Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Dah kwaheri tumemkosa mvulana mwingine uku, yaan nywele za tako zinakugasi gasi wakati mim ninazo nyingi ila sijawahi kuhis kama ninazo , zile zinalinda tundu kaka,
 
Dah kwaheri tumemkosa mvulana mwingine uku, yaan nywele za tako zinakugasi gasi wakati mim ninazo nyingi ila sijawahi kuhis kama ninazo , zile zinalinda tundu kaka,
Sawaaa
 
Yapake mafuta
Uwe relaxed
JamiiForums-985558273.jpg
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
hizi nywele inategemea mtu na mtu,lakini huwa zinanyolewa na anayekunyoa ama ni mkeo au bby wako,na usinyoe zote unabakisha kidogo ili usichubuke
 
Vidole anavyo mimi simo

Jamani niliuliza wanaume nyie hizi comment zetu mara zipake mafuta hapana
🤣🤣🤣🤣 kuna ubaya nasi tukichangia mada
Umeshauriwa kupaka mafuta ili
Kusipauke🤣🤣
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Hapana.Haunyoi.Unawasha mshumaa na kuuweka chini kwenye msamba yaungue polepole!
 
Back
Top Bottom