Wanaume acheni huu uchafu

Wanaume acheni huu uchafu

Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?

Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...

Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Napinga na nakemea kwa ukali hili nalishikia kidedea HATUTA NA HAITA,HAIWEZEKANI WANAUME TWENDE CHOONI NA MAJI KISA MKOJO!

#HATUPANGIWI.
 
Choo cha namna gani icho kinakosa maji Hadi ubebe?

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una kichaa wewe, hivi hujui mkojo una harufu?
MNATAKA KUTUPANDA KICHWANI SASA!

HUO USTAARABU PELEKENI HUKOHUKO
ILE HALAFU HUWA NI NZURI INATUKUMBUSHA MAMBO MENGI SANA IKIWEMO INATAKIWA TUBADILISHE AINA ZA VINYWAJI...
 
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?

Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...

Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Mkuu maji tubebe kwani tunaenda chooni kuosha nini muda wa kukojoa?
 
Aisee hii ni new rule kutoka kwa serikali baada ya kuingia corona au ipo kitambo?
 
Back
Top Bottom