Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Wewe unaejitambua pale yanga unanufaika na nini zaidi ya kudanganywa timu ya wananchi wakati hupati shilingi, mshabiki furaha yake ni makombe tu hayo mengine ni wivu tu juu ya uwekezaji wa mo na stress mlizonazo miaka minne bila kombeNyonzo hajitambui...bado yupo katika giza totoro hadi yeye atakapogeuzwa bidhaa.
Eti anachotaka makombe...hata kama yamejaa damu na jasho la baba na mama zake kwake ni sawa tu! Utumwa na utwana unamfaa.
Kwaio kwa akili yako hao watu waliofungiwa laini hawatumii simu tena?!! Kama unaamini hivyo basi utakuwa ni kilaza kipeuo cha pili..no reseach no right to speaksababu za vodacom kujitoa ligi zimeelezwa waziwazi ni anguko la biashara baada ya line nyingi kufungiwa kutokana na usajili
Wapi nimesema kutowezekana.mbona unajipinga mweyewe, unasema hivyo vitu vinaweza kujisimamia na kuendesha club, halafu hapo hapo unaonesha kutowezekana kwake mpaka muwekezaji awepo
Kwa mantiki hiyo bila muwekezaji hizo asset ni kama picha ya samaki, haina msaada wowote pindi una njaa
Sasa kama ni wajibu wa wanachama kutembeza bakuli kwanini wajibu huo hamuendelei nao mpaka sasa na mna 51%?
Tatizo uwa mnadandia tren kwa mbele mnaishia kuswaga na vipoint vyenu uchwala,huu mchakato wa MO kununua hisa,umepitia ngazi tofauti na,bodi ya tender iliundwa kutangaza zabuni ya uwekezaji ikiwa na terms na condition ambazo wanachama wa simba walizipitisha.Mechanism rahisi sana. Unapotangza unakuza mauzo.
Matangazo ni 10% to 30% ya total earnings. Kwa hiyo mapato yake ni mara tatu mpaka kumi ya gharama ya kutangaza. Kama alitumia 200mil, basi itamuingizia milioni 600 mpaka bilioni 2. Tufanye average ni 1bn.
Mo anatoa 5bn a year lakini, kabla hajatoa bilioni 20 alikuwa tayari ana mamlaka yote ya kiuendeshaji kwa miaka minne. Kwa hiyo msichukulie kama alikuwa anawafanyia favors. Bilioni 20 ikinunua Government bonds inaweza kukupa 3.4bn a year.
Maana yake, angetoa hizo 20bn kabla ya kujitwalia madaraka, Simba ingekuwa na uwezo wa kuingiza 3.4bn a year bila kuambiwa kuwa huo ni msaada. Kwa hiyo ondoa fikra kuwa Mo alikuwa anatoa msaada Simba.
Kitu ambacho Mo analaumiwa kwenye hii issue ni openness. Tenda hiyo ya matangazo ya jezi ilikuwa competitive? Ilikuwa open? Je, Simba ingeweza kupata hela zaidi kwa matangazo ya mgongoni? Kutoka kwa wadau mbalimbali kitaifa na kimataifa kama tenda ingekuwa wazi?
Kuwa mwanachama smart.
Maana yake udhamini wa ligi ulikuwa hauwaletei faida ya moja kwa moja. Kwa kifupi ni kwamba vodacom kusitisha kudhamini ligi kwao ni kupunguza matumizi. Sasa inakuwaje Mo anasemwa anapata faida kubwa kisa tu ameweka logo za biashara zake kwenye jezi?sababu za vodacom kujitoa ligi zimeelezwa waziwazi ni anguko la biashara baada ya line nyingi kufungiwa kutokana na usajili
zile logo zinawekwa ili kutangaza biashara zake kutokana na matangazo hayo ndivyo bidhaa zinavyouzikaMaana yake udhamini wa ligi ulikuwa hauwaletei faida ya moja kwa moja. Kwa kifupi ni kwamba vodacom kusitisha kudhamini ligi kwao ni kupunguza matumizi. Sasa inakuwaje Mo anasemwa anapata faida kubwa kisa tu ameweka logo za biashara zake kwenye jezi?
