Wanatumia Vyoo vya kukaa hatarini kupasuka Makende

Ivi wale wanaozikalia kwa juuu hawawezi sababisha madhara kuliko ata mwanaume aendapo chooni?
 
Watu waliozoea Choo cha kukaa wakati mwingine wanajisahau na kukaa pale pale chooni kwa muda mrefu mpaka huku wakichati mpaka wagongewe mlango.
Uswahilini acheni kuiga mambo. Kwa washua kila chumba kina choo chake,swala la kugongewa mlango halipo.
 
Vipo baadhi ya sehemu
Wanaita Turkish toilet
Kampuni moja nilikuwa nafanya kazi walitengeneza moja ya kuchuchumaa
Ila sijaona sehemu nyingi
Huku tu kwenye fani ya ujenzi vinajulikana kama "asian type" hivyo mtu asipofanya description kwenye orodha ya vifaa maana yake choo kinachotambulika ni cha kukaa "European type" hivyo kwenye miradi mikubwa choo ni cha kukaa unless uweke description kwamba unataka cha kuchuchumaa
 
Jenga Nyumba ya Tembe Tuuu hapo gharama nguvu zako na Jasho na kaharufu ka mwili kidogo



Ndio maana tuwape hongera wananchi kwa kuwa..


Chadema ikishinda (Kimyaaaa mtaa wote kichekooo)


Chadema ikishindwa (Tumeibiwa kura - Hakuna uchaguzi kuna uchafuzi - Kura feki - Polisi wamewasaidia)


Inahitaji JESHI, Polisi, FBI (Kwa sababu ya watalii wanaokuja Zanzibar na Kilimanjaro - Watalii hawawezi kuja Tanzania kuangalia viazi utamu au machungwa ya Tanga), ICC, kujua aina ya Siasa zinazofanyika Tanzania


Hata malengo ya maendeleo endelevu wamekupiga bao la kisigino sema tu hawatakiwi kutangazwa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…