Wanaume acheni huu uchafu

Dunia ya leo bado hatuwezi kuhakikisha choo kinakuwa na maji!! Yaan choo kinakaa bila maji kumsubiri atakayeingia akuje na maji yake!!!
 
Ungeeleza choo cha namna gani. Kama cha shimo mbona haileti maana kukojoa tu uingie na maji?
 
Hii tabia ninayo mimi yani kwenda haja ndogo na maji ni mwiko mpaka mwaka fulani wapangaji wenzangu waikuwa wakiniona nimetoka kwenye harakati zangu wanaitana ili mwenye kwenda chooni aende kabla sijaenda mimi

Nilikifanya choo cha wapangaji wenzangu kama changu maana siku ambayo nilikuwa nikishinda geto wanajua hali ya hewa itakuwa tofauti tena kipindi hicho natumia vile vilevi vyetu vikali

Sema nilianza kuingia na maji baada ya mtoto wa mpangaji kuugua U.T.I walinikalisha kikao nweeeeeeh eti kwa hii hali nitaua watoto


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nastaajabu hilo ila hustaajabu zaidi mtoto wa kike aingiapo bila maji na atokapo ni mkavu kama hakuna kilichotokea, dunia ina mambo
 
Una point lakini umefanya jumuishi mno.
Nadhani ungesema kwa wale wanaoishi kwenye nyumba ambazo hazina maji vyooni wabebe maji. Na siyo wanaume tu, tunashudia wanawake wengine wakitinga bila maji. Ukiona wanabeba ujue wako ktk "nyakati". Ila wahusika ujumbe umewafikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani wengi hatuna utaratibu huo labda kwakua maumbile yetu yanaruhusu kufanya hivyo,,Lakini ladies inawalazimu kuingia na maji ili kuosha nyeti baada ya haja..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…