Wanaume acheni huu uchafu

Siyo vizuri bana, kaone😀
Kwahiyo vizuri kwenda na mjikopo au ndoo😲
SIWEZI WALAHI..!
Hawa jirani nilionao wana visa utakuta wamekuandikia mlangoni kwako "jirani pole kwa kuhara"
Kumbe we unaenda kukojoa tu na vile wengine kila mara kukojoa utafikiri tunakomoa si ndo watajua huyu kala popo😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…