Wanauchumi nipeni bajeti nikiwa na buku 3 natoboa vipi siku

Wanauchumi nipeni bajeti nikiwa na buku 3 natoboa vipi siku

Inabidi uwe mpole buku 3 hela ndogo Sana.
Nakushauri utafute sehemu wanapouza yale mahindi ya kuchemsha, jioni unanunua moja tuseme watakuwa wanauza elfu 1. unarudi geto unakata nusu unashushia na maji unabakiza nusu cha breakfast asubuhi maji yanatakiwa yawe mengi Kwa hali yako itabidi maji ya kunywa yawe ya bombani tu, mchana unapiga deshi, jioni tena unaenda kununua mhindi wa kuchemsha unafanya hivyo.
Kwa stahili hiyo unaweza kujikuta katika hiyo elfu 3 unasevu elfu 2.
Nilishaishi hivyo kitambo huko nyuma acha tu ndugu yangu
 
Inabidi uwe mpole buku 3 hela ndogo Sana.
Nakushauri utafute sehemu wanapouza yale mahindi ya kuchemsha, jioni unanunua moja tuseme watakuwa wanauza elfu 1. unarudi geto unakata nusu unashushia na maji unabakiza nusu cha breakfast asubuhi maji yanatakiwa yawe mengi Kwa hali yako itabidi maji ya kunywa yawe ya bombani tu, mchana unapiga deshi, jioni tena unaenda kununua mhindi wa kuchemsha unafanya hivyo.
Kwa stahili hiyo unaweza kujikuta katika hiyo elfu 3 unasevu elfu 2.
Nilishaishi hivyo kitambo huko nyuma acha tu ndugu yangu
Umetishaa Mkuu
 
vunja breakfast... vuta mpk saa saba ama nane kula mihogo ya buku!.
saa nne tena usiku kula tena mihogo ya buku shushia mimaji kama lita nane hivi ili kuidanganya minyoo kuwa leo kuna mafuriko!. hapo kaa karibu na choo maana kibofu kitakuwa kinajaa ni mwendo wakutoa kojo yani ni "mixx by yas" isiyo na makato!.
hiyo buku iliyobaki ndo kishika uchumba, yani ukiamka asubuhi halafu ukapambana ukakosa ndo itakufikisha kwa rafiki yako mihogo!.
Wewe jamaa sio mchum tu naina CPA imelala hapo 😄😄😄
 
Ila kua makini mkuu maana;

•Unaweza ukala Jeuri yako!

•Ama ukala kwa macho!

•Au ukala kiapo!

•Unaweza ukajikuta umekula Rushwa pia!

😂
 
Wewe jamaa sio mchum tu naina CPA imelala hapo 😄😄😄
mimi hapana kuna watu huko wanakunywa mpk supu za jero mi sio mchumi kuna wachumia tumbo hao ndo kiboko...🤣
 
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku

Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma

Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe kwa mtaa

Naomba ushauri wa kina, me ni Mtanganyika mwenzenu
Hujajieleza vizuri, hiyo bk3 unataka ishi nayo kwa siku ngapi
Je unataka uitumie leo tu ama kwa mwezi mmoja
 
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku

Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma

Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe kwa mtaa

Naomba ushauri wa kina, me ni Mtanganyika mwenzenu
Usinywe chai,mchana piga maharage chapati 2 (1500/=) jioni rudia maharage chapati 2 (1500/=)
 
Hela nyingi Sana hio, naongea kwa experience kabisa. Unga kilo na parachichi mbili na nyanya za kachumbali
Nusu kilo mchana na parachichi Moja na kachumbali pilipili,na jioni Tena the same.
Kwa habari ya asub,fuata ushauri wa Dk Janabi.
 
Hela nyingi Sana hio, naongea kwa experience kabisa. Unga kilo na parachichi mbili na nyanya za kachumbali
Nusu kilo mchana na parachichi Moja na kachumbali pilipili,na jioni Tena the same.
Kwa habari ya asub,fuata ushauri wa Dk Janabi.
Nimekutunuku tuzo ya heshima katika masuala ya uchumi wa kati
 
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku

Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma

Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe kwa mtaa

Naomba ushauri wa kina, me ni Mtanganyika mwenzenu
Asubh pga chai ya jero na michemsho ya miogo ya jero hapo buku(1000) imesha kaa mchana balanc mpaka mida ya saa kumi pga karanga mbich ya jero kaa dakka kumi kunywa 1ltr ya maji saf dina yako nenda kwa mam ntilie pga ugali harage akuchanganyie na mboga zamajan ya 1500/ hapo sku imekaa iyo mkuu
 
Back
Top Bottom