Sana sana inakuwa kama mtu amekunywa pombe, ile ile ambayo mtu unakunywa maji mpaka inakuwa nyeupe haina harufu.
Mimi binafsi nahitaji uniombe msamaha tu kwakweli[emoji41][emoji848]
Unaweza bahati mbaya ukakuta choo kimetoka kutumiwa na mwanamke ukavutiwa kuwa yes choo si ndio hiki, ngoja liingie jidume dadek
Kwa nini usibebe Kumbuka kuna kutembelea ndugu na jamaa nyinyi ndio wale unafika kwa mtu unahitaji kwenda msalani ila unasisitiza usilete maji naenda haja ndogo inashangaza.Kama maji yapo me huwa nafungulia au kumwaga.
Lakini sio eti nibebe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi eeh kojoeni hukohuko kwenye majani
Mmhh Hapa umetudanganya Testical itch inasababishwa That way kweli ??Niliwahi kwenda nyumba moja niliondoka na fangasi za korodani kwa sababu ya uchafu wa mikojo ya chooni!
Kila mtu anamwaga kojo mifangasi inajaa mule unaweza kuugua mpaka roho ikatoka!
Shughuli ya fangasi waulize pugu boys watakuelezea habari yake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hueleweki? Unazungumzia choo au kuosha mwili?Hujasoma nilichoandika, sina shida na viboksa vyenu hata vikinuka ma.vi mtajua wenyewe na wake zenu, shida yangu ni harufu inayoachwa kule
Acheni ujeuri, ninyi msioweza kubeba maji ndio mnunue
Nyie bebeni maji tu maana ndio mnachuchumaa😀Kwa nini usibebe Kumbuka kuna kutembelea ndugu na jamaa nyinyi ndio wale unafika kwa mtu unahitaji kwenda msalani ila unasisitiza usilete maji naenda haja ndogo inashangaza.
Mimi binafsi nahitaji uniombe msamaha tu kwakweli[emoji41][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Masharti kwenye nyumba za watu?Yaani kuambiwa habari ya usafi unasema unapangiwa masharti? We wa wapi ndugu yangu?
Kuna wengine Hadi mkojo unakuwa njano hata ka Kuna maji hawwamwagi aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo tukipishana nanyi huku barabarani mnakuwa na kihafu ambacho si cha kawaida.Nyie bebeni maji tu maana ndio mnachuchumaa😀
The universe is challenging you into building Ur own 🏠 madamHabari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Hicho kiharufu ndio kinavutia watoto wazuri kama ww...Tatizo tukipishana nanyi huku barabarani mnakuwa na kihafu ambacho si cha kawaida.
Tumechoka kuugua Uti kwa mikojo yenu.