Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Soon natoka JF?

Wamevamia JF...hawa watu...mara lecture ashike makalio wanaume, mara arusha kunatisha...mara kilimanjaro kumeoza....
Ptuuu!!!
Uyo msera aloshikwa makalio akabaki anakenua atakuwa anafirwaa

Yaani mwanaume rijali ukishikwa tako ata bahati mbaya toa onyo akirudia tena mwanaume mwenzio kufanya ivyo piga ngumi mateke mjerui vibaya kabisa
 
Kwani zinakukera? Unataka usafishe ili Nani aone akusifie!?
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Samahani unaulizia Nywele za Mtaroni au?
 

Inawezekana swali lako ni sahihi na lina nia njema kabisa hasa ukizingatia usemi kwamba, hakuna swali la kijinga bali jibu ndio la kijinga.

Sasa mimi nikuulize, Je, umewahi kuona hizo nywele kwenye sehemu za nyuma za mwanamke? Naamini 'unawajua' wanawake.

Kama wanawake hawana, jiulize ni kwanini kwako zipo? Na kwanini utake kizitoa.
 
Uwe ke au me chuchuma tu najilet Yako au simama kawaida na unyoe au mikono siyo mirefu
 
Zoezi gumu sana hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
20221224_144231.jpg
 
Sasa we mwanamke huu Uzi unakuusu nini au na wewe una vuzi za kundu !!? Kama ndio sawa ila kama huna Kaa Kwa kutulia mungu akusamehe maana hujui usemalo
Povuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Nivema ungeweka picha ili tujue tunajadili jambo linaloonekana vp??
#LIPOWAZI
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza huwa mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu staili gani mnakaa.

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu.

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Fuga rasta jah man
 
Back
Top Bottom