Wanauchumi nipeni bajeti nikiwa na buku 3 natoboa vipi siku

Wanauchumi nipeni bajeti nikiwa na buku 3 natoboa vipi siku

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku

Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma

Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe kwa mtaa

Naomba ushauri wa kina, me ni Mtanganyika mwenzenu
 
Sema na nafsi yako kuwa leo mko kwenye msimu wa kwaresma/Ramadhani hivyo mtafunga siku nzima. Hiyo buku tatu iweke kwenye wallet yako itakupa ujasiri wa kuwa nina hela na itaondoa hofu.

Ikifika saa moja usiku muda wa kufungua/kuvunja funga yako nenda kwenye kijiwe cha kahawa toa mia 5, hapo upate vikombe vya kahawa na kashata hadi ushibe.

Rudi nyumbani oga maji baridi, kunywa maji ya kuchemsha nyumbani au hata ya bomba lala usingizi wa amani huku kwenye wallet umebakiwa na 2,500 ya kuanza nayo kesho.

Leo isikutishe, unaimudu. Kesho huijui, ipangilie vyema.

Kila la Kheri.
 
vunja breakfast... vuta mpk saa saba ama nane kula mihogo ya buku!.
saa nne tena usiku kula tena mihogo ya buku shushia mimaji kama lita nane hivi ili kuidanganya minyoo kuwa leo kuna mafuriko!. hapo kaa karibu na choo maana kibofu kitakuwa kinajaa ni mwendo wakutoa kojo yani ni "mixx by yas" isiyo na makato!.
hiyo buku iliyobaki ndo kishika uchumba, yani ukiamka asubuhi halafu ukapambana ukakosa ndo itakufikisha kwa rafiki yako mihogo!.
 
Sema na nafsi yako kuwa leo mko kwenye msimu wa kwaresma/Ramadhani hivyo mtafunga siku nzima. Hiyo buku tatu iweke kwenye wallet yako itakupa ujasiri wa kuwa nina hela na itaondoa hofu.

Ikifika saa moja usiku muda wa kufungua/kuvunja funga yako nenda kwenye kijiwe cha kahawa toa mia 5, hapo upate vikombe vya kahawa na kashata hadi ushibe.

Rudi nyumbani oga maji baridi, kunywa maji ya kuchemsha nyumbani au hata ya bomba lala usingizi wa amani huku kwenye wallet umebakiwa na 2,500 ya kuanza nayo kesho.

Leo isikutishe, unaimudu. Kesho huijui, ipangilie vyema.

Kila la Kheri.
Ile chai ya kijiweni ilivyo kali vile hakika huyo hatoboi saa saba usiku...wale jamaa wana chai zamoto sanaaa iiiii 🤣🤣🤣
 
Miogo ya 500 break fast
Wali maharage 1,500 mchana kula nusu alafu unaobakia unamalizia usiku.
Inabakia buku, hapo vaa vizuri pendeza nunua maji ya jero usiyafungue alafu ingia kilabuni,
Agiza Lita Moja ni jero tu na kwa sababu kilabuni sio mambo yako basi ukienda kila mlevi na muuzaji atataka kuwa karibu nawewe na pombe watanunua wenyewe.
Siku imeisha iyo ukitoka hapo unatambaa usipokuwa makini maana kilabuni napo Kuna mishangazi
 
Sema na nafsi yako kuwa leo mko kwenye msimu wa kwaresma/Ramadhani hivyo mtafunga siku nzima. Hiyo buku tatu iweke kwenye wallet yako itakupa ujasiri wa kuwa nina hela na itaondoa hofu.

Ikifika saa moja usiku muda wa kufungua/kuvunja funga yako nenda kwenye kijiwe cha kahawa toa mia 5, hapo upate vikombe vya kahawa na kashata hadi ushibe.

Rudi nyumbani oga maji baridi, kunywa maji ya kuchemsha nyumbani au hata ya bomba lala usingizi wa amani huku kwenye wallet umebakiwa na 2,500 ya kuanza nayo kesho.

Leo isikutishe, unaimudu. Kesho huijui, ipangilie vyema.

Kila la Kheri.
Kufunga mchana ni rahisi kuliko usiku
Unajua vizuri kwaresma ya usiku wa manane
 
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku

Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma

Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe Kwa mtaa

Naomba ushauri wa kina, me ni Mtanganyika mwenzenu
skia chukua hapo majani ya chai ya hamsini chemsha chai tia kwenye chupa hiyo elfu 2 mia tisa toa mia tano kachukue chapata mbili piga hapo asubui unabakiwa na elfu mbili mia nne hamsini, mchana kaza usile jioni nenda kwa mama ntilie akupe hata ubwabwa wa 500 au buku ikiwa ukoko freshi hapo utabakiwa na elfu moja mia nne ya kesho yake tena
 
Achana na breakfast zuga zuga ikifika mchana tafuta sehemu wanapouza wali wa buku jero piga plate moja ikibaki buku jero nyingine utakula usiku wali au ugali wa buku jero au kiepe kikavu pia ni buku jero elfu tatu ni kubwa msiichukulie poa
 
Achana na breakfast zuga zuga ikifika mchana tafuta sehemu wanapouza wali wa buku jero piga plate moja ikibaki buku jero nyingine utakula usiku wali au ugali wa buku jero au kiepe kikavu pia ni buku jero elfu tatu ni kubwa msiichukulie poa
Umesomea chuo gani shahada yako ya uchumi mkuu?
 
Sema na nafsi yako kuwa leo mko kwenye msimu wa kwaresma/Ramadhani hivyo mtafunga siku nzima. Hiyo buku tatu iweke kwenye wallet yako itakupa ujasiri wa kuwa nina hela na itaondoa hofu.

Ikifika saa moja usiku muda wa kufungua/kuvunja funga yako nenda kwenye kijiwe cha kahawa toa mia 5, hapo upate vikombe vya kahawa na kashata hadi ushibe.

Rudi nyumbani oga maji baridi, kunywa maji ya kuchemsha nyumbani au hata ya bomba lala usingizi wa amani huku kwenye wallet umebakiwa na 2,500 ya kuanza nayo kesho.

Leo isikutishe, unaimudu. Kesho huijui, ipangilie vyema.

Kila la Kheri.
case huyo sio mdada ashindie kashata!, matumbo yetu wanaume tunayajua sisi tu halafu hiyo hali hatakiwi kutulia anatakiwa kutafuta sasa nguvu za kutafuta atazitoa kwenye kashata na kahawa!.

huu ushauri wako batili sana atakufa jicho kodo!..🤣
 
Kama hauna familia na upo DSM

Hakikisha Una hivi vitu
Hotpot
Chupa ya chai

Unachofanya ukipika Ahsubui unaweka katika hotpot unatoboa hadi usiku na kiporo unapata

Chai the same.

Na ikiwa vifaa hauna

Usikae mbali na eneo linaitwa Buguruni pale supu utapata 500 ,ugali au wali hautozidi 1000 na usiku 1000
Utabaki na 500 ya kupata Lita moja ya maji .
 
vunja breakfast... vuta mpk saa saba ama nane kula mihogo ya buku!.
saa nne tena usiku kula tena mihogo ya buku shushia mimaji kama lita nane hivi ili kuidanganya minyoo kuwa leo kuna mafuriko!. hapo kaa karibu na choo maana kibofu kitakuwa kinajaa ni mwendo wakutoa kojo yani ni "mixx by yas" isiyo na makato!.
hiyo buku iliyobaki ndo kishika uchumba, yani ukiamka asubuhi halafu ukapambana ukakosa ndo itakufikisha kwa rafiki yako mihogo!.
👏👏👏
Mtaalam
 
Back
Top Bottom