Ni noumaa!Asubuhi piga neutral.
Mchana nunua maandazi ya buku kunywa na maji (maji yawe kama chai). Itabaki buku 2.
Usiku nenda kwa mama lishe yeyote wa kilocal mwambie unataka ukoko wa buku 2. Utapata ukoko mwingi sana na mboga nyingi kwa ajili ya kuulainisha. Utakula mpaka utauangalia.
we kula tu utakuja kula kenge!Supu ya kero?
Kwani nyama kg 1 bei gani?
Ukoko kumbuka tumbo la kuhara likikushika na haina pesa ya kujitibishaAsubuhi piga neutral.
Mchana nunua maandazi ya buku kunywa na maji (maji yawe kama chai). Itabaki buku 2.
Usiku nenda kwa mama lishe yeyote wa kilocal mwambie unataka ukoko wa buku 2. Utapata ukoko mwingi sana na mboga nyingi kwa ajili ya kuulainisha. Utakula mpaka utauangalia.
Ukifika pale Vigunguti kuanzia saa 3:00AM -05:00AMSupu ya kero?
Kwani nyama kg 1 bei gani?
Inakuwa imebatizwa na finyango mbili ndogo ndogo Ka za mishkak.Supu ya kero?
Kwani nyama kg 1 bei gani?
Ushauri tumeuzingatiaVijana wenzang pesa zinapokutembelea tuwe tunanunua katoyo kamoja kaemergency siku umekosa kabisa mchongo unaingia road kama mida hii unaanza kula vichwa mpaka saa 6 za usiku
Fanya hvyo kila siku mpaka michongo itakapokaa sawa
Ndo hivyo tembea uone.Hata kama ndo supu iwe jero
Napiga hesabuUkifika pale Vigunguti kuanzia saa 3:00AM -05:00AM
Utapata nyama ya bei rahis Sana kupitia Kwa wachinjaji
So mama ntilie ndo ununua hiyo nyama na kuuza supu wastani wa 500-1000 na kuendelea
Soma notifications kuna uzi nimekutag utona hali halisi.Napiga hesabu
Mtu asafiribafate nyama
Mkaa, maji, chumvi, vyombo, muda
Hiyo supu ya jero inakuwaje
Kama ni buku 3 ya Ruto utatesa nayo kwa milo ya siku 20Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma
CodeStreet hack:
Kama huna kitu mfukoni basi usiishi sehemu ambayo ni mbali na Soko lolote kubwa katika mkoa wako.
Sokoni ndio sehemu unayoweza kupcodeata chai na lunch ya mkopo ime unalipa baadae baada ya kuwa umeshashiba. Na ndio sehemu unaweza kupata vyakula kwa bei rahisi na pia kutokana na mzunguko wa pesa kuwa mkubwa maeneo hayo ni rahisi kupata vibarua vidogo vidogo kama kubeba mizigo midogo midogo hata kufanya biashara ndogondogo za kusambaza mifuko, kuuza kahawa n.k na maisha yakaenda vizuri tu.
Ushauri wako inatakiwa ulipiwe😅🤣😀Nenda kwenye soko lolote kubwa katika mkoa wako huwezi kukosa mishe ya kukuingizia japo buku 5 kwa siku.
Buku tatu
Chai na chapati mbili 700
mchana unapiga Dash unakuja kula mpakani saa 11/12 (baina ya mchana na Usiku ) Wali wa buku jero.
Siku imeisha hiyo 800 utaamkia nayo kesho nauli ya kutafuta chochote kitu.
Ukiwa huna kitu epuka kulala sana na kujifungia ndani.Toka nje katafute huku ukimuomba Mungu akufanyie wepesi katika njia zako. Pia usiibe, usidhulumu wala usimkufuru Mungu kwa hali yako hiyo ya Umaskini.