Wanasimba wengi wanajaribu kumtisha Yanga dhidi ya Al Ahyl wakihofia akishinda nyuso zao wataziweka wapi

Wanasimba wengi wanajaribu kumtisha Yanga dhidi ya Al Ahyl wakihofia akishinda nyuso zao wataziweka wapi

Zote hizi kelele ni hofu tu

Wanaleta kkejeri Ili tuvunjike moyo tu na tukate tamaa tuache kuthubutu

Wanajaribu kumtisha Ili tufyate mikia Ili tusifike walipofikia wao wakihofia tutafanaa na wote tupate sifa moja wakose la kuturingia

Liwalo na liwe Yanga hana la kupoteza apambane tu

Kumbe mnajua mnafukuzia rekodi za Simba. Lakin mnaweka vichwa ngumu kujifanya wakubwa.
 
Kumbe mnajua mnafukuzia rekodi za Simba. Lakin mnaweka vichwa ngumu kujifanya wakubwa.
Siyo rekodi za Simba,tunatafuta zetu wenyewe

Mwenye hofu ni Simba kuwa tunaenda kumpita

Kila mtu ashinde mechi zake
 
Kuuliza
Nilikuwa nataka kujua kitu kwani mimi ni mwanafunzi.
Nilitaka kuona tu takwimu ya hizo timu mbili kwenye trend mitandaoni. Inasaidia kwa watu wa marketing.
Trend zinacheza!?

( ndiyo zinacheza nikimaanisha kupanda na kushuka)
 
Simba wanacheza mwaka huu nyie utopolo mnacheza nao mwakani.

Sasa Simba wanawatisheni Vipi??

Kati ya Mechi ya Simba na Al ahly na Yanga na Al ahly ipi inatangulia.

Mnajtisha wenyewe halafu mnaleta uzushi kwamba mnatishwa!!!
 
Kuuliza
Nilikuwa nataka kujua kitu kwani mimi ni mwanafunzi.
Nilitaka kuona tu takwimu ya hizo timu mbili kwenye trend mitandaoni. Inasaidia kwa watu wa marketing.


( ndiyo zinacheza nikimaanisha kupanda na kushuka)
Ok,unataka kujua head to head zao walipokutana?
 
Simba wanacheza mwaka huu nyie utopolo mnacheza nao mwakani.

Sasa Simba wanawatisheni Vipi??

Kati ya Mechi ya Simba na Al ahly na Yanga na Al ahly ipi inatangulia.

Mnajtisha wenyewe halafu mnaleta uzushi kwamba mnatishwa!!!
Tumewatamguliza mgambo,mkizidiwa na tunaingiza jeshi

Make Kwa kutulia,
 
Tumewatamguliza mgambo,mkizidiwa na tunaingiza jeshi

Make Kwa kutulia,
Mmemtanguliza vipi wakati nyie hamna sifa ya kucheza haya mashindano ya wababe wa Afrika?nyie sio levels za Simba,Simba keshacheza nusu fainali Klabu Bingwa, Viongozi wenu wanajua kuwa nyie ni wachovu huku ndio maana wamesema malengo yao ni makundi tu
 
Mmemtanguliza vipi wakati nyie hamna sifa ya kucheza haya mashindano ya wababe wa Afrika?nyie sio levels za Simba,Simba keshacheza nusu fainali Klabu Bingwa, Viongozi wenu wanajua kuwa nyie ni wachovu huku ndio maana wamesema malengo yao ni makundi tu
Tungekuwa hatuna sifa,tungekuwa hapa!?

Aahaaaa
 
Medeama vs Young Africans

Full-time, 26 Jul 16

Medeama

3

Young Africans

1

Full-time, 16 Jul 16

Young Africans

1

Medeama

1

All times are in East Africa Time
 
Medeama vs Young Africans

Full-time, 26 Jul 16

Medeama

3

Young Africans

1

Full-time, 16 Jul 16

Young Africans

1

Medeama

1

All times are in East Africa Time
Mwaka gani!?
 
Ok,unataka kujua head to head zao walipokutana?
Hapana kaka hizo mbona ziko wazi, rejea bandiko la muandishi kuhusu trend mitandaoni.

Mfano wa ninachotaka kujua kutoka mitandaoni yanga katazamwa mara kadhaa na simba mara kadhaa toka makundi yatangazwe.
 
Hapana kaka hizo mbona ziko wazi, rejea bandiko la muandishi kuhusu trend mitandaoni.

Mfano wa ninachotaka kujua kutoka mitandaoni yanga katazamwa mara kadhaa na simba mara kadhaa toka makundi yatangazwe.
Sawa,ingia kwenye bio Yanga hapa jf Kuna uzi niliuposti humu utafute nshakutag
 
Huyu Al Ahyl Hana maajabu yeyote ya maana

Na siku zote Ili uwe bora na lazima upambane na aliye bora Ili kupitia yeye na wewe upande chati.

Simba hazingumziwi sana kwenye haya mashindano kwakuwa ni kawaida yake kuishia robo,hana kipya

Yanga ndiye anayetrend kwakuwa ni first time kuingia makundi,kama haitoshi wanasimba wengi wanakhofu anaweza fanya kama mwaka jana kwenye shirikisho

Hivyo hizi kelele zote ni hofu tu wanasimba kuwaona Yanga anataka kuwapoka kiti cha Ufalme wa Ugiant wa Kimataifa

Kelele hizo zote ni hofu tu,imejificha kwenye kejeli na dharau,

Huyo Al Ahyl anachapika vizuri tu,kama nyie mmeshindwa tuachieni

Eti huyu Al Ahyl anayegeuzwa kama chapati na Mamelodi ndo wakututisha siye,ahaaaaaa

Waarabu hawana maajabu yeyeto,

Btw,rekodi za nyuma hazichezi mpira wa Leo,

Wanasimba punguzeni khofu,Al Ahyl hana maajabu yeyote

View attachment 2774429View attachment 2774430
Nonsense
 
Sawa,Simba yupo kundi gumu na ni mbabe,
Nimeitunza hiyo

Na Yanga yupo kundi rahisi ila yeye ndo mbovu,

Naitunza hiyo pia

Kula chuma icho uto

IMG_5447.jpg
 
Huyu Al Ahyl Hana maajabu yeyote ya maana

Na siku zote Ili uwe bora na lazima upambane na aliye bora Ili kupitia yeye na wewe upande chati.

Simba hazingumziwi sana kwenye haya mashindano kwakuwa ni kawaida yake kuishia robo,hana kipya

Yanga ndiye anayetrend kwakuwa ni first time kuingia makundi,kama haitoshi wanasimba wengi wanakhofu anaweza fanya kama mwaka jana kwenye shirikisho

Hivyo hizi kelele zote ni hofu tu wanasimba kuwaona Yanga anataka kuwapoka kiti cha Ufalme wa Ugiant wa Kimataifa

Kelele hizo zote ni hofu tu,imejificha kwenye kejeli na dharau,

Huyo Al Ahyl anachapika vizuri tu,kama nyie mmeshindwa tuachieni

Eti huyu Al Ahyl anayegeuzwa kama chapati na Mamelodi ndo wakututisha siye,ahaaaaaa

Waarabu hawana maajabu yeyeto,

Btw,rekodi za nyuma hazichezi mpira wa Leo,

Wanasimba punguzeni khofu,Al Ahyl hana maajabu yeyote

View attachment 2774429View attachment 2774430
yanga kwa sasa haitishwi na mtu yoyote
 
Back
Top Bottom