo Al Ahyl anachapika vizuri tu,kama nyie mmeshindwa tuachieni
Eti huyu Al Ahyl anayegeuzwa kama chapati na Mamelodi ndo wakututisha siye,ahaaaaaa
Waarabu hawana maajabu yeyeto,
Btw,rekodi za nyuma hazichezi mpira wa Leo,
Wanasimba punguzeni khofu,Al Ahyl hana maajabu yeyote
Na siku zote Ili uwe bora na lazima upambane na aliye bora Ili kupitia yeye na wewe upande chati.
Simba hazingumziwi sana kwenye haya mashindano kwakuwa ni kawaida yake kuishia robo,hana kipya
Yanga ndiye anayetrend kwakuwa ni first time kuingia makundi,kama haitoshi wanasimba wengi wanakhofu anaweza fanya kama mwaka jana kwenye shirikisho
Hivyo hizi kelele zote ni hofu tu wanasimba kuwaona Yanga anataka kuwapoka kiti cha Ufalme wa Ugiant wa Kimataifa
Kelele hizo zote ni hofu tu,imejificha kwenye kejeli na dharau,
Huyo Al Ahyl anachapika vizuri tu,kama nyie mmeshindwa tuachieni
Eti huyu Al Ahyl anayegeuzwa kama chapati na Mamelodi ndo wakututisha siye,ahaaaaaa
Waarabu hawana maajabu yeyeto,
Btw,rekodi za nyuma hazichezi mpira wa Leo,
Wanasimba punguzeni khofu,Al Ahyl hana maajabu yeyote