Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipo baadhi ya sehemuHivi huko ulaya kwa wazungu kuna vyoo kwa kuchuchumaa?
Uswahilini acheni kuiga mambo. Kwa washua kila chumba kina choo chake,swala la kugongewa mlango halipo.Watu waliozoea Choo cha kukaa wakati mwingine wanajisahau na kukaa pale pale chooni kwa muda mrefu mpaka huku wakichati mpaka wagongewe mlango.
mara paap sinki limevunjika manina utapasuka kama mbwa kokoHahaaa, mie nikienda choo cha kukaa huwa napanda pale juu kisha nachuchumaa.
Nyumba yako ina vyoo vingapi vya kukaa. Au mnagongea hicho kimoja ulichokijenga kwa tabu.Uswahilini acheni kuiga mambo. Kwa washua kila chumba kina choo chake,swala la kugongewa mlango halipo.
Kiukwel hata mim vilishanishinda,kwanza divi aliendi hata nikiflash,pili maji hunirukia napodondosha diviVyoo vya kukaa nahisi vilibuniwa special kwa ajili ya walemavu,sijui mimi mshamba lakini ktk vitu sijawahi kuvielewa ni vyoo vya kukaa.
Hapo lazima pumbu zisagike mpaka manii zianze kuchuruzika zenyewe.mara paap sinki limevunjika manina utapasuka kama mbwa koko
Cc: Lloyd Munroe Poor Brain secretarybird
😂😂😂😂😂😂Hapo lazima pumbu zisagike mpaka manii zianze kuchuruzika zenyewe.
Huku tu kwenye fani ya ujenzi vinajulikana kama "asian type" hivyo mtu asipofanya description kwenye orodha ya vifaa maana yake choo kinachotambulika ni cha kukaa "European type" hivyo kwenye miradi mikubwa choo ni cha kukaa unless uweke description kwamba unataka cha kuchuchumaaVipo baadhi ya sehemu
Wanaita Turkish toilet
Kampuni moja nilikuwa nafanya kazi walitengeneza moja ya kuchuchumaa
Ila sijaona sehemu nyingi
Sawa mkuuVipo baadhi ya sehemu
Wanaita Turkish toilet
Kampuni moja nilikuwa nafanya kazi walitengeneza moja ya kuchuchumaa
Ila sijaona sehemu nyingi
Vyoo vya kukaa ni vizuri sema tu changamoto iliyopo kwa watu wengine ni namna ya kuvitumia tuSasa itakuaje nikienda huko, sivipendi vyoo vya kukaa maneno hayatoshi kueleza ni jinsi gani sivipendi.
Jenga Nyumba ya Tembe Tuuu hapo gharama nguvu zako na Jasho na kaharufu ka mwili kidogoInaonekana kwa asilimia 50% ya wanaume wanaotumia vyoo vya kukaa wako hatarini kupasuka makende hii ni kutokana na jinsi vyoo hivyo vilivyo na namna makende ya mtu yanavyokuwa wamening'inia pale anapokuwa uchi bila nguo hii inawaweka wanaume wengi hatarini kupasuka makende hasa pale anapokuwa anajaribu kujisaidia kwa kutumia vyoo vya kukaa kitendo ambacho kinamuweka hatarini kuyakalia hatimae yapasuke.![]()
Vile vile vyoo vya kukaa ni changamoto kwa watu wanene pale wanapoenda haja kubwa kwani inaonyesha asilimia 50% ya watu wanene hushindwa kujisafisha vizuri pale wanapotumia vyoo vya kukaa wengine wanajikuta wanajipakaza kinyesi tu pale wanapjaribu kujisafisha wamekaa huku kwa upande mwingine wanajikuta wanajisafisha na kubaki na vinyesi bila wao kujijua.
Pia kwa upande wa usafi na usalama wa mtumiaji vyoo hivi husababisha bacteria ambao mara nyingi bacteria hawa huzalishwa na mabaki ya uchafu pale vyoo hivi vinapokosa matunzo mazuri hasa vikiwa vinatumiwa na watu wengi tofauti tofauti hata mke na mume n.k ndio maana mtindo huu wa vyoo haupaswi kuwekwa kwenye public toilet, ni chanzo magonjwa mengi kama U.T.I, FANGASI SEHEMU ZA SIRI, BAWASIRI, MIWASHO MAPAJANI NA SEHEMU ZA SIRI, PUMBU EROSION, na magonjwa mengine mengi.
Kwa kifupi tu ni kwamba vyoo hivi sio salama kiafya.
utumiaji nao ni shida, bado kuna ishu ya uchafu na risk ya magonjwa.Vyoo vya kukaa ni vizuri sema tu changamoto iliyopo kwa watu wengine ni namna ya kuvitumia tu
Mie sio bonge, na jump kininja tu.mara paap sinki limevunjika manina utapasuka kama mbwa koko
Cc: Lloyd Munroe Poor Brain secretarybird
Sijui ulikuwa unawaza nini 😅mara paap sinki limevunjika manina utapasuka kama mbwa koko
Cc: Lloyd Munroe Poor Brain secretarybird
Una DIVI kubwa sanaKiukwel hata mim vilishanishinda,kwanza divi aliendi hata nikiflash,pili maji hunirukia napodondosha divi
😂😂😂Mie sio bonge, na jump kininja tu.