andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,773
- 119,820
Kuna muda naamua kabisa sitemi, sijui yanatokea wapi nakuta yamejaa mdomoni,najikuta natemaHata sijui aisee ni hulka tuu tulojizoeshea
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna muda naamua kabisa sitemi, sijui yanatokea wapi nakuta yamejaa mdomoni,najikuta natemaHata sijui aisee ni hulka tuu tulojizoeshea
Sana yani
Ungeeleza choo cha namna gani. Kama cha shimo mbona haileti maana kukojoa tu uingie na maji?Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Halafu lile jina lililopita ni la kiume, btw si unajua kuwa mtoto wa kiume wa Bill Gates jina lake ndiyo lile ulilotoka kulitumia?Kwa hiyo hukunijua siku zote
Kuna mtu jina lilikuwa linaendana herufi za mwanzoni
Hahaha maji ndo yanafaa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
.Hayo maji nikienda nayo nitayafanyia nini?
Huruhusiwi kunywa maji toilet
Ndio niliona ni la kiumeHalafu lile jina lililopita ni la kiume, btw si unajua kuwa mtoto wa kiume wa Bill Gates jina lake ndiyo lile ulilotoka kulitumia?
Hahaha umenikumbusha rafiki yangu huwa anasema hivyo pia
Hii Corona imesaidia kiasi hamna kushikana mkono [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan nia ya fanani ujumbe ufike, hujaona watu wana kojoa hata juu ya kigae ? hawaflash, hawamwagi maji? dunia ina mamboKatika zama hizi kubeba kikopo cha chooni ni uchafu kuliko uchafu wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha haifaiyaaani [emoji23][emoji23][emoji23]alafu mtu atoke huko alikotoka anakupa mkono [emoji35][emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya daktari.Mmhh Hapa umetudanganya Testical itch inasababishwa That way kweli ??
Pugu boys Sababu ni Maji ya Kisimani (pondi ) wala sio kingine
Una point lakini umefanya jumuishi mno.Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema