Wanaume acheni uongo, ukweli utawaweka huru

Wanaume acheni uongo, ukweli utawaweka huru

Judithkaunda

Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
90
Reaction score
231
Unakuta mwanaume anafamilia yake anakorofisha na mke wake anakwenda kutafuta mchepuka. Akifika huko na hasira zake anadanganya hajaoa au kaoa lakn hampendi mkewe, anaenda mbali zaidi anasema anampenda huyo mchepuko zaidi na yuko tayari kuachana na mkewe, hapo hajui km anatengeneza Bomu mchepuko anavimba kichwa nakuanza vitibwi kwa mke mwisho wa siku unaongeza matatzo unapata stress unatafuta mchepuko mwingne.

Kaka zangu semeni ukweli kama mnataka ku-Relax mchepuko ajue nafasi yake, mweleze kabisa unampenda mkeo licha ya migogoro mnayopitia ajue majukumu na mipaka yake kama unadate na mwenye akili atakuelewa.

Mmeambiwa muishi na sisi kwa akili. Na Kuna wanawake tumefikia hatua tukanyoosha mikono tumekubali chepukeni lakini hakikisha nafasi yangu inabaki pale pale kama mke na usiache kuwa baba Bora kwa wanao inatosha.

Au kunasababu nyingine inayopelekea mnaseme uongo?

HAYA FUNGUKENI UWANJA NI WENU.
 
WANAUMEE kama WANAUMEE hakikaaa tuna kazi kila cku wakusemwa cc ..ndio maana tunakufa mapema sana.
 
Maji yakishamwagikaa hayazolekii...polee dadaa
 
Huyo mchepuka kuna siku na yy atachepukwa. Pole kipenzi
 
Unakuta mwanaume anafamilia yake anakorofisha na mke wake anakwenda kutafuta mchepuka. Akifika huko na hasira zake anadanganya hajaoa au kaoa lakn hampendi mkewe, anaenda mbali zaidi anasema anampenda huyo mchepuko zaidi na yuko tayari kuachana na mkewe, hapo hajui km anatengeneza Bomu mchepuko anavimba kichwa nakuanza vitibwi kwa mke mwisho wa siku unaongeza matatzo unapata stress unatafuta mchepuko mwingne.

Kaka zangu semeni ukweli kama mnataka ku-Relax mchepuko ajue nafasi yake, mweleze kabisa unampenda mkeo licha ya migogoro mnayopitia ajue majukumu na mipaka yake kama unadate na mwenye akili atakuelewa.

Mmeambiwa muishi na sisi kwa akili. Na Kuna wanawake tumefikia hatua tukanyoosha mikono tumekubali chepukeni lakini hakikisha nafasi yangu inabaki pale pale kama mke na usiache kuwa baba Bora kwa wanao inatosha.

Au kunasababu nyingine inayopelekea mnaseme uongo?

HAYA FUNGUKENI UWANJA NI WENU......
Wewe hujui mbinu za kivita za kula tunda kimasihara😁
 
Mmeambiwa muishi na sisi kwa akili. Na Kuna wanawake tumefikia hatua tukanyoosha mikono tumekubali chepukeni lakini hakikisha nafasi yangu inabaki pale pale kama mke na usiache kuwa baba Bora kwa wanao inatosha.
 
Uzi wa tatu huu leo wanawake wanalalamika kugongwa na waume za watu na kuachwa kwenye mataa

Ndo muache tamaa zenu za pesa na roho mbaya eti kumkomoa mke wa ndoa

Mtaishia kuwa single maza
Kiufupi kaliwa kimasihara😂
 
Sisi ndio wanaume. Nyoka asingemdangaya hawa pale bustanini basi msingedanganyika. Na tukiwaambia ukweli huwa mnatudharau. Acha tuendelee kuwadanganya.
 
Sawa tumekusikia ewe waziri wa michepuko na maendeleo ya uwongo wa wanaume.
Kazi yako iendelee...
 
Back
Top Bottom