Nenda kwenye soko lolote kubwa katika mkoa wako huwezi kukosa mishe ya kukuingizia japo buku 5 kwa siku.
Buku tatu
Chai na chapati mbili 700
mchana unapiga Dash unakuja kula mpakani saa 11/12 (baina ya mchana na Usiku ) Wali wa buku jero.
Siku imeisha hiyo 800 utaamkia nayo kesho nauli ya kutafuta chochote kitu.
Ukiwa huna kitu epuka kulala sana na kujifungia ndani.Toka nje katafute huku ukimuomba Mungu akufanyie wepesi katika njia zako. Pia usiibe, usidhulumu wala usimkufuru Mungu kwa hali yako hiyo ya Umaskini.