Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Ukiona yanakukera ujue kuna walakini sheikh
By the way matako ya mwanaume ni mwiko kuonekana hata wewe hutakiwi kuyaangalia
 
Kwa upande wangu sijaona tatizo, labda tuu kwa comment nyingi hazitakusaidia chakufanya nicheki inbox nitakuja kukusaidia kwa garama nafuu sana ili sikunyengine itakuwa rahisi kujinyoa mwenyewe.
 
Utitiri ni mdudu
Mende ni mdudu pia
Ila huko PM kwa mtoa mada kutakua kumejaa utitiri wa mende
 
No... hio picha ni mwanamke. Sio mwanaume....
Hapo nilikua napinga hoja yako ya kwamba wanawake hawana nywele za hio sehemu ya kati ya makalio..
Wanazo but ni wachache sana Hanazo ndio Wana ndevu pia wanazo pia ila wachache sana so hii kuwa na ndevu itabaki kuwa asili ya mwanaume hata kama baadhi ya wanawake wanazo
 
Back
Top Bottom