Wanaume acheni uongo, ukweli utawaweka huru

Wanaume acheni uongo, ukweli utawaweka huru

Unakuta mwanaume anafamilia yake anakorofisha na mke wake anakwenda kutafuta mchepuka. Akifika huko na hasira zake anadanganya hajaoa au kaoa lakn hampendi mkewe, anaenda mbali zaidi anasema anampenda huyo mchepuko zaidi na yuko tayari kuachana na mkewe, hapo hajui km anatengeneza Bomu mchepuko anavimba kichwa nakuanza vitibwi kwa mke mwisho wa siku unaongeza matatzo unapata stress unatafuta mchepuko mwingne.

Kaka zangu semeni ukweli kama mnataka ku-Relax mchepuko ajue nafasi yake, mweleze kabisa unampenda mkeo licha ya migogoro mnayopitia ajue majukumu na mipaka yake kama unadate na mwenye akili atakuelewa.

Mmeambiwa muishi na sisi kwa akili. Na Kuna wanawake tumefikia hatua tukanyoosha mikono tumekubali chepukeni lakini hakikisha nafasi yangu inabaki pale pale kama mke na usiache kuwa baba Bora kwa wanao inatosha.

Au kunasababu nyingine inayopelekea mnaseme uongo?

HAYA FUNGUKENI UWANJA NI WENU......
Pole sana, mzee kafungua vipochi manyoya vyote mtaani nn mbona uko kasi sanaa
 
Mkiacha kupenda mtelemko tutaacha uongo.

Ila Tumeacha uongo kuanzia sasa tunaomba kuja sasa PM tukutulize nafsi, tuko single wote tuliochangia humu hivyo chaguzi ni yako😅
 
Shamba Lishavunwa Huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa hukumpanga? Maana nanyi ni kiboko ila kwakuwa ashikwae na shombo ndio mwizi wa samaki bhaaaas ya mtendewa hatuyajui.
 
mkuu hizo ni mbinu za kivita
tunajua jinsi ya kuovertakd situation kama hizi
 
Ukisia 'yalaaaaaa' ujue jiwe limempata huyo.
Pole dada, Mungu atakupa wa kwako peke yako. Achana nalo hili jinadume liongo.
Njoo inbox tuliwazane. Mimi nina mke pasua kichwa balaa ila nampenda hivyo hivyo, wewe utakuwa tulizo la nafsi tu.
 
Unakuta mwanaume anafamilia yake anakorofisha na mke wake anakwenda kutafuta mchepuka. Akifika huko na hasira zake anadanganya hajaoa au kaoa lakn hampendi mkewe, anaenda mbali zaidi anasema anampenda huyo mchepuko zaidi na yuko tayari kuachana na mkewe, hapo hajui km anatengeneza Bomu mchepuko anavimba kichwa nakuanza vitibwi kwa mke mwisho wa siku unaongeza matatzo unapata stress unatafuta mchepuko mwingne.

Kaka zangu semeni ukweli kama mnataka ku-Relax mchepuko ajue nafasi yake, mweleze kabisa unampenda mkeo licha ya migogoro mnayopitia ajue majukumu na mipaka yake kama unadate na mwenye akili atakuelewa.

Mmeambiwa muishi na sisi kwa akili. Na Kuna wanawake tumefikia hatua tukanyoosha mikono tumekubali chepukeni lakini hakikisha nafasi yangu inabaki pale pale kama mke na usiache kuwa baba Bora kwa wanao inatosha.

Au kunasababu nyingine inayopelekea mnaseme uongo?

HAYA FUNGUKENI UWANJA NI WENU......
Kumbe wanawake mlishafikia hatua mmekubali wanaume tuchepuke, sasa huko mbeleni mtakubali tuongeze wake tuu ili kuondoka na usumbufu
 
Unakuta mwanaume anafamilia yake anakorofisha na mke wake anakwenda kutafuta mchepuka. Akifika huko na hasira zake anadanganya hajaoa au kaoa lakn hampendi mkewe, anaenda mbali zaidi anasema anampenda huyo mchepuko zaidi na yuko tayari kuachana na mkewe, hapo hajui km anatengeneza Bomu mchepuko anavimba kichwa nakuanza vitibwi kwa mke mwisho wa siku unaongeza matatzo unapata stress unatafuta mchepuko mwingne.

Kaka zangu semeni ukweli kama mnataka ku-Relax mchepuko ajue nafasi yake, mweleze kabisa unampenda mkeo licha ya migogoro mnayopitia ajue majukumu na mipaka yake kama unadate na mwenye akili atakuelewa.

Mmeambiwa muishi na sisi kwa akili. Na Kuna wanawake tumefikia hatua tukanyoosha mikono tumekubali chepukeni lakini hakikisha nafasi yangu inabaki pale pale kama mke na usiache kuwa baba Bora kwa wanao inatosha.

Au kunasababu nyingine inayopelekea mnaseme uongo?

HAYA FUNGUKENI UWANJA NI WENU......
Kimeumana tayar judith utamkubalije mtu aliyekwambia ukweli?
 
Tangia lini Mwanamke akaambiwa ukweli na akaamini!?,mwanamke na ukweli wapi na wapi!?,kama mlishindwa kumuamini mwenyezi Mungu bustani ya Eden ndio ije kuwa sisi!?
 
Mkiacha kupenda mtelemko tutaacha uongo.

Ila Tumeacha uongo kuanzia sasa tunaomba kuja sasa PM tukutulize nafsi, tuko single wote tuliochangia humu hivyo chaguzi ni yako😅

Kimeumana tayar judith utamkubalije mtu aliyekwambia ukweli?
Uki
Tangia lini Mwanamke akaambiwa ukweli na akaamini!?,mwanamke na ukweli wapi na wapi!?,kama mlishindwa kumuamini mwenyezi Mungu bustani ya Eden ndio ije kuwa sisi!?
Hujanielewa nimeongea kwafaida yenu wanaume mfano uko na mke chumbani mchepuko anapiga sim bahat mbaya mke akipokea wote wanaulizana ww nani huoni unajiingiza kwenye tatzo kubwa zaidi kulko ungemwambia mchepuko Nina mke nausipige km sijakutafuta simple tu,
 
Kwani baada ya jamaa kula ameondoka nacho? Mbona kilio hivi?
 
Back
Top Bottom