kilaza ni wewe kama wenye kampuni wamesema hivyo wewe ngumbaru wa madongo kuinama unabisha niniKwaio kwa akili yako hao watu waliofungiwa laini hawatumii simu tena?!! Kama unaamini hivyo basi utakuwa ni kilaza kipeuo cha pili..no reseach no right to speak
Sasa Simba walifika kwenye robo final ya club bigwa ya Africa?Ili timu irudi kwenye mstari ( kwa wananchi), basi ni lazima Bara bara aondolewe kwenye hiyo nafasi. Naona anashindwa kutenganisha mapenzi na kazi mwishowe ataizamisha kabisa timu. Moo naye kazidiwa mahaba anakuwa kama zombie hata hawezi kutoa maamuzi ya kiume. Kimsingi Moo ni mtu mzuri ila kama Samsoni kwa Delilah, amelemewa na mahaba. Msaidieni kwa kumtimua Bara bara ili timu isizidi kudidimia shimoni.
Tangu Bara bara aingie kwenye hiyo nafasi hamna cha mno alichoweza kukifanya. Leo hii timu haina uwezo wa kumshinda mtani wa jadi hadi mfanye figisu wachezaji wa mtani wapewe kadi nyekundu, wacheze 'nusu', ndio muweze kushinda mechi, sasa hapo utasema kuna timu?
Looh, Aibu yenu!
Mpira ni Biashara, unajua Luis alisajiliwa na nani na kwa kiasi gani? Ni vema ukatumia muda wako kuwashauri viongozi wako wa UTOPIAMo anawapelekea sana moto simba.
Ni kama vile ana 100% ya hisa.
Naona hata Luis Miquisson kauzwa kwasababu ya MO kuridhia na si vinginevyo, Hivi kweli mchezaji kama Luis ni wa kuuzwa kweli??
Bado kuna kufukuza wafanyakazi, kuweka ndugu zake huko kwenye bodi za timu, n.k
Hawa wenye 51% wako wapi???
Dah!!ndio maana nimekueleza no research no right to speak!!ni vile tu huna akili,ungenielewakilaza ni wewe kama wenye kampuni wamesema hivyo wewe ngumbaru wa madongo kuinama unabisha nini
Sasa wewe ndiyo ulioingilia mada kinyumenyume exposing your gaping tunnel.Tatizo uwa mnadandia tren kwa mbele mnaishia kuswaga na vipoint vyenu uchwala,huu mchakato wa MO kununua hisa,umepitia ngazi tofauti na,bodi ya tender iliundwa kutangaza zabuni ya uwekezaji ikiwa na terms na condition ambazo wanachama wa simba walizipitisha.
Katika iyo tender alieomba na kutimiza vigezo na masharti yote ni MO Dewji pekee,hakuna mtu yeyote aliejitokeza tofauti na MO,baada ya hapo wanachama wakatengeneza memorandum ambayo ilipitishwa na mkutano mkuu ambayo itatumika kuendesha timu kipindi cha mpito kati ya muekezaji na wanachama ambao ni wanahisa wenye majority.
Kuhusu tender ya matangazo ya jezi muda mwingine muwe mnafanya research msiongee kama wachawi,main sponsor ni sport pesa ndie alieweka pesa nyingi na ndio anakaa kifuani hapo mbele,na hao wengine unaowaona ni wadhamini wadogo.
Metl kupitia kampuni yake ya vinywaji baridi wanatoa milioni 350 kwa mwaka na alitangazwa kipindi anaingia mkataba huo na jinsi Simba inavyoendeshwa ni makubaliano rasmi ambayo yatatumika kipindi chote cha mpito wala sio uamuzi wa MO.
Uamuzi ulipitishwa ili muekezaji awe na uhakika wa pesa zake na kwasababu club haipo katika uendeshaji ulio makini mwekezaji atachagua wajumbe saba,na wanachama wajumbe saba wataunda bodi ya wakurugenzi kwa pamoja watashirikiana kuendesha timu na club itakuwa inabadilisha wajumbe wa bodi kila baada ya miaka minne.
Kwa muekezaji yeyote makini uwezi kuweka bil.20 sehemu ambayo haina hata hesabu zilizokaguliwa kwa miaka mitano nyuma,sehemu ambayo haina ofisi wala watendaji wanaoeleweka na uache tu pesa huo ujinga unaweza kuufanya labda kwa pesa za ndotoni,MO kwanza ameunda management ya club ameweka mfumo mzuri wa mapato na matumizi,ameweka utaratibu wa kutambua mali na madeni ya club, kuajili watendaji wenye sifa stahiki.
kwasababu biashara ya kwanza ya Simba ni mpira ametengeneza mazingira mazuri ya mpira kuchezwa ili kuweka mazingira ya biashara sawa,leo simba amechukua kombe la ligi mara nne,kombe la FA mara mbili,club bingwa kucheza mara tatu,kuingia robo fainal mara mbili,kutengeneza uwanja wa mazoezi kununua vifaa vya kisasa vya mazoezi na vifaa tiba,kuajili wataalamu mbalimbali wa benchi la ufundi na madaktali.
Watu wenye akili "ndogo"kama zako wanafikili hili ni jambo dogo tu,mara nyingi unakuta mtu ambae mshipa wa tako unamtoka hajawahi kumiliki biashara anaongea porojo kuwa MO ni mwizi bila kueleza ameiba nini na kiasi Gani?!! Mimi akija mtu ambae amefanikiwa kama MO na akaeleza kuwa MO anakosea wapi nitamuelewa lakini sio nyie wakina yahya ambao hamjulikani mnafanya kazi gani?!wala hamjulikani mnaishi wapi?!
We huna unachojua bora unyamaze tu , hivi unajua Rwanda wanalipa sh ngapi kwa arsenal visit rwanda kwenye mkono wa jeziMi nikajua Mo ndio analipwa na club kwa kuweka logo kumbe kisheria yeye ndio anatakiwa alipwe, sasa hapo mbona club ndo inafaidika na sio Mo?
Hizo kelele za kusema Mo anafaidika kwasababu ya logo mbona kama ukizichenjua ni kama porojo tu?
Wamewakimbia azamKabisa mkuu tena vodacom nao wamedai kua wamejitoa kwasababu wanapata hasara, kwanini hasara wakati logo zipo?
Kama wingi wa logo ndio wingi wa faida kwanini wasi demand kua waongeze idadi ya logo kwenye jezi ili nao wapate faida zaidi waendelee kuidhamini ligi?
Wewe ndo huna akili, mnufaika hapo ni nani kati ya rwanda aliyetoa £30 millions kumpa deal arsenal au arsenal ambayo haijatoa chochote kwa rwanda?We huna unachojua bora unyamaze tu , hivi unajua Rwanda wanalipa sh ngapi kwa arsenal visit rwanda kwenye mkono wa jezi
gormahia huko tunapata taarifa kua hata pesa ya maji ya kunywa kwa wachezaji imekua mtihaniWamewakimbia azam
Kanjibah anatak simba imilikiwe na famila yakeMo anawapelekea sana moto simba.
Ni kama vile ana 100% ya hisa.
Naona hata Luis Miquisson kauzwa kwasababu ya MO kuridhia na si vinginevyo, Hivi kweli mchezaji kama Luis ni wa kuuzwa kweli??
Bado kuna kufukuza wafanyakazi, kuweka ndugu zake huko kwenye bodi za timu, n.k
Hawa wenye 51% wako wapi???
Mo ndio Rwanda, Arsenal ndio Simba nani ananugaika hapo?Unadhani Rwanda mwenye logo anatoa charity? Mo analipia logo zile? Unajua biashara na umiliki ni vitu tofauti?Wewe ndo huna akili, mnufaika hapo ni nani kati ya rwanda aliyetoa £30 millions kumpa deal arsenal au arsenal ambayo haijatoa chochote kwa rwanda?
hivi hata kuelewa hoja inataka jibu gani nayo imekua ngumu?
Bro, are you serious!!!!Hivi hao wanasmba wenye hisa 51% wametoa shi ngapi kwenye account ya simba company
Nawewe jaribu kulinganisha umaarufu wa bidhaa za mo kabla na baada ya kuingia simba. Simba imemsaidia kupanua brand za biashara zake na utajiri wake umeongezeka maradufu.Mimi nimeuliza unaweza kuelezea ni mechanism gani inayofanya hizo logo zimuingizie pesa.
Unaweza ukaweka range ya kiasi anachopata kwa yeye kuweka logo kisha ukafanya cimparison na kiasi anavhokitoa yeye kuendesha timu?
Kama timu inaingiza hela na kufanya vizuri kupitia hela zake alizo invest huoni hapo ni kama anatoa mfuko wa nyuma ana hamishia mfuko wa mbele?
Kumbuka nauliza haya nikiwa na maana