Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Dah kwaheri tumemkosa mvulana mwingine uku, yaan nywele za tako zinakugasi gasi wakati mim ninazo nyingi ila sijawahi kuhis kama ninazo , zile zinalinda tundu kaka,
 
Dah kwaheri tumemkosa mvulana mwingine uku, yaan nywele za tako zinakugasi gasi wakati mim ninazo nyingi ila sijawahi kuhis kama ninazo , zile zinalinda tundu kaka,
Sawaaa
 
hizi nywele inategemea mtu na mtu,lakini huwa zinanyolewa na anayekunyoa ama ni mkeo au bby wako,na usinyoe zote unabakisha kidogo ili usichubuke
 
Vidole anavyo mimi simo

Jamani niliuliza wanaume nyie hizi comment zetu mara zipake mafuta hapana
🤣🤣🤣🤣 kuna ubaya nasi tukichangia mada
Umeshauriwa kupaka mafuta ili
Kusipauke🤣🤣
 
Hapana.Haunyoi.Unawasha mshumaa na kuuweka chini kwenye msamba yaungue polepole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